WANUNUZI WA PARACHICHI NJOMBE WAELEZA SABABU ZA SOKO KUPOROMOKA MPAKA SH 200 KILO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
  • Kufuatia malalamiko ya wakulima wa parachichi juu ya bei kushuka na kufikia mpaka shilingi 200 kutoka shilingi 1700 kwa msimu wa mavuno wa mwaka 2024 wanunuzi wa parachichi wameeleza kwa wazi sababu za zao hilo kushuka bei.

ความคิดเห็น •

  • @tariqbathawab1147
    @tariqbathawab1147 4 หลายเดือนก่อน +2

    NAJIB KAZI NZURI ❤

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 3 หลายเดือนก่อน

    Nawashauli nendeni Kenya mjifunze juu ya kilimo cha usalama na afya, madawa yanatuumiza selekari sana sana wizala ya afya.

  • @FelixMwinami
    @FelixMwinami 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ameongea vizuri sana shida sisi waswahili tunajua kulalamika tu

  • @zawadiluvanda8162
    @zawadiluvanda8162 4 หลายเดือนก่อน +2

    safi Erasto ngole

  • @mapenzitz
    @mapenzitz 2 หลายเดือนก่อน +1

    Na nyie wanunuzi mnatuangusha, sumu inaenda kugunduliwa kule nyie huku hamkupima sample ? Mnasafirisha mzigo wa mabilion bila kuupima kwanza ? Unakosaje kula loss apo, shamba la mtu mmoja linaharib kila kitu, eb pelekeni mambo kitaalam bas mkifilisika nyie kwa kuendesha mambo kienyeji tunafeli wote uku.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 หลายเดือนก่อน

    Wazungu ni waangarifu sana.Hayo madawa yanawekwa kwenye matunda na bamia.nyanya acheni.Ni sumu.wazungu wanapima ujanja huo haufai😢

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 3 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tusiwe wabishi tujifunze,, Kwa wenzetu,,, huyo Muhindi ameongea Kwa uchungu,, tupende ukweri ili tufanikiwe.

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 4 หลายเดือนก่อน +1

    Matajiri wa tanzania ni waarabu na wahindi. Kulikoni

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 4 หลายเดือนก่อน

    Bila kuzingatia ubora ndg zangu hiki kilimo kitatushinda,tusilimie mazoea

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 3 หลายเดือนก่อน

    Hakuna Cha soko kuporomoka hao ni wapiga Dili tu

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 4 หลายเดือนก่อน

    Dawa ya parachichi pigilia misumali kwenye miti hayadondoki wala hayafubai yanatokea parachichi makubwa na mazuri. Msitumie kemikal mnapoteza ladha ya parachichi.

    • @bavonwatson7360
      @bavonwatson7360 3 หลายเดือนก่อน

      Pigilia misumali hii ni kweli wadau!? Bwana Azza tupe maelezo zaidi

    • @azzaalhabsi1505
      @azzaalhabsi1505 3 หลายเดือนก่อน

      @@bavonwatson7360 nikweli kabisa hata kwangu ninayo miparachichi. Subiri mche ukuwe vizuri.chukuwa misumari mikubwa miwili piga juu ya mti hakikisha misumali imeingia mpaka ndani ya mti
      Basi hapo subiri majibu. Utakula parachichi mwaka mzima. Ila tu uwe mvumilivu kwani miparachichi hukawia kutoa matunda.

    • @lwakainaza
      @lwakainaza 3 หลายเดือนก่อน

      Hivyo ni kweli kwa matunda ya aina nyingi kupigilia msimari

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 4 หลายเดือนก่อน

    Ni dawa gani ya kupuriza