NJB TV NEWS
NJB TV NEWS
  • 1 611
  • 1 559 044

วีดีโอ

MADAKTARI BINGWA 42 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA MARA YA TATU WASAMBAA VITUO VYA AFYA MKOA MZIMA
มุมมอง 40317 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MADAKTARI BINGWA 42 WAWASILI MKOANI NJOMBE KWA MARA YA TATU WASAMBAA VITUO VYA AFYA MKOA MZIMA
CCM, CHADEMA MSIBANI KWA DIWANI WA CHADEMA WANENEANA MEMA
มุมมอง 95618 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Viongozi wa ccm na chadema walioshiriki katika Mazishi ya aliyekuwa diwani a kata ya njombe mjini kupitia chadema kata ya Njombe mjini Wamewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuwachagua viongozi wa seikali za mitaa hapo novemba 27 mwaka huu
WENGI WAMLILIA MAREMU ALIYEKUWA DIWANI NJOMBE MJINI AGREY MTAMBO
มุมมอง 59619 ชั่วโมงที่ผ่านมา
WANA SIASA VIONGOZI WA DINI NA WANANCHI WAMLILIA ALIYEKUWA DIWANI WA KWANZA CHADEMA MKOA WA NJOMBE Wanansiasa kutoka vya vyama vya ccm na chadema Mkoa wa njombe wamejitokeza kwa wingi kumsindikiza katoika safari ya mwisho aliyekuwa diwani wa kwanza wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mkoa anjombe ndugu agrey mtambo. Agrey Mtambo aliingia katika siasa mwaka 2013 akichukua nafasi ya aliy...
RC MTAKA AAGIZA ENEO LA MAKAO MAKUU WILAYA YA NJOMBE KIDEGEMBIYE KUPIMWA
มุมมอง 1.4K7 ชั่วโมงที่ผ่านมา
RC MTAKA AAGIZA ENEO LA MAKAO MAKUU WILAYA YA NJOMBE KIDEGEMBIYE KUPIMWA
MANENO YA RC MTAKA YAWAFURAHISHA WANANCHI UKALAWA LUPEMBE KITUO CHA AFYA KIFUNGULIWE DESEMBA
มุมมอง 7639 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MANENO YA RC MTAKA YAWAFURAHISHA WANANCHI UKALAWA LUPEMBE KITUO CHA AFYA KIFUNGULIWE DESEMBA
MAKAMPUNI YA PEMBEJEO YASOGEZA HUDUMA KWA WAKULIMA UZINDUZI WAFANYIKA ILEMBULA NJOMBE
มุมมอง 27212 ชั่วโมงที่ผ่านมา
KUFUATIA CHANGAMOTO YA KUFUATA MBALI HUDUMA ZA PEMBEJEO SERIKALI IMEPELEKA KARIBU HUDUMA KWA KUWAFUATA WAKULIMA KWENYE VIJIJI.
RC MTAKA AWAPA CHANGAMOTO MBEYELA SEKONDARI "PANDENI MBOGA KWENYE VIUNGA ACHANA NA MAUA"
มุมมอง 95914 ชั่วโมงที่ผ่านมา
RC MTAKA AWAPA CHANGAMOTO MBEYELA SEKONDARI "PANDENI MBOGA KWENYE VIUNGA ACHANA NA MAUA"
MWAMBULA AWAPONGEZA UFAHAMU DAY CARE NJOMBE ASHIRIKI MAAFALI
มุมมอง 16414 ชั่วโมงที่ผ่านมา
MWAMBULA AWAPONGEZA UFAHAMU DAY CARE NJOMBE ASHIRIKI MAAFALI
RC MTAKA AZUNGUMZA NA MADARASA YA MITIHANI MBEYELA SEKONDARI AWATAKIA HERI WANAFUNZI WAMSHURU RAIS
มุมมอง 52314 ชั่วโมงที่ผ่านมา
RC MTAKA AZUNGUMZA NA MADARASA YA MITIHANI MBEYELA SEKONDARI AWATAKIA HERI WANAFUNZI WAMSHURU RAIS
FUATILIA HAPO UMAHIRI WA WATOTO WAHITUMU KUTOKA VITUO VYA UFAHAMU DAY CARE NJOMBE
มุมมอง 37716 ชั่วโมงที่ผ่านมา
FUATILIA HAPO UMAHIRI WA WATOTO WAHITUMU KUTOKA VITUO VYA UFAHAMU DAY CARE NJOMBE
FAMILIA YA KATIBU MKUU KIONGOZI KUSILUKA NI WANYENYEKEVU NA WASIKIVU TENA WASOMI"RC MTAKA"
มุมมอง 7Kวันที่ผ่านมา
FAMILIA YA KATIBU MKUU KIONGOZI KUSILUKA NI WANYENYEKEVU NA WASIKIVU TENA WASOMI"RC MTAKA"
RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA KATIBU MKUU KIONGOZI DKT MOSES KUSILUKA ALIYE FIWA NA BAB
มุมมอง 1.2Kวันที่ผ่านมา
RAIS SAMIA ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA KATIBU MKUU KIONGOZI DKT MOSES KUSILUKA ALIYE FIWA NA BAB
WAFUASI WAWILI CHADEMA MBARONI KWA KUMPIGA AFISA MWANDIKISHAJI DAFTARI LA ORODHA YA MPIGA KURA
