Hiyo "sitaki chochote nakutaka wewe tu" hua n chambo tu, muoe uone show😆😆😆 hakuna mke wa bure Pia wanawake sisi wajinga kwanini ujiingize mahali wajua mume hana uwezo mke wake mwenyewe ateseka na ww ukateseke zaidi?😅
Mapenzi Bibi kuku wewe shekh mi uwezo ninao kidogo nikipata mume niliachika mda nikarudi home nikapata mume nikazani anauwe, o ananipandisha magari anabadilisha kumbe si yake ilipofika muda naona apokonywa minikamuliza mbona ulisema yako nilikuwa namuliza akanambia anadai pesa sasa namuliza ndio upokonywe gar basi mi nikaanza kutumia changu nilimpenda Sana toka kumbe Jambazi mkubwa anadaiwa kila pembe akaniowa nikamalizika dhahabu gari kiwanja sikujenga nikarudi zangu akanimaliza kabisa namøeleka Mpaka dubei Oman kumbe amemaliza Mpaka dada ake kamuzia banda lake hana hanani anakula na polisi ukimueka ndani Leo atoka kesho Mi hajaniacha wala iyo talaka siitaki mana naona hakukuwa na ndoa ni ndoana eti bado watu washanambia jambazi mkumbwa Jesi nilioneshwa Mpaka police ado anakataa wakati rafiki yake wote waliniambia hatukuweza kukwambka ila tumesikitika huyu ni lana sas nikachana nae toka 2016 kazuka simulizi kazuka tena kipindi Cha korona aniuliza hali mi nimenaa ulaya Sana Leo nilienda home kujijenga nikavamia mtu smjui nikasemeshwa Mpaka na familiya mi sikuaminii alivyo mtulivu anatrmbeza Macho tu na akiwa a nataka kwangu mi mwanzo dola Mia tano na akanodanganya mengi Sana alingia ajali ya gari gari ya rafiki iliharibika mi niliagiza dubai tena yeye kwa pesa zangu akasema kaka ake atahamaki tutafanya nini au tumpe ile tuloagiza ikaletwa mi nikatoa mara ya mwanzo tulipo kutana alinipa pipi kali nikawa nala tu kumbe Pia nikaja nikambiwa anatumia ushirikina allahu ya allam eti chuma uletena mi kumpa kitu mtu sijui ningumu ila Nina roho ya nzir Sana ila sina bahati sushi kudhullumiwa na nijadho langu ni nzito ila nitapata kwa mngu ila ni. Wemwambia simsamehe Mpaka kiama mana nishachoka ulaya na nikitizama sina kiitu na hivi narud nyumban nishachoka umri 45nichoka Sana Salam aleykum mwenye maudhui mazur anipe allah awahifazi wanawake wema Amin
@rausa pole sana Mungu atakufungulia kwenye kheir na wewe Mitihani ndio dunia. Mara nyingine chunguza mtu kwa undani kabla ukubali kuolewa. Matapeli ni wengi
Huyu shekhe ana suta una ona haya kuangalia kama Juma Amir. Hasidi wahed. 😂 Kuna nyingine alisema tangu lini mwanamke akaswali witri msikitini Kama sio wataka kuranga
je shekhe kama mume anakupa kula lakini haitimizi mpaka na wewe mke uhangaike ala hajawahi kununua nguo unapewa kwenu na nyimba pia haiko vizuri watoto wanasumbuka je mume huyu anafaa kuongeza mke mwengine
In sha Allah, ALLAH atupe nyoyo za Imani tuwastiri wenzetu wanaume iwapo tunauwezo🤲🤲🤲
Hawana fadhila hawa waume wa zama hiz bora ujipe shughuli
@@rehemasalim4590 😂😂
Asante Shekh Izudin kwa mawaiza yko mazuri
MASHA ALLAH ALEIK
Allahumma Sali A'ala Sayyidinnaa Muhammad WA A'laa Aalih SWALLA LLAHU ALAYHI WASALLAMU ❣ ❣ ❣ ❣ ❣ ❣
Walah Sheikh we khatar sanaaaaa
Hiyo "sitaki chochote nakutaka wewe tu" hua n chambo tu, muoe uone show😆😆😆 hakuna mke wa bure
Pia wanawake sisi wajinga kwanini ujiingize mahali wajua mume hana uwezo mke wake mwenyewe ateseka na ww ukateseke zaidi?😅
Mapenzi Bibi kuku wewe shekh mi uwezo ninao kidogo nikipata mume niliachika mda nikarudi home nikapata mume nikazani anauwe, o ananipandisha magari anabadilisha kumbe si yake ilipofika muda naona apokonywa minikamuliza mbona ulisema yako nilikuwa namuliza akanambia anadai pesa sasa namuliza ndio upokonywe gar basi mi nikaanza kutumia changu nilimpenda Sana toka kumbe Jambazi mkubwa anadaiwa kila pembe akaniowa nikamalizika dhahabu gari kiwanja sikujenga nikarudi zangu akanimaliza kabisa namøeleka Mpaka dubei Oman kumbe amemaliza Mpaka dada ake kamuzia banda lake hana hanani anakula na polisi ukimueka ndani Leo atoka kesho Mi hajaniacha wala iyo talaka siitaki mana naona hakukuwa na ndoa ni ndoana eti bado watu washanambia jambazi mkumbwa Jesi nilioneshwa Mpaka police ado anakataa wakati rafiki yake wote waliniambia hatukuweza kukwambka ila tumesikitika huyu ni lana sas nikachana nae toka 2016 kazuka simulizi kazuka tena kipindi Cha korona aniuliza hali mi nimenaa ulaya Sana Leo nilienda home kujijenga nikavamia mtu smjui nikasemeshwa Mpaka na familiya mi sikuaminii alivyo mtulivu anatrmbeza Macho tu na akiwa a nataka kwangu mi mwanzo dola Mia tano na akanodanganya mengi Sana alingia ajali ya gari gari ya rafiki iliharibika mi niliagiza dubai tena yeye kwa pesa zangu akasema kaka ake atahamaki tutafanya nini au tumpe ile tuloagiza ikaletwa mi nikatoa mara ya mwanzo tulipo kutana alinipa pipi kali nikawa nala tu kumbe Pia nikaja nikambiwa anatumia ushirikina allahu ya allam eti chuma uletena mi kumpa kitu mtu sijui ningumu ila Nina roho ya nzir Sana ila sina bahati sushi kudhullumiwa na nijadho langu ni nzito ila nitapata kwa mngu ila ni. Wemwambia simsamehe Mpaka kiama mana nishachoka ulaya na nikitizama sina kiitu na hivi narud nyumban nishachoka umri 45nichoka Sana Salam aleykum mwenye maudhui mazur anipe allah awahifazi wanawake wema Amin
@@TeamKRX pole dadangu mungu atakufungulia
M.a
@rausa pole sana Mungu atakufungulia kwenye kheir na wewe
Mitihani ndio dunia. Mara nyingine chunguza mtu kwa undani kabla ukubali kuolewa. Matapeli ni wengi
Rausa beni pole sana Allah akufanyie wepec kwa kila zito
Jazakallah khayran
Naombeni jibu 🙏
Mashaalh
MASHALLAH Sheikh mawaidha mzuri
A.a naomba niulize je ukitaka kuongeza mke WA pili mzazi a naeza kuzuilia au laa
jazakallahu khairah sheikh
😂😂😂😂fanaaleki kufa hakuna breki n kweli shekhe wanaume wakosea hapo tu uwezo unakuwa mdogo lkn bado anaenda kuongeza mtihan
Mashaalh shek
Huyu shekhe ana suta una ona haya kuangalia kama Juma Amir. Hasidi wahed. 😂
Kuna nyingine alisema tangu lini mwanamke akaswali witri msikitini Kama sio wataka kuranga
Ma shaa Allah
Mmh..kwa Allah mbaali
Jazakallah lkheer
😁Alhmdullillahi. Yaa Rabb sitara
Together nice for the batter
THE BIGGEST BOSS NASRI
MashaAllah
Hapo wajitaftia maafa
Hassidi waaaaaaaaaaaahidddddddiiii😁😁😁😁😁
Asante shehe
mashallah
Wakati huu Kakuna wake wala waume
je shekhe kama mume anakupa kula lakini haitimizi mpaka na wewe mke uhangaike ala hajawahi kununua nguo unapewa kwenu na nyimba pia haiko vizuri watoto wanasumbuka je mume huyu anafaa kuongeza mke mwengine
Msikilize kuanzia pale mwanzo. Haifai kuongeza ilhali hawezi hata kukulisha
Ahsant alhabib
Maneno swadakta
MASHA ALLAH ALEIK