GPS: PUTIN atoa ONYO kali kwa MAREKANI na ULAYA, hofu ya VITA vya NYUKLIA yaongezeka!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 302

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 2 หลายเดือนก่อน +13

    Kama unaamini kwamba sns media nzuri like hapa 😢😊😊❤

  • @nevers7561
    @nevers7561 2 หลายเดือนก่อน +59

    Kama unaikubali SNS gonga like ❤

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 หลายเดือนก่อน +93

    Hiii urusi ndio nchi ya ahadi sema watu hatujui team Putin tuko hapa like zngu zakutosha

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 หลายเดือนก่อน +2

      🙌🙌Kabisa

    • @naslee1010
      @naslee1010 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pamoja

    • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
      @RamadhanpMwakilasa-di5hc 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@naslee1010 nakubali 💪💪

    • @user-is9xs1kd9z
      @user-is9xs1kd9z 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@RamadhanpMwakilasa-di5hcwatu wa Urusi ni watu wa imani gani?

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 หลายเดือนก่อน +20

    Zote nimetizama spitwi na sns🎉 frome Oman 🇴🇲

  • @Nuru-zr2yv
    @Nuru-zr2yv 2 หลายเดือนก่อน +10

    Dj smaa kwenye mambo ya kijeshi huna mpinzani unavyotaja majina duuh salut 🎉

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 2 หลายเดือนก่อน +15

    Huu ndio mfumo mzuri wa uchambuzi wa habar kama hizi..,naomba muendelee hivihivi Kila siku.👍

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน +13

    Ila nyinyi mnadeserve kuwa wanajeshi kabisa kwamana mnaufaham mzuri Sana mashalah mmejaliwa Sana ufaham wa mambo yakimiritary

  • @user-nd5uf6lw4g
    @user-nd5uf6lw4g 2 หลายเดือนก่อน +15

    Tuna wakubali sanaa huku mkoani Mbeya Team ya SNS

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 หลายเดือนก่อน +10

    SNS mpo vizuri sana..mnatupa madini mazuri sana..nakukubali sana sky na dj smaa

  • @kombohamad9299
    @kombohamad9299 2 หลายเดือนก่อน +13

    ❤SNS no 1 Africa

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 หลายเดือนก่อน +17

    Gps ni zaidi ya chuo🙏🙏🙏🇹🇿🇿🇲

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 2 หลายเดือนก่อน

      hawa jamaa wako vzr Sana

  • @user-df8uo2lg9t
    @user-df8uo2lg9t 2 หลายเดือนก่อน +25

    Putin anaweka mambo sawa ulimwenguni maana wamezidi🇸🇮🇸🇮

  • @vuaimakame300
    @vuaimakame300 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni sana wachambuzi na sns kwa ujumla

  • @alisalimkenya3972
    @alisalimkenya3972 2 หลายเดือนก่อน +7

    Sijawai kosa GPS hata moja, muko vizuri
    Dj sma nakuaminia sana
    Full love from mombasa

  • @Fabricedavid2
    @Fabricedavid2 6 วันที่ผ่านมา

    SNS Big respect kwa uwezo wa kufikiri na kufafanua hali halisi ya Siasa. Niwapongeze kwa pakubwa mnawafungua akili ambao hawajui haya mambo. We’re watching this is a serious matter. Nyie ni magwiji Tanzania kwenye sekta ya Watangazaji kwa siasa. #Respect #Sns to the world 🌎

  • @user-zj7tt5gv8y
    @user-zj7tt5gv8y 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sns is the best listeenong from 🇲🇸🇲🇸

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ally dah mwanangu Leo nimemuerewa sana🙏🙏

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 2 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana wakuu ❤ I love you so much SNS

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 หลายเดือนก่อน +7

    Shabiki sugu wa sns , nimesitazama zote. Kutoka 254

    • @amriseleman9395
      @amriseleman9395 2 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaha....😂
      Shabiki sugu Hahahahaha

  • @user-es7jn7cp5d
    @user-es7jn7cp5d 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwako masund kwakutupa elimu

