Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa
Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992
Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah
Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.
Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏
Mahubiri yako ya hii siku ni makubwa mnoooooo...Hakika Mwenyezi Mungu kafanya kazi yake ... Yemba yembaaa....yembera Nzambe....dah nimejifunza hadi kilingala leo
This is such a lovely lesson and delivered so well. I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune. Thank you very much for translating and bringing it to our attention. Barikiwa.
Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN
Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏
I love you so much postle mtalemwa 🥰🥰 mungu akuepuche kwakira kilakitu? Namm pia usinisahau popote uyendapo amen
Tucheze mpaka keshooooooo safi sana
Hakika ww ni mtumishi wa Mungu....... Ubarikiwe Sana! Endelea na kazi ya BWANA mwalimu.
Huyo ndo Chief Apostle Mtalemwa salute kwako Mtu wa MUNGU
Wazee wa rhumba wamechangamka sana.Wangepewa divai,ingekuwa sawa zaidi
Apostle MTALEMWA, UWEZI KULEMEWA. MOLA AWE NAWE MILELE. AMINA.
Hakika nijejifunza kitukikubwa sana katika ibada hii Mungu aturehem.
Nilifarijika sana nilipoisikia tafsiri ya Wimbo huu kwa mara ya kwanza mwaka 1997 ulitafsriwa na mtangazaji wa Redio Free Africa katika kipindi cha Bolingo time. Aisee mungu mkubwa
Asilimia kubwa ya wana music wa Congo/Zaire wa kizazi kile walijifunzia mambo ya music makanisani; hadi wale wapiga magitaa kina Diblo, Dally Kimoko, waimbaji kama huyu Tabu Ley, Bozi Boziana wote ni watoto wa sunday school. Bozi Boziana alikuja kubadiri dini na kua muislamu hasa baada ya ile ziara yake ya Tanzania nadhani mwaka 1992
1994
Hakika nimejifunza mi nilikuwa sielewi .ubarikiwe mtumishi unanibarki Sana
Aisee.. nimekuelewa sana mtumishi wa MUNGU.. kila siku napata kitu kimpya ..
Kiukweli Mungu akuinue viwango nimefunguka macho na masikio
Furahini katika Bwana tena nasema FURAHINI
i honestly like the way this Pastor is passing the msg of God to his congregation through music. This is awesome.
Nimekuelewa pastor mungu azidi kukupak mafuta yake
Let the Spirit of God guide us all, coz there's a spirit behind everything we say or do...
Wooow after kuona tafsiri hata nkaipenda zaidi sikua nishai fuatilia rylics zake....mchungaji mzuri kweli barikiwa umetufungua macho.🙏🙌
Ctajudge tena,Asante saana mtumishi
Ubarikiwe baba sikujua maana ya wimbo huu
Hii nyimbo itabidi
waimbe siku ya
harusi yangu 🔥🧎♀️
Ubarikiwe!!
Amen barikiwa mpendwa
Aaaaa...men Apostle very powerful explanation mayGod bless you
Baraka ... Pastor karibu kenya
Hakika kanisani ni sehemu ya kuponya Moyo..tukacheza na kufurahi!!
Mungu akubariki Baba.
I didn't know it's a song that exalts the name of the Lord Jesus Christ.hallalujah
Ahimidiwe mungu wa mbinguni
Wow,
Wow
Nice apostle
Nyimbo nyingi za Congo muwe nazo makini nyingi sana zipo hivyo yaan unaweza ijaji kumbe maneno yautukufu matupu kuna wimbo nilishawahi sikiliza wa koffi olomide wa zamani sikuyelewa ila kuna nzambe nyingi nyingi na hallelujah
Sina usemi.Mungu tupe macho ya rohon .ngafuu bwa gwituuu
Fumba kinywa ww
Ukosawa Mchungaji asante kwa kunihelewesha Mungu awabariki
Tatizo ni moja, kumekosekana utofauti kati ya mapigo ya muziki wa kidini na wa kidunia. Lakini mi naamini ni lazima kuwe na tofauti.
hongera.kaka.posta
Amen😍😍
Barikiwa Mtumishi
Whaaat! Inashangaza sana, kwani huwa ni Gospel! Sikuwai juwa ila huwa naipenda.
Mungu akujaalie afy njemaaaa Tena miaka bukuuuu🙏🙏
Duuh! Kweli tusiwe wepesi kuhukumu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻. Mimi nilikuwa sijui mtumishi, asante sana. Muzinaaa 🔥🔥🔥💃🏻💃🏻💃🏻
Great gospel song indeed...but only fools will end up judging.We should deeply think on something b4 judging someone..Its good to ask something if we don't understand rather than judging.