มุมมอง 21Kวันที่ผ่านมา
WAFUASI WAWILI CHADEMA MBARONI KWA KUMPIGA AFISA MWANDIKISHAJI DAFTARI LA ORODHA YA MPIGA KURA
HIZI HAPA TARATIBU ZA KUPATA MIKOPO YA HALMASHAURI ILIYOBORESHWA
มุมมอง 73014 วันที่ผ่านมา
HIZI HAPA TARATIBU ZA KUPATA MIKOPO YA HALMASHAURI ILIYOBORESHWA
MWEKEZAJI KIWANDA CHA NONDO IKELU ATATUMIA MADINI YA CHUMA YA MAGANGA MATITU KUTOKA LUDEWA
มุมมอง 3.4K14 วันที่ผ่านมา
MWEKEZAJI KIWANDA CHA NONDO IKELU ATATUMIA MADINI YA CHUMA YA MAGANGA MATITU KUTOKA LUDEWA
DIWANI MTWANGO AHAMASISHA WANAWAKE KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUGOMBEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
มุมมอง 14214 วันที่ผ่านมา
DIWANI MTWANGO AHAMASISHA WANAWAKE KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUGOMBEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
wito kujiandikisha daftari la mkazi kata ya Mtwango
มุมมอง 4714 วันที่ผ่านมา
wito kujiandikisha daftari la mkazi kata ya Mtwango
WACHUNGAJI WAWAOMBEA KIDATO CHA NNE OSP RUHUJI HIGH SCHOOL NJOMBE
มุมมอง 28914 วันที่ผ่านมา
WACHUNGAJI WAWAOMBEA KIDATO CHA NNE OSP RUHUJI HIGH SCHOOL NJOMBE
DC KISA AOMBA DIVISION ONE OSP RUHUJI SEKONDARI AAHIDI KUWAPA ZAWADI LAPTOP NA FEDHA TASLIMU
มุมมอง 44114 วันที่ผ่านมา
DC KISA AOMBA DIVISION ONE OSP RUHUJI SEKONDARI AAHIDI KUWAPA ZAWADI LAPTOP NA FEDHA TASLIMU
MWEKEZAJI KIWANDA CHA NONDO IKELU ATIMIZA AHADI SHULE YA MSINGI IKELU ATOA KOMYUTA MOJA NA PRINTER
มุมมอง 54214 วันที่ผ่านมา
MWEKEZAJI KIWANDA CHA NONDO IKELU ATIMIZA AHADI SHULE YA MSINGI IKELU ATOA KOMYUTA MOJA NA PRINTER
USIPO JIANNDIKISHA DAFTARI LA ORODHA YA MPIGA KURA HUTAPIGA KURA NOVEMBA 27
มุมมอง 19214 วันที่ผ่านมา
USIPO JIANNDIKISHA DAFTARI LA ORODHA YA MPIGA KURA HUTAPIGA KURA NOVEMBA 27
BALOZI WA CHINA TANZANIA AONGEZA SIKU ZA MATIBABU BURE NJOMBE
มุมมอง 1.2K14 วันที่ผ่านมา
BALOZI WA CHINA TANZANIA AONGEZA SIKU ZA MATIBABU BURE NJOMBE
RC MTAKA AWAJIA JUU ACT MKOA WA NJOMBE AWATAKA KUACHA UPOTOSHAJI MITANDAONI KUHUSU MIGODI LUDEWA
มุมมอง 2.4K14 วันที่ผ่านมา
RC MTAKA AWAJIA JUU ACT MKOA WA NJOMBE AWATAKA KUACHA UPOTOSHAJI MITANDAONI KUHUSU MIGODI LUDEWA
MTAKA ATOA MAAMUZI MAZITO HUDUMA YA CHF KIJIJI CHA MUNDINDI LUDEWA
มุมมอง 59314 วันที่ผ่านมา
MTAKA ATOA MAAMUZI MAZITO HUDUMA YA CHF KIJIJI CHA MUNDINDI LUDEWA
WAANDIKISHAJI UCHAGUZI MWENYEKITI WA KIJIJI NA KITONGOJI WILAYA YA NJOMBE WAAPISHWA
มุมมอง 36414 วันที่ผ่านมา
WAANDIKISHAJI UCHAGUZI MWENYEKITI WA KIJIJI NA KITONGOJI WILAYA YA NJOMBE WAAPISHWA
MWENYEKITI UWT WILAYA YA NJOMBE AHAMASISHA WANANCHI MITAA YA KIBENA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA MKAZI
มุมมอง 22321 วันที่ผ่านมา
MWENYEKITI UWT WILAYA YA NJOMBE AHAMASISHA WANANCHI MITAA YA KIBENA KUJIANDIKISHA DAFTARI LA MKAZI
WANANCHI UTALINGOLO WAPATA HOFU KUELEKEA MVUA
มุมมอง 60721 วันที่ผ่านมา
WANANCHI UTALINGOLO WAPATA HOFU KUELEKEA MVUA
SHANGWE KAKA NOEL AVUTA JIKOAFUNGA NDOA KIJIJINI KWAO
มุมมอง 76321 วันที่ผ่านมา
SHANGWE KAKA NOEL AVUTA JIKOAFUNGA NDOA KIJIJINI KWAO
WAKAZI KATA YA UTALINGOLO ''TUTAJITOKEZA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA''
มุมมอง 12721 วันที่ผ่านมา
WAKAZI KATA YA UTALINGOLO ''TUTAJITOKEZA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA''

