UMASIKINI, NJAA, MATATIZO VINATUFANYA TUHATARISHE MAISHA YETU?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Mada ya iliyo enda hewani leo ni kuhusu hatua za kuchukua kutiokana na janga la kuanguka kwa magari ya mafuta kuleta athari kubwa sambamba na vifo vingi lakini bado watu wanajongea kuchota mafuta kwenye lori lingine lilio anguka Mkoani Kagera hivi karibuni.
Dozen karibu team clouds nzima haniambii mtu kitu nawaerewa mpaka me sijierew
Mpaka sasa inasemekana hakuna ukweli wa kuongea na simu kituo cha mafuta itasababisha mlipuko hii inaitwa "MYTH"
Sababu ya kukatazwa hii inaleta umakini hafifu wa muingiliano wa kuweka mafuta na simu yako utajikuta unafanya usicho kitarajia. Mobile phone haijatengeneza na kupitishwa kuweza kusababisha mazingira ya milipuko.
Ikiwekwa sheria ya kunyang'anya leseni kila dereva atanyooka kwa kuogopa hili.
Big issue kama watu wa kagera hawakuchomoa betry there is .......... " naogopa "
Hivi wasafi Mbona interview zao huwaga zamakelele sana Mbona wenzao wanaongea kwapoint siosili clouse nawapenda
Chama lawana.
Perfect yupo wap siku hizi
robert petro carwash
kenedy sauti yake kma ana mafua
Yan umaskin ndo kama hiv
Mchomvu Bwana
Anaekimbilia kuchota mafuta nimwizi kama wez wengine, nawafananisha na wanaosachi watu wakipata ajali, you can't visit kama huna kaasili kamoyo kawizi
Hapo muangalie nasehemu yenyewe nikama kijijini kwaiyo watu wengi design kama sio waelewa inatakiwa elimu itolewe kila kijiji
Kuna baadhi ya madereva wengine wanakuaga wajanja wajanja wanaiba mafuta njiani yan (WANAUA NYOKA)
alafu wanaangusha gar maksud
Jini mnywa mafuta anatoka lini nchini jamani ,,!!!?
Kwani tatizo nn mbona Kama haya magari yanadondoka sana
Kupewa elimu tu kiukwel
tatizo la malor ya mafuta kuanguka limekuwa la mara kw mara cjui shda nn