Mimi naelewa leo dah!! Mungu akubariki sana nimependa
Nakukubali pasta💥💥💥
Kwa kweli itakuwa vigumu binadamu kama Mimi kuingia katika ufalme wa mbingu
Mwenyezi mungu naomba unisamehe dhambi zangu nilizotenda bila kujua
Amen Amen 🙏
Amen mtumishi Wa mungu
I didn't know this song ,kumbe una maana nzuri ivi
i had to subscribe to this channel asap
Ubarikiwe kwa tafsir nilijua muzina wa litata vinakaribiana na kiha
Dah! Naipendaga huu wimbo tangu utoton lakin maana take sijuiag,kumbe ndo hivi! Be blessed
Barikiwa Sana mtumishi ninaiman cku moja utakuja kanisan kwangu
Aposto wewe ni kitu kingine mmmmmh!!!!!!!Mungu wa mbinguni akutunze Mwanangu
Gd bless
Daaaah Mungu akubariki sana Nipeipenda sana hii
They should call a teacher too,you're amazing
Mmmmmh kweli asante sana
Hao wadda wanavaaje hivo mchungaji! Unahubiri vizuri Siku zote lakin kemea sana hao Dada! Yan wapo uchi
Don't judge
Yaani sikujua kama huu mziki kweli unazungumzia Mungu. Asanteni sana nimejifunza jipyaaaa
SIKUKUWA NA MTOTO WA KIUME. nILIFANYISA WIMBO HU WA mZEE tABULEY nIKAMUPATA kIJANA MARUFU.!! Mngu a sifiwe sana..
Mungu nisamehe maana hata Mimi nikuskia hii nyimbo ikitumika Sana lakini sikujua ninyimbo ya Mungu kama nimekujaji Kwa kufikiri nisamehe pia
Blessed Sana mchungaji!!!! Just known the truth behind musina.Fabulous!!!!
Halleluya Halleluya mtumishi wangu 🙌sijutii kuwa humu ecg ⛪
Safi sana Baba Mchungaji ubarikiwe sana.
Kiufupi to ubarikiwe MTUMISH wa Mungu 😁👍🎶
Message home
Nimebakia nalia tu kwa uchukngu asante kwa kunifumbua
Ubarikiwe mm niliucheza Sana enzi hizi sikujua ni kipi kinaongelewa nimefurahi Apostle
Asante mtumishi nimejifunza kitu Kwa kweli
Heshima sana
Mtumishi ninashukuru kutufungua. Ndiyo kwanza nafahamu maana ya wimbo huu. we should not be quick to judge. Be blsd Man of God
Correct
Tumepata fuzo kubwa sana mtumishi barikiwa sana
Hauja hubiri saaana lakn message nimeipata "DON'T JUDGE TOO QUICK"... powerful
Nashukuru Mungu maana sikuhukumu nilipoanza kuskiza. Nilikaa nikisubiri neno la mwisho ndiposa nihukumu. Lakini badala yake nimepata baraka na kutubu pia 🙏
Mahubiri yako ya hii siku ni makubwa mnoooooo...Hakika Mwenyezi Mungu kafanya kazi yake ... Yemba yembaaa....yembera Nzambe....dah nimejifunza hadi kilingala leo
Tablei huyo kumbe tafsili take iko vizuri
Nimekumbuka mbali sana,tulicheza disco waliita siku ya bakulutu,bolingo time,vijana wa zamani hapo umewashika
Hakika nmebarikiwa kupitia huu wimbo baada ya kujua tafsiri yake
Injili ende mbele
Ahahahaaa pastor umetisha baba nitakuja skumoja
Nakupenda mtumishi unanibariki saaana
This is such a lovely lesson and delivered so well.
I was today years old when I found out what a wonderful and powerful message this song sends. I had always just taken it as a catchy Rhumba tune.
Thank you very much for translating and bringing it to our attention.
Barikiwa.
Kwa mara ya kwanza kujua tafsiri yake kwa kweli nipenda sana ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Ameni
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Waaaa wonderful pastor this is full wisdom be blessed alot we love you from kenya
Mungu akubatki sana mtumishi
Mziki bila jasho aposawa wapi apostle wapi mtatalemwa kulekukuleeeee shika kawaya hallelujah
Mafundisho mazuri sana. Mungu akubariki mno
Sawa kabisa
Uke na tundum nimekupend bur
Leo pasta umenifurahisha sana
1st day to listen to you and you have really teacher me alot
Iliimba kwaumakini sana
Très bien
Soyez béni monsieur le pasteur.
ECG NAWAPENDA SANA
Following, you have blessed me and l can't regret why following really l have learned many reasons from u man of God more grace to serve God's people AMEN&AMEN
Oyaaaa apostle that was my f favourite and many didn't know it was a gospel uko juu mtumishi live long with wisdom
Nimekuelewa mtumishi
Thanks a lot. very rich and well intended song/message. God bless you
Daaaa sikujua maana yake, ubarikiwe mtumishi.
Nakupenda bure Papa Apostle
Katika wachungaji ninao waelewa wewe namba 1 unanishawishi Sana iko siku nitakuja kanisani kwako mungu akuongezee kipaji kikubwa Sana
Hahahaha hongera sana Pasta uko vizuri
Kucheza mpaka kushika vitambi kweli huko ndio lugha yangu tunasema kuvina
Mungu umulehemu aliyetunga wimbo huu pepe kare nikiwa
M
Haaaaa kweli usilolijua ni usiku wa giza😁😁😁 leo ndio nimeelewa huu wimbo ni wa Mungu. Chief😍😍 Mungu akubariki Mafunuo yangezeke kanisa letu ECG liongezeke mara dufu ameen🙏