ความคิดเห็น

  • @SadokiefrahimlindoLindo
    @SadokiefrahimlindoLindo 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Rest in peace father

  • @mwitajoseph8315
    @mwitajoseph8315 3 วันที่ผ่านมา

    Nimefurai kumuona Dr Frank akiwa kazini na pia mwanamichezo mhasishaji mzuri sana

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 3 วันที่ผ่านมา

    Alitembelea Mh. Ally Hapi

  • @MosokaMosoka
    @MosokaMosoka 4 วันที่ผ่านมา

    Namfananisha na DMO wangu + Mkurugenzi ni Watu wa matokeo tu

    • @njbtv2982
      @njbtv2982 4 วันที่ผ่านมา

      Ni yeye

  • @MosokaMosoka
    @MosokaMosoka 4 วันที่ผ่านมา

    Pursuaded leader Hon:Mtaka

  • @kujaelimsuya9468
    @kujaelimsuya9468 4 วันที่ผ่านมา

    Mngeweka namba za simu tungeeleweshana vizuri maana tunamaswali

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 4 วันที่ผ่านมา

    Mnatengeneza

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 5 วันที่ผ่านมา

    Kaka yangu Ngumbuke nakuona hujawahi shindwa

  • @DulaRashid-r5z
    @DulaRashid-r5z 6 วันที่ผ่านมา

    Usitudanganye wee ndio kashasema kaja na watu nyinyi munaongoza kwa kutetea ccm mbona

  • @felistermtewele7322
    @felistermtewele7322 6 วันที่ผ่านมา

    Message nzuri Mheshimiwa

  • @felistermtewele7322
    @felistermtewele7322 6 วันที่ผ่านมา

    Baba yangu Ngumbuke

  • @REMMYMATOVELOMASASI
    @REMMYMATOVELOMASASI 6 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mkuu ni bonge la meseji hiyo mkuu hongera sana

  • @herymtovano6096
    @herymtovano6096 6 วันที่ผ่านมา

    Akili kubwa!

  • @bennieissae5605
    @bennieissae5605 6 วันที่ผ่านมา

    Polisi wanapingana na ushahidi😂😂😂😂 hii ni Tanzania tuuh pekeee

  • @ChristinaOberto
    @ChristinaOberto 7 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri polisi

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 7 วันที่ผ่านมา

    Sikasema mwenyewe jamani duuh

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 7 วันที่ผ่านมา

    Kizuri zaidi polis wamekubali kuwa ni muandikishaji wa ccm maana kuna watu waliokuwa wanasema chadema wanatengeneza propaganda

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 8 วันที่ผ่านมา

    POLICCCM MTATUTESA SANA, YAANI UCHAWA UNAWAPELEKESHA TU

  • @DonMinja-pf6xr
    @DonMinja-pf6xr 8 วันที่ผ่านมา

    Kuhusu Unyenyekevu wa Katibu Mkuu Kiongozi Dr Moses Kusiluka ni Mtendaji Hodari Mwenye Ueledi 💯! Mungu awape Wepesi katika kipindi Kigumu cha kupoteza mzazi wao! 🙏 & 🙏

  • @FrankasamisyeMwaiswasu
    @FrankasamisyeMwaiswasu 8 วันที่ผ่านมา

    Tungekuwa na Raisi mwenye akili ya jinzi hi tungefika mbali,lakini hatunabahati mbaya tunatawaliwa viongozi ambaboa wanawaza kuwanyonya wananchi!!!!!

  • @RoseMundembusyege
    @RoseMundembusyege 9 วันที่ผ่านมา

    Acheni mambo yenu ipo siku Roho zetu zitakuwa sumu,

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 9 วันที่ผ่านมา

    Wosia mzuri sana

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 9 วันที่ผ่านมา

    Sioni uchaguzi wa haki,tz ni kuharibu resources za nchi TU,,

  • @AdamuMsinge
    @AdamuMsinge 9 วันที่ผ่านมา

    Polisiccm

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 10 วันที่ผ่านมา

    Pole sana bosi wetu na hongera kumbe ni wakwetu kusini

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 10 วันที่ผ่านมา

    Chadema ni kikundi cha wahuni

  • @MonicaMushi-z8s
    @MonicaMushi-z8s 10 วันที่ผ่านมา

    Polisi anabadilisha startmenti ya mtuhumiwa. Hao waliyompiga mchungaji tofali mbona polisi hamulitolei taarifa? Teteeni tuu Mungu atasimama kwenye kweli na nyie waongo mjiandaee kupokea adhabu ya Mungu.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 10 วันที่ผ่านมา

    Jamani yote tisa kumi tujue kuna Mungu pia ambaye anaona kila mipango hata ya gizani. Ni mungu mwenye nguvu kubwa anaweza hata kubadili mchana kuwa usiku. Huyo ndiye wa kuogopa na kusililizwa na siyo binadamu. Tusikilize pia roho zetu sababu lazima zinatulalamikia tunapofanya ndivyo sivyo. Maisha kuna leo na kesho jamani. Watoto wetu watakutana mitaani. Kesho ni ya vizazi vyetu lazima vitalipia laana zetu

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 10 วันที่ผ่านมา

    Hivi hayo maneno wameyarekodi au ameyasema mwenyewe huyo kijana? Kitendawili

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 10 วันที่ผ่านมา

    Ukisikiliza vizuri utasikia huyo kijana anakiri kuhusu kupeleka majina kadhaa vituoni kama sikosei. Sasa kwanini huyo kijana wa ccm anakiri owongo? It doesn't add up. Huo ni mchezo mchafu

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 10 วันที่ผ่านมา

    Hivi nyie police nyie mpoje

  • @jafetykaberege4948
    @jafetykaberege4948 11 วันที่ผ่านมา

    Anthony Mtaka, mzee wa speech.

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 11 วันที่ผ่านมา

    anayeuliza maswali kwanza ajitambulishe jina lake, na anafanya kaz chombo kip, mm sielew naona ujinga.

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 11 วันที่ผ่านมา

    sijaona wakimshambulia, nimeona wakimuoji, wapelekwe mahakamani

  • @MwanneSudi
    @MwanneSudi 11 วันที่ผ่านมา

    Hakuna ufafanuz hapa

  • @ChristopherLazaro-yy3fb
    @ChristopherLazaro-yy3fb 11 วันที่ผ่านมา

    Muongo

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 11 วันที่ผ่านมา

    Unajua polisi wengine ni wajinga sana unaongea kitu tofauti na uyo mtuhumiwa alichoongea, yeye amesema kaongeza ww unasema hajaongeza

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 11 วันที่ผ่านมา

    Subirini muone itakavokua mana magufuli alitengeneza barabara ili nchi ichimbe mana hapo kuna madini mengine lakini hamsemi mnasemea chumatu

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 11 วันที่ผ่านมา

    Rpc hili jambo dogo hukupaswa kujitokeza

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 12 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana mkuu wa mkoa

  • @stevenmrema237
    @stevenmrema237 12 วันที่ผ่านมา

    Mbona Hawa askari ni watu wa ajabu Sana? Ukimsikiliza mtuhumiwa anakiri ni wa ccn na alikuwa akiongeza majina kwenye daftari Ila huyu kamanda anatoa maoni yake binafsi bila ya kujua mtuhumiwa kasema nini? Au askari wetu hawana cm kubwa? Kwa sababu ni aibu kamanda anachosema namhusika kamili anachokisema

  • @JuliusPaul-j8c
    @JuliusPaul-j8c 12 วันที่ผ่านมา

    Huyo mtu amejieleza vizuri alichokuwa anakifanya si kitu cha kiungwana. Haki huinua taifa Ccm itende haki! Tuigeuze hii tufanye ni kijana wa Cdm ametenda hivyo. Je. Ccm wangemfanyaje?

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 12 วันที่ผ่านมา

    Maajqbu makubwa sana,polisi wanatoa maelezo kinzani kabisa na huyo kijana wa ccm,hii inamanisha nini?uandikishaji tu shida,kura je?

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 12 วันที่ผ่านมา

    Maajabu polisi wanatoa maelezo tofauti kabisa na huyo kijana wa chamade anachozungumzia,hii ni kulinda tu upande mmoja

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 12 วันที่ผ่านมา

    Kumbe police nao ni ccm eerh mbona kijana kakubari mwenyewe clips hapo

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 12 วันที่ผ่านมา

    Shida kubwa ya nyie viongozi wetu mkisimama kwenye halaiki mnaongea maneno mazuri sana huyo muwekezaji atakapoanza kazi ya kuwanyanyasa watanzania kazini mnajifungia naye vyumbani na kuziba masikio mkoa wa iringa na mkoa wa njombe unaviwanda vya wachina vya wood industry vingi sana lakini wanayotendewa wafanyakazi watanzania humo viwanda na majanga makubwa sana ikiwemo mishahara, huduma za usafiri, chakula na sheria za ajira mambo ni mengi sana ila nchi hii basi tu

  • @DaudJilala-b6b
    @DaudJilala-b6b 12 วันที่ผ่านมา

    Ndio maana watu hawajitokezi kwenda kujiandikisha kwa ajili ya ujinga kama huo

  • @DaudJilala-b6b
    @DaudJilala-b6b 12 วันที่ผ่านมา

    FUTENI TU VYAMA VINGI ILI MBAKI NYIE WENYEWE CCM NA POLICE WENU POLICE WENYEWE MAISHA MAGUMU2

  • @DaudJilala-b6b
    @DaudJilala-b6b 12 วันที่ผ่านมา

    Nyie kenge toka lini ukawa upande wa chadema haijawahi mufurahishine tu mama yenu

  • @StanleyMhagama-t3w
    @StanleyMhagama-t3w 12 วันที่ผ่านมา

    Tutajua kila kitu Jeshi la polis limegeuka kuwa ccm