PROF. JAY ATOA KAULI LISSU KUSHINDA, WIMBO WAKE WAIBUA SHANGWE APEWA PESA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 26

  • @GeorgeElias-p5o
    @GeorgeElias-p5o 10 วันที่ผ่านมา +19

    Hongera, mmeangaliwa zaid duniani kuliko ule uliojaza wasanii. Hela walizolipwa wasanii bora wangepelekewa watot yatima Mungu angewabariki wao na Taifa

    • @sintacollin2204
      @sintacollin2204 10 วันที่ผ่านมา +1

      Nenda kwenye shule za Serikali uone watoto wanavyokaa chini hakuna madawati

    • @sintacollin2204
      @sintacollin2204 10 วันที่ผ่านมา +1

      Serikali inashindwa kuhudumia Watanzania huduma za muhimu wanatoa pesa kwa wasanii ili iweje

  • @Du_boiz_Mnyama
    @Du_boiz_Mnyama 10 วันที่ผ่านมา +11

    Mungu mkubwa Professor anaendelea Kua Imaraa

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 10 วันที่ผ่านมา +8

    Uchaguzi wa halali huwa na Baraka zake pia

  • @AnnaAsimma
    @AnnaAsimma 10 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera lisu

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 10 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana👏👏

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 11 วันที่ผ่านมา +9

    Kweli kwa hili Chadema ni chama cha Demokrasia hamkujipa bure hili jina .

  • @hubertmroso1664
    @hubertmroso1664 9 วันที่ผ่านมา

    Prof.J. kumwona alivyo Leo ni mojawapo WA miujiza iliyowahikutokea ktk maisha ya Mwanadamu,!
    Ila Mh.rais Samia Suluhu Hasan amekuwa Masaada mkubwa Sana ktk sehemu ya miujiza huku!
    Mungu apewe sofa!

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo3091 9 วันที่ผ่านมา

    Alieona nundu a k a mkia ukikatisha agonge like ..

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 10 วันที่ผ่านมา +1

    Safi sana

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 11 วันที่ผ่านมา +5

    Chadema piipooooz

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 9 วันที่ผ่านมา

    Kashinda lisu sio chama mm nakataa ktk akili yangu chama bila watu mazubuti sio chama watanzania mkubali msikubili hiyo huo ndio ukweli

  • @alexismoses9094
    @alexismoses9094 10 วันที่ผ่านมา

  • @BARAKAMzinga
    @BARAKAMzinga 10 วันที่ผ่านมา

    Mwalimu wa masa ulisema hatufiki mbali hapa ni wapi

  • @abdullahsuleiman7601
    @abdullahsuleiman7601 10 วันที่ผ่านมา +1

    😅mnajisumbuw tu mngeenda kulala mama samia hatoki 🏃🏃🏃🏃😂

    • @rajansharky3386
      @rajansharky3386 10 วันที่ผ่านมา +2

      Akili ndo kitu huna😂😂😂😂

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mwisho wenu umekalibia

    • @FredyKaitani
      @FredyKaitani 10 วันที่ผ่านมา +1

      Nenda kalale ww na mama ako

    • @MusaMswahili
      @MusaMswahili 10 วันที่ผ่านมา +2

      Toa maada za kipumbavu chadema ni chama Cha haki

    • @samuelmwatsuma4462
      @samuelmwatsuma4462 10 วันที่ผ่านมา +1

      😂​@@FredyKaitani

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 10 วันที่ผ่านมา

    Halafu huwa anatumiwa na chama fulani, na ni timu ya nani huyu

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 10 วันที่ผ่านมา

    Buku buku

  • @floranahashon4180
    @floranahashon4180 10 วันที่ผ่านมา

    Safi sana