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 หลายเดือนก่อน +2

    You're the best guys thanks

  • @abbynimel-kindy5107
    @abbynimel-kindy5107 2 หลายเดือนก่อน +32

    Wakwanza leo naombeni like zenu🎉

  • @HalimagalgaloMwinyi
    @HalimagalgaloMwinyi 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda ucbambuzi wenu good information 🎉

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nawapenda sana 🎉🎉

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 2 หลายเดือนก่อน +9

    Uraaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mpo vizuri

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 2 หลายเดือนก่อน +2

    Keep it up sns, nafatalia GPS nikiwa Belgium

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi nimezitazama zote kutoka Zürich Switzerland🇨🇭

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน +7

    Russia katuma Submarine na meli bila kuguswa Ulaya imeufyata!!!!!

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 2 หลายเดือนก่อน +8

    Marengo ya Kremlin yatafiwa haijalishi kwamba Kuna NATO au marekani.

  • @nixsonmkamba2895
    @nixsonmkamba2895 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dj sma🔥

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sn Ali salute

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsanteni sana

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y 2 หลายเดือนก่อน +5

    ❤Russian V/ African❤

  • @bubashabalebanga4183
    @bubashabalebanga4183 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa tarifaa

  • @kitosio
    @kitosio 2 หลายเดือนก่อน

    Tunawakubali sana sana Taarifa zenu ni Facts.

  • @user-rp2br1um5y
    @user-rp2br1um5y 2 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda sana mukitoa maelezo na uchambuzi muweke na video munakua munatufanya tujiskie vizur sana

  • @noelmsofe2589
    @noelmsofe2589 2 หลายเดือนก่อน +6

    Ally ni nouma Yani anakuchambulia ata ukiwa mbumbumbuu unaelewa

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤urraa ❤ Putin ❤ team urus pa1sana hatuna mpizani team urusi kiboko ya mashoga 1

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu Atulinde, Norway ni Jirani ya Russia.. 🙏🏼🙏🏼

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Cool

  • @sosbrayantbenjamin9701
    @sosbrayantbenjamin9701 2 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndo wakuwapa nafas kwenye masuala ya ulinz na usalama big up Sana sns wazee

  • @hemedmbondejr
    @hemedmbondejr 2 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu jamaa nae yupo vzuri kwenye kudadavua vitu

    • @weahfeint3406
      @weahfeint3406 2 หลายเดือนก่อน

      Nani sasa😅

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nani amegundua kwenye SnS GPS kuna tuvimtu tuwili tutatu tu ndo tunapinga hawa wachambuzi, Tunachekesha sana kuiponda Russia wakati wana uhakika mrusi mkali mno.Napenda sana kuona comments kibao za wana Sns wanao jielewa na hawaamini mainstream media.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 2 หลายเดือนก่อน +3

    Duh nyie jamaa ni noumaaa sanaaa🙌🙌🙌 yaaan hichi kipindi ni ballaaa, much love from Helsinki Finland 🇫🇮

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 2 หลายเดือนก่อน

      🔥 🎉

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nawakubali sana kwa kutupa elimu wanaotuma meseji za ushabiki ata mabom ya mbagara na gongolamboto awajawai kuyaona wanamkubali mmarekani kutokana muvi zake wasamee tu

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 2 หลายเดือนก่อน

    Nakubali dj smaa sana tuu❤❤❤

  • @user-ge8gy1ld8u
    @user-ge8gy1ld8u 2 หลายเดือนก่อน +9

    Akuna atapigwa uyo

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 2 หลายเดือนก่อน +1

      huyo aguse marekani ndio ataskiza mziki hajawahi ona

    • @Njiwamichael-km1dm8et9x
      @Njiwamichael-km1dm8et9x 2 หลายเดือนก่อน

      Ajichokonoe aguse USA kudadeki

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@Njiwamichael-km1dm8et9xVita vya nyuklia havijawahi kuwa na mahindi mkuu.Marekani na Umoja wa Ulaya wataweza kumshinda Russia kijeshi Hilo hatukatai ila madhara yao kiuchumi yatakuwa makubwa hakuna mfano na Hadi hapo kutatokea anguko kubwa sana la kiufupi na China atakuwa New superpower katika ulimwengu.Hilo jambo NATO, EU na USA wanalijua fika na hawawezi kamwe kwenda vitani.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@geomangi6123USA ipi hiyo hatari ya kwenye Hollywood..?😂 Ile USA iliyokimbia Vietnam 😂😂😂..? Ile USA iliyokimbia Afghanistan😂😂😂..?

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij หลายเดือนก่อน

      Kaenderee kunyonya uku waachie wanaume we shoga kaa pembeni

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mnaongea kwelikweli kabisa

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 2 หลายเดือนก่อน +3

    SNS❤

  • @josephm4233
    @josephm4233 2 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you very much guys, I am impressed by your holistic analysis, which is by far broad and deep, permission to use your conversation to provoke discussion in my lecture sessions🙏

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  2 หลายเดือนก่อน

      Thanks Joseph, permission granted

    • @josephm4233
      @josephm4233 2 หลายเดือนก่อน

      @@SimuliziNaSauti I appreciate

  • @JoshuaMwandwanga
    @JoshuaMwandwanga 2 หลายเดือนก่อน +2

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 หลายเดือนก่อน +2

    Allah yaaram..mwenye ujuzi Zaid ni yeye muumba wetu jinsi dunia inavyokwenda sasaiv

  • @SaidyMwajeka
    @SaidyMwajeka 2 หลายเดือนก่อน

    Very well 👏

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tupo ma1 na ninyi vizuri zaidi msionekane kuwa washabiki wa vita mtapendwa na wengi

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 2 หลายเดือนก่อน +1

    tnawafatilia sna dj smaaa uliwai kusema ktk zile option 3 Kuwa urusi haiwezi kutokea kuishindwa vita na ukrei, ispokua kuwe na option 3 moja kuripuka kinu cha zapoziha, pili nato waingie moja kw moja, tatu wakbali matakwa ya urusi. Mpaka sasa urusi wameshindwa vita sasa ulaya imebaki option ya vita tu

  • @habibumnibo4000
    @habibumnibo4000 2 หลายเดือนก่อน +1

    GPS🔥🔥🔥🔥

  • @user-jq7dy4iy7y
    @user-jq7dy4iy7y 2 หลายเดือนก่อน +4

    🌍🌍🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🇳🇱🌍🌍

  • @kingpunzy194
    @kingpunzy194 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watu wanasema Dj sma anauelekeo wa Urusi. Hata mimi ningekuwa sns ningekuwa nipo katika mlango wa Urusi. Nawakumbusha tu Uchambuzi nao pia ni uharakati lazima uelekee kwenyee upande uliosahihi (haki) Uchambuzi wa siasa sio mpira. Mpira hata uchambue vipi hauna natija katika maisha ya binadamu. Amerika ni waovu watangu na tangu, uovu wao ulijificha kwa kigezo cha Demokrasia way back ago, now umedhihirika wazi. Rusia nao ni waovu ila sio wenye misimamo mikali sana. Ukisoma fikra zao za kimaisha (Nidhamu za kiuchumi) Utagundua kuwa Uchumi wa kirasilimali ni mkali sana kwa raia tofauti na uchumi wa kijamaa. So kuna uhafadhali kidogo wa kutawaliwa na MRUSI kuliko MMAREKANI. Hapa ndipo wachambuzi wenye akili kama DJ SMA hawezi kaa kwenye UMAGHARIBI.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 หลายเดือนก่อน

    ✌️👊👍.

  • @abrahamhabarugira2483
    @abrahamhabarugira2483 2 หลายเดือนก่อน +5

    Ally massoud una akili sana

    • @amriseleman9395
      @amriseleman9395 2 หลายเดือนก่อน

      Jamaa ni kichwa sana yanj

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 2 หลายเดือนก่อน

    Tupo pamoja South Africa 🔉🔉🔈📣🔊

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hii GPS ni balaaa lingine nchini Kwa sasa

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa yukrein hanahizozote na ndio urusi wameshindwa kuchukuwa yukrein.

  • @vanny387
    @vanny387 2 หลายเดือนก่อน

    Asanteni sana kwa iki kipindi.... Mi natokea Burundi ila kwa sasa naishi Afrika Kusini...

  • @joeboa3139
    @joeboa3139 2 หลายเดือนก่อน +4

    Leo mi wa pili

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 2 หลายเดือนก่อน

    Bro mm sijawah pitwa na GPS au kipindi chochote kile ambacho kuna saut yko hapa SNS #sky

  • @dereckdavid9609
    @dereckdavid9609 2 หลายเดือนก่อน

    Contents za GPS zinaenda sana as per views 🔥🔥

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 2 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @AyoubHajj
    @AyoubHajj 2 หลายเดือนก่อน +1

    Me naomb kuuliza
    ivii total number of Ukrainian soldiers
    And how many are remain adii saa

  • @HafidhOmar-rs4ty
    @HafidhOmar-rs4ty 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nmedhaliwa najikuta nmshabk wa urusi cjui kwnn

  • @besteva499
    @besteva499 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu ayirinde Africa namajanga yahawa mafisadi

  • @georgedalali3852
    @georgedalali3852 2 หลายเดือนก่อน

    Mwambie DJ Smaa, kutoonesha mwelekeo ni sifa ya mchambuzi Bora.

  • @husseinmanyanga1587
    @husseinmanyanga1587 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daar nilikua skufatilii ilakuanzia leo nitakua nakufatilien muko vizur sana

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 หลายเดือนก่อน

    Usipendelee Rashiya saana

  • @fredoadams7169
    @fredoadams7169 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sky next time katika Wachambuzi wako awepo 1 au 2 ambao ni pro West/USA ili knowledge iwe pana zaidi

    • @HashimuMandala
      @HashimuMandala 2 หลายเดือนก่อน

      Toa ujinga 😅😅😅😅

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน +2

    Usisahau kuwa Ulaya ni Nchi ndogo ndogo Sana sana... Russia anaeneo kubwa kama karibu na bara la Afrika....Maeneo yaliyotekwa Na Russia ndani ya Ukreni Yana ukubwa sawa na Nchi ya Ugiriki na ureno......

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kumbe ana eneo kubwa na aridhike na eneo lake kubwa.sasa kwa nini yy anataka kupora ardhi ya nchi nyingine ndogo ili hali yy ana eneo kubwa?

    • @Siasia209
      @Siasia209 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe nae ebu kafwatilie usome uko unatia aibu hp kuuliza swali halina kichwa wala miguu​@@MathewNathan-yb2bz

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 2 หลายเดือนก่อน

      Fact Russia anajilinda

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@MathewNathan-yb2bz Russia anajilinda na kuwalinda Warusi ndani ya Ukreni...Hata majimbo aliyoteka yanawakazi asili ya urusi....

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MathewNathan-yb2bztatizo umekosa elimu 😂

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 หลายเดือนก่อน

    Hakika ni kweli km ni hivyo hawatamuweza mrus

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w 2 หลายเดือนก่อน

    Wallahi mwana fuse na kikosi chake ni wadadavusi wa kuchakatua maswala ki kwa tecnology ya kisasa hongera sana kwa uchambuzi unao eleweka kwa ufasaha.

  • @emmanuelmlekwangano9991
    @emmanuelmlekwangano9991 2 หลายเดือนก่อน +4

    Putin atapigwa tu wanamuacha tu adhoofike kiuchumi watamalizia akiwa dhoofu Sasa Wana zisoma silaha zake zote anazozitumia ssasa hivi

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน

      Unalolisema Lina ukweli mkuu.Ila china Hawezi muacha Russia aanguke kiuchumi maana anamtegemea kwa teknolojia ya kijeshi na usalama pia mkuu, maana china pia anachukuliwa kama adui na Marekani na Umoja wa ulaya.Biashara ya china na Russia sasa hivi ni $ bill 240 mkuu ila wanatarajia ifikie $ bill 487 kufikia mwaka 2030 mkuu.Kumbuka kabla ya vita Russia exports yake kwa ujumla ilikua ni $ bill 586 mkuu, Hadi hapo Ulishaona namna Gani uchina anavyomuokoa Russia kiuchumi.Pia tambua gesi asilia kwa uwingi IPO sana Russia mkuu mwezi wa nane mwaka jana wamegundua reserves ya miaka 97 kutumia pia ukubwa wa nchi kaka sio mchezo eneo la kilometre mill 17.2 sio mchezo.Japo Russia anaumia kiuchumi kwa kiasi kikubwa ila kuanguka sio kwa leo mkuu ila china ikianguka basi hapo tambua Russia pia ndo mwisho wake.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kupata vichekesho hv piga 0000😂😂😂

