Agape Gospel Band - Niseme Nini Baba (Official Music Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Hallelujah !!
Wimbo huu ni Wimbo wa Shukurani kwa Mungu wetu , wakati mwingine tunakosa maneno yakusema tunajiuliza " Tuseme Nini kwa wema wa MUNGU katika maisha yetu "??
Tunapofikiria habari ya wale wakoma kumi katika kitabu Cha Luka 17:11-19 neno la Mungu linasema ,
[11]Ikawa walipokuwa njiani kwenda Yerusalemu, alikuwa akipita katikati ya Samaria na Galilaya.
[12]Na alipoingia katika kijiji kimoja, alikutana na watu kumi wenye ukoma; wakasimama mbali,
[13]wakapaza sauti wakisema, Ee Yesu, Bwana mkubwa, uturehemu!
[14]Alipowaona aliwaambia, Enendeni, mkajionyeshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.
[15]Na mmoja wao alipoona kwamba amepona, alirudi, huku akimtukuza Mungu kwa sauti kuu;
[16]akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.
Barikiwa sana 🙏🏾
Musicians
Main keys : Innocent Nelson
Aux keys : Michael Lowkeys
Guitarist : Kaz Benjamin
Bassist : JP kazire
Drummer : Hans Lugwisha
Back Ground Vocals
SOPRANO :
Jocelyn Bryson
Neema Mlay
ALTO :
Jonas Moshi
Hannah Joseph
TENOR :
Justin
Pascal Guveti
Lead Singer: Victor Maestro
Mixing and Mastering by Baraka Ngowi
Sound Engineer: MUJWAHUKI
Venue: The Reality of Christ Church
Video Directed by ROC Media /Baraka Adam wapili
#AmefanyaMengiYesu #AgapeGospelBand #LiveMusicVideo.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
I'm no longer a slave to childhood trauma, rejection, suicide, divorce, fear, and sexual abuse... I AM A CHILD OF GOD!!!
Hallelujah, the be set free in Jesus might name, the Name above all names. 👏👏👏👏
Long Awaited song....Aiseee Mungu awabariki kutoka Kenya tuna wapenda🙏❤️
🙌🔥🔥🔥🔥🎸Soloooooo
I greet u am Josh the drummer 😅
Le drumme🔥🔥🔥🔥🔥🥁
@@joshuashukurani3589 😂😂Le drumme God bless you
Wewe pia
Jamaa wa guitar nakutolea kofia
Me I'm always blessed with his songs I don't know about you reading this comment
When are you coming to Zimbabwe guys your music is blessing us
Manje manje
Solo guitar 🎸 on next level jaman khaaa miziki imelia mnoo utukufu kwa Mungu
100% in agreement, the lead guitarist did an amazing job, he's blessed
Huyu jamaa ni balaa aisee
3:43 Soloo guitar 🔥
11:29 1st transition
11:38 2nd Inversion soloo Minor🙌😁🍸🍸🍾
Luxembourg kimbangu solo na les samourai
The drummer 💯
Kwani mpiga solo ni wa wapi jamani
I love the lingala kings when it comes to singing for the King of Kings
Aleluyaaaa alabadovsea nuetro señor Jesucristo hermanos
brother Jonas namuona hapo,from Agape lutheran junior seminary praise hadi Agape gospel band,Hakika Mungu ni mwema
hawa ni wa kongo?
Bassist ❤🎉
Mnanibariki sana Agape bGispel band, nyimbo za Mungu ni kufurahi kuqnziq ndani mpaka nje, Mungu hapendi vitu vinyonge au dhaifu.
When are you guys coming to South Africa 😢😢😢😢
The best gospel band in town..Mungu azidi kuwainua.
Amen 🙏🏽 🎉🎉
Ujumbe mzuri,mpangilio mzuri wa sauti na mziki,Mungu awabariki sana nasikiliza huu wimbo zaidi ya mara 10 kwa siku
Good good 🇳🇬🇳🇬
🔥🔥🔥🔥hallelujah
I want to be greatful, for everything my house my family my husband ❤️ and everyone watching this thank you Lord for everything 💖
Sijawahi kosa Raha kwa Kila wimbo wenu Bali nashukuru tu na utukufu kwa Mungu Alie juu
A New sound is rising from east africa....glory to God,much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Tuliotoka tiktok kwa sababu ya kuona style tujuane😂😢
😂I'm here hallo there😊
Kuja hapa😂😂
This is nice song tunawapenda kutola Malawi ❤❤❤❤
Nzambe na Nguya kita osala💥
Vijana wa Mungu awabariki sana
Following you from Zambia❤❤..am being blessed by your ministrations
Barikiwa sana🙏 Ufalme wa Mungu usiondoke kwenu mzidi kutumika kwa ajili ya utukufu wa Mungu 🙏
😅😅😅 So much joy in right now😂
Anointing dey here
Huyo jamaa anapiga solo Ni hatari
Uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🙌🙌🙌🙌Asante Bwana🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Hatareee🔥🔥🔥🙌🙌🙌 sebene moja la nguvu ... Tunaisubilia Tar 20/11/2022 kwa hamu sana
Yesu aza mobikisi nanga
Bassist sallute daddy
Baba nasema Asante 🙏. Asante concert 🔥. Nawaelewaga Sana sana
Tunawahitaji kenya🇰🇪
Amen
Nawakubali sana Mungu awabariki
I LOVE THIS ❤
Baba nasema ahsaaaaaante,,,,, Agape band on 🔥
Na lola kaka boye. Alingaka nde boye❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Petit yangu umekomala Mungu akubariki
God bless you all from kenya
Mungu awabariki nakuwalinda nakuwatiya ngunvu msonge bele zaidi ya apo
good music
a big thank you from namibia
listening this band for the first time
makes me feel i know this this song already
Moto wa kuotea mbali Kwa yesu rah sana I 🔥🔥🔥🔥
Guitar 🎸 Inaraha yake byakweli washaaaaaaaa
Nguvu na mafuta kutoka kwa Bwana Yesu iwe juu yao
Mungu hawabari mno nyie ni baraka kwa izi nyombo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nawakubali na kuwaombea kabisa mfike kule MUNGU amekusudia mfike
This solo man 😮
Wallahi hii ni more fire 🔥🔥🔥🔥 all the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
name's God be glorified 🙌🙌
What a powerful Praise moments , Mungu awabariki kwa kazi nzuri
Combination of Hans and jpkazire is something else, I did miss this combination ooh glory to God. Thank you agape band for this masterpiece
Sebene la Yesu, Mungu awabariki sana, Pia tunawaombea jamani mdumu bendi nyingi zinaanza alafu zinaishia njiani.
Mkipata changamoto mwiteni Yesu.
kazi safi benjamin kwakilisha pale kwa sebene
I don't understand what they are saying but i can feel the Holy Spirit, and as the word of God says, every knee shall bow and every tongue shall confess that you are God. Thank you Agape Gospel Band, please keep blessing us with such great sound.
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zimekuwa faraja kwangu
Wow...its really a blessing...from Kenya we love you great ministers...God bless you
❤i love it bass guitar 🎸 mambo yangu huku Kenya
Blessings
💥💥💥💪💪💌niseme nini Baba yangu nashukuru kwa yote Kabisa
Kazi safi band wow👍🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🎉❤️❤️❤️❤️
Hee be blessed bana hii ni moto sanaaa 🔥🔥sasa nasuburi "AMEJIBU MAOMBI"😊😊
Minute 4.04 Bass guy 🙌🙌
kwa mecho tu ya kibinadamu naomba utazame kama hapa kuna Mungu,wala uwepo wa Mungu, kama si biashara ya youtube na wateja wake.
Sawa hakimu wa mbingun
Nyinyi ni wa kimataifaaaa mukooo fayaaaaaaaaaaaaaaa
Ahsante Sana Wana Agape.....si Jehovah awatunze
Very Blessed, Niseme nini baba
Wow i like the grooves of this church
Hii ndo miziki yetu
🔥🔥🔥💪 wazee wa mwendoooooooo kaaaaasiiiiii👮♂️
Wow nice kazi nzuri sana my family
Nashindwa kunena
Chukueni maua yenu 🎉
Congratulations kwa team yote asee
Mbarikiwe saaaaanaaa kahama tunawapenda pia
Ahaha 😂🤪😜🙈🙈🙆🙆 once again my guy on the drums killed it; this guys drives me nuts 😂
Nitawaambia wajukuu zangu nilikuwepo hapa wakati wa hii live recording
Kwa yote nashukuru eeeh Mungu wangu Sina la kusema
kwa yote( mazuri na mabaya) Baba nashukuru 🙏🙏
Aaaaaaaaaahhhhhh!!!what a blessed ministration from you brothers,Mungu awabiriki much Love from Kenya.
Mungu awabariki kwa kazi yenu njema 🙏🙏🙏
Love Congolese people ❤❤❤
This is wat we call real praise
Are they Congolese?
This is super 🔥🔥🔥
Mungu awabariki watumishi, pia tunawaombea Mungu awasaidie mdumu milele. Bendi nyingi zinavunjika.
ninakosa ni mengi sana Bali ninashukuru
What should i say to LORD for what you have done to all i can just say am greatful.......
❤️❤️❤️ Glory to God
Wow🎉🎉🎉
wow
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawakubaliiii sanaa agapee
so nice song 🙏🙏🙏🙏 from Kenya 🇰🇪💪
Mwingi mpaka unamwagika. Utukufu wa Bwana 🔥
hatariiii sanaa
I was singing this song in the dream,my spirit is thanking God for what he has done,thank you jesus 🙏
AMEN,but try to write the name of Jesus by starting the capital letter dear.
@@rahelchilale1075 Noted with thanks.
Parabens Deus seja louvado, gosto muito da maneira que você gosta de louvar. Gloria a Deus.
This is what we call gospel music,, I love it wow wow
🔥🔥🔥🔥🔥niseme nini baba bali ninashukuru
Hii sebene ya moto sanaaa
Mungu awabariki am edu from kenya