LISSU AKIPANGA SAFU AMTAFUTA WENJE UKUMBINI "YUKO WAPI?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 61

  • @AlaphatKalanje-g3l
    @AlaphatKalanje-g3l 10 วันที่ผ่านมา +7

    Mwamba kama mwamba hongera sana mh lissuu

  • @YunisJason
    @YunisJason 10 วันที่ผ่านมา +2

    Nakukubali sana jembe wote uliyo wachanguwa majembe mungu awasaindiye
    naawalinde juya madui wote nasisi tumetiwa nguvu❤❤❤

  • @kambalakafuko7695
    @kambalakafuko7695 10 วันที่ผ่านมา +6

    Mheshimiwa Lissu naomba sana mteue Lema awe katibu mwenezi pia usisahau majembe Mdude na Pambalu

  • @oswardmgaya7400
    @oswardmgaya7400 4 วันที่ผ่านมา

    Asante nimekupata

  • @JasminabdulUlomi
    @JasminabdulUlomi 10 วันที่ผ่านมา +11

    Lissu anaishi kwenye mawazo yetu na fikirazetu

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 10 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂 mnyika huyoo kipenzi cha wanachadema

  • @CatherineNgeleja
    @CatherineNgeleja 6 วันที่ผ่านมา

    Mnyika ndie mwenyekiti ajae

  • @HugoMasawe
    @HugoMasawe 9 วันที่ผ่านมา

    ❤Lisu Na Mnyika

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 10 วันที่ผ่านมา +2

    Kwakweli Mnyika kwa namna alivyoendesha zoezi la uchaguzi,amekuwa katibu wa viwango vya juu sana

  • @derevamsomi
    @derevamsomi 10 วันที่ผ่านมา +13

    NANI KAGUNDUA MLINZI WA LISU NI MDOGOWAKE LEMA

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂 wanafanana tu

    • @derevamsomi
      @derevamsomi 9 วันที่ผ่านมา +3

      @MashakaMagesa hawa bwana ni ndugu😁

    • @josephmassawe2602
      @josephmassawe2602 9 วันที่ผ่านมา

      Huyo jamaa niwakahama ndiye aliyemlinda kipindi cha uchaguzi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 วันที่ผ่านมา +7

    Lisu sio mtu wa visasi Wenje anajificha bure kwa aibu😂

  • @WillyJohny
    @WillyJohny 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera Mwenyekiti umepata jembe

  • @yusuphmwanza507
    @yusuphmwanza507 9 วันที่ผ่านมา +5

    Chadema inapendwa Sana na watu bila ata kutumia nguvu

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 9 วันที่ผ่านมา

    Kweny meza ya mnyika hakuna ulinzi??

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 9 วันที่ผ่านมา +1

    Chama hiki Sasa Kiko kwenye mikono salama. Chama Kiