BIBI NA BABU WAIBUKA SERIKALI ZA MTAA KUMTAFUTA MJUKUU WAO ZAHIR ETI HAWAJAMUONA MWAKA MZIMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Babu and bibi shikamoooni mungu awape afyt waliafya
Jmn bibi na Babu tumewamis mno ! Kaka zahir walikumic mno na usikae ukawasahau mno jmn
tuliwamiss sana babu na bibi mungu awaweke ishallah
Shukran zahir kutuletea bb na babu kikweli tuluwamisi sana Allah awazidishie umiri mumkaribi Allah kwa sala na maombi
Wakwanza 🎉🎉❤like nawapenda sana bibi na babu❤❤😊
Babu /Bibi tumefurahi kuwaona wazima na Afya tele mashallah ❤❤
Asante zahir kwa kutuletea babu nabibi
Tumefurahi sana allah atakulipa mema dunian na akhera allahuma amin
Mashallah tabaraka llah 🥰 Zahir nawengineo wapitie tuwaone vizuri saana 🥰❤️❤️❤️
MASHALLAH Baba angu Dhahri umeteuliwa na ALLAH uwaangalie hao wazee mpaka mwisho wao au mwisho wako hivyo Yani uwe unawapitia pitia SI lazima uwende na TV hata ukienda ww kama ww inatosha barka hizo wengine Wana Mali lakini hawana furaha za kutafutwa na wazee kama hao na wanataka watafutwe Neema hiyo Baba angu.
mambo mtoto wa zahir
@@senetaworldwidetz powa
Mtihani kumbe mtuuu akizeeka anakua mtoto eti walikua wanaenda kwa mwenyekiti kumtafuta kaka zahiri
Tunarudi tulipotoka
Yani nilivo ona ilivyoandikwa umeshtakiwa nikajikuta nimecheka kwasauti
Zahiri tunamuomba babu namtoto wake wa porini babu wa michikichi
❤❤❤❤Zahir babu na bibi yetu
Hongera zahir kutembelea Babu na Bibi
MASHALLAH wenyewe wakimuona Dhahri wanadeka mwaya wanajiachiya maelezo yote ALLAH Akuweke Baba Angu Dhahir uwahifadhi mwisho wa Hatma Yao Amiiin 🤲 Amiin 🤲 Yaraby
Zahiri wewe ni faraja ya hao waze walai
Tumee wamis bib na babu
Ninayo furaha kumuona bibi Na babu nili wamiss haki😂😂
Zahir kamwambia babu hafungi🤣🤣🤣🤣🤣.
Nakupenda sana mdogo wangu zahiri
❤❤❤Tuliwamiss wazee weyu
Asante kwaku waleta nawakina happy naho please
Binafsi nlkuwa naumia sana! Hawa wazee tumewatenga sana! Tupo bize na mama Batuli, hatujui wamekula nn? Hali zao zipoje😭 jaman Hawa wazee wanatutegemea sana tujitahid sana
Umeongea kwa uchungu kutoka moyoni inshaallah tujitahidi kuwachangia
Hawa kuna mtu special anawatu Mia mahitaji
😂😂😂😂Zahir babu na bibi wanakupenda mpaka ukatafutwe serikali za mitaa
😂😂😂😂😂kwa kweli
Mxhwa huo inamidi wawekewe mlango wa Silver hauliwi
Mashallah bibi kaneeneepa
NA KWANINI HUO MWAKA MZIMA HUYO ZAHIR HAJAONANA NA BIBI NA BABU YAKE 😂😂
Sijapendara nahasemi
me niliwamiss babu na bibi
Jamaaaaaaniiiiiiii biiiibi na baaaabu aooooo! InshaAllah mwenyewe z mungu awape umri twawiiil. Awape khucni lkhatima.
😂😂😂 babu kanichekesha anojiombea dua yeye anaogopa kusema mengine kule yatakua ayafiki
Aki kaka zahiri munqu atakulipa ujira wako naushichoke jaza yako utajikuta kwa munqu hasa kwa wazee km Hawa WA kukumbuka honqera zahiri
😂😂😂😂😂jamani Bibi na Babu siku nyingi I'm happy seeing you two guys ❤❤❤❤
Mashaallah ❤❤❤
😂😂❤
Nivizuri ende masjid, lakini nani atamchunga bibi, must be someone to take care of her, yeyeakenda masjid aw popote.
Shukran nyote
Nimefurahi kumuona bibi na babu
Nimefurahi kuwaona Mungu aendelee kuwatunxa
Zahir ni km mimi mission yangu ikiisha ndio nimeenda namiss nyoooo nyingi nilizozigusa
Mwee tuli wamiss
Woow babu tlikumiss
Mwenyez Mungu awape siha njema na mwisho mwema insha Allah
Mlango umeliwa na Mchwa jamani wazee wetu
Babu shikamoo
Huo mlango umeliwa na mchwa hadi umechomoka
Jamn watoto wako kina hawa na yule wa bukoba sjui hali zao saiv haahaha
Babu kenda serikal z mtaa jmn😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 zahiru eti nbona unajicho moja❤❤❤❤😂😂
😂😂
Jamanii nimewamis babu na bibi 😘😘😘
Mashallah ❤
Babu na bibi nawapendaaaaaaa
Babu na bibi hao Manshallah ❤❤❤
Pamoja naweee zahiriii
Masikini
Alikua kwa bb wa kipastani
💃Tuli wamisss sana
Babu na bibi tuliwamis jmn
Jaman ktambo bibi na babu😂
🎉🎉
😂😂😂mzee muuni sana hajui hata Dua duuuh hatar sana
😂😂😂
@@khadijahali4837 😂
Mashallah 🎉
Mbona nyumba imekuwa kongwee
Mchwa wanamaliza mlango
Kwass ardhi sehemu nyingi mchwa umejaa sana
Mchwa wangipaka rangi ama dawa ya mchwa
Ni mlango tu naisi ume tafunwa na mchwa
Wowowowow💕😍
Babu kaenda Serikali za mtaa kmtafuta Zahir 😂😂
Babu na bibi
Hii😅
BaarakAllahu Feekum, munaimani sana.
Thanks for sharing
😂😂😂😂wamekosa kudeka wamekosa mfuko