Prophet amvaa muimbaji anoint amani - Nitakugonga..!! | Justine Ibrahim - 0764 235 742 (code +255)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 29

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 7 วันที่ผ่านมา +1

    BWANA ATUREHEMU 🙏🙏 Ubarikiwe sana 𝐌𝐭𝐮𝐦𝐢𝐬𝐡𝐢 WA BWANA WA MAJESHI KILA MWEYE MASIKIYO ASIKIYE MANENO YA ROHO MTAKATIFU

  • @NtujiNdakiOfficial
    @NtujiNdakiOfficial 3 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumish tumeelewa

  • @LilianNdete-v2b
    @LilianNdete-v2b 9 วันที่ผ่านมา

    Jamani hii kukata viuno na hizi Sarakasi naona, kabisa sio za Mbinguni, kwa kweli Mungu atusaidie Sana. Barikiwa Nabii na Mtumishi wa MUNGU.🇰🇪

  • @MWAMPAMBA
    @MWAMPAMBA 9 วันที่ผ่านมา

    Senga aneshaokoka

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 9 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @BarakaStakus
    @BarakaStakus 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa wanaabudu mungu na miungu, ni ushetani tu, hamna nyimbo ni kutafuta pesa tu, ni ushetani mkubwa.

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 4 วันที่ผ่านมา

    Mtoto wa dictetor

  • @RedentaMahessa
    @RedentaMahessa 10 วันที่ผ่านมา

    Yani uyu nyimbo zake mmmh!!. Yani azina roho mtakatifu kabisa. Kukatika viuno tu kama daimond. Mungu atusaidie sana

  • @amkenikumekucha
    @amkenikumekucha 10 วันที่ผ่านมา

    Barikiwe sana Prophet Justine hakika Mungu akusimamiye kwa jambo hili hawa wote wanakwenda kuayimbika ni lazima Kanisa limrudiye Yesu kristo, sema mtumishi tupone, huyu Amani Anoint hii hali yake yakunyonga viuno ni ushetsni 100/100,

  • @E.emillymillyBlessings
    @E.emillymillyBlessings 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu wa Mbinguni atukomboe please 🙏🙏

  • @EnickoSanga-z8b
    @EnickoSanga-z8b 9 วันที่ผ่านมา

    Mwanaume anakata viuno dah

  • @simonmdune9066
    @simonmdune9066 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mi kunabaadhi ya nyimbo za huyu ndugu nazipenda ila ssa kucheza kwake na hizi kushirikisha Hawa waimbaji wadunia aky ndo hunibore

  • @MchGasperSimoniHebeye
    @MchGasperSimoniHebeye 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbuka Sikila Neno Lisemwalo Lina Nguvu Ndani Yake Usimhujumu Mtumishi Wa Jehovah Annoint Songa Mbele Baba Nahumu 9=1

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 10 วันที่ผ่านมา

    Hakika ni kweli 🎉

  • @عائشهعائشه-م9ق
    @عائشهعائشه-م9ق 10 วันที่ผ่านมา

    Amena

  • @JacoboBonifas-p9y
    @JacoboBonifas-p9y 10 วันที่ผ่านมา

    Ubalikiwe sana mtumishi WA MUNGU

  • @jacklinedeus6068
    @jacklinedeus6068 10 วันที่ผ่านมา

    Huo sio uchezaji hapana kwa kweli

  • @EvangelistLusekelo
    @EvangelistLusekelo 10 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumishi waimbaji wengi wanahitaji pesa

  • @Mc_Itemo
    @Mc_Itemo 9 วันที่ผ่านมา

    Wenae umemwona sengatu hizolokesheni za mabaa mnazotumia zenyewe hujaziona watumishi mnazingua

  • @Mahegatv
    @Mahegatv 10 วันที่ผ่านมา

    Amina mtumishi

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hata kucheza kwao tu utadhani diamond michozo yao ni disco

  • @angelamugoywa4917
    @angelamugoywa4917 10 วันที่ผ่านมา

    Ameeen 🙏🙏

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 10 วันที่ผ่านมา

    Pasua pasua Aminaaaaaa🎉

    • @ufunuoministry
      @ufunuoministry  10 วันที่ผ่านมา

      @@Visionofeagle9689 wataelewa tu, wataelewa!!

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 10 วันที่ผ่านมา

    Anasoma bible Tena. Wanatafta pesa TU amana kitu apa

  • @HalimaPaskal
    @HalimaPaskal 10 วันที่ผ่านมา

    Usihukumu usije ukahukumiwa mungu akusamehe mfano annoint amani kafanya nini maskini mbona wengine mnawaonea jamani

    • @LilianNdete-v2b
      @LilianNdete-v2b 9 วันที่ผ่านมา

      Kuonya ni mojawapo ya kazi za Nabii lakini Pia soma 1wakorintho 5:12 uelewe zaidi mambo na kuhukumu

  • @MapiganoDelleTz
    @MapiganoDelleTz 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ukiwa unasikiliza NYIMBO ZA huyu jamaa na zinakukaa rohon ujue wewe ni mwanachama wa kuzimu

    • @RobertJohn-x3x
      @RobertJohn-x3x 8 วันที่ผ่านมา

      Ww ndio ajent kwani nyimbo zinashida Gani acheni kuchafua watu au na ww nabii wa uongo