    • @ernestkunja3472
      @ernestkunja3472 2 หลายเดือนก่อน +1

      We ni shoga

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 หลายเดือนก่อน +1

      upo ulimwengu wa giza 😂😂😂😂😂

    • @user-yw3qh6qj8g
      @user-yw3qh6qj8g 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe unafahamu,

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 2 หลายเดือนก่อน

    Aisee kweli mungu fundi yaani kwenye hiyo safu mliyo nayohapo. Kila mtu ana madini yake. Tukianza naskay dj smaa masubi nahuyo mmwingine kiukweli mmefaa sana.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila mnajua tunao comment humu ifikapo 2099 tutakua tumekufa tujitahidi kafanya ibada 🙏

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 2 หลายเดือนก่อน

      Shida ni nini sasa!?

  • @sydioslibanais6840
    @sydioslibanais6840 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nawakubali mnoo Wana SNS family, but naona mna puuzia mnoo nguvu ya marekani japo nikweli akuna muafrika mzalendo wa bara lake au nchi yak ambae anaweza kupenda US, ila UKWELI usemwe kwamva kwenye utabiri wamaandiko ya kiimani utawala wakidunia US imo sofano

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nataka kujua nani anae pima kujua nchi fulani ina nyuklia nying

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 หลายเดือนก่อน

      Shirika la Atomiki duniani mkuu.

  • @3erffeoui86
    @3erffeoui86 2 หลายเดือนก่อน

    Sixty years on, Algerian desert region still struggles with effects of French nuclear tests

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu hatufai anapenda sana rugha za watu sio mzalendo kama dj sma

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 2 หลายเดือนก่อน

    Mbeya chapa like ..

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwanza kabisa masuala ya idadi ya nyukilia hiyo ni Siri ya NCHI husika kuwa Wana idadi ipi sahihi ,lakini yote Kwa yote Putin sio mjinga atapigwa mtu mpaka ashangae yaani kama mbwa mwizi 😂😂😂😂😂

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 หลายเดือนก่อน

      Urusi ina silaha nyingi sana za nyuklia kwasababu uranium wanachimba wenyewe wana uranium yakutosha, marekani uranium ananunua 😂

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wamalekani wanajua Wana Cho kifanya Hakuna taifa litakalo shindana kivita na taifa Hilo wasomaji wa Bibilia wanajua Hilo,

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 หลายเดือนก่อน +2

    Vita vme mahinda anajipendza ulaya markan

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 2 หลายเดือนก่อน

    Nikweli Binadamu nimbaya mara kumi kuliko Shetani

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 2 หลายเดือนก่อน +1

    DJ sima naomba namba yako

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie wachambuzi mnatakiwa mseme kipi kitatokea ikiwa ukraine itashindwa,,,maana ukraine ingepigana ndani ya URUSI mngeweza kusema ivyo sasa ukraine kujitetea mnasema anatumika uo ni ujinga

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 2 หลายเดือนก่อน

    Mrusi Amewashika Pabaya Sana Hawa Mashetani wa West na Mpuuzi Mwenzao Marekani

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 หลายเดือนก่อน +1

    mbona kama sauti ya FA kwa mbali

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 2 หลายเดือนก่อน +1

    Saffffiiii

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 2 หลายเดือนก่อน

    uchambuzi mzuri saa moja kama dakika moja 🇨🇦🇨🇦

  • @user-cn1ft8sx2q
    @user-cn1ft8sx2q 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yeye mbona anatumia silaha za Iran?

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 2 หลายเดือนก่อน

      Nenda ukanye kama umeshiba ,

    • @user-jo1zp7fj7r
      @user-jo1zp7fj7r 2 หลายเดือนก่อน

      mwambiye huyo​@@uwimana6533

  • @tyivbra
    @tyivbra 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu broo mwanasheria anajua mpk anakera an
    Navituko vyake ety kiini macho
    Never get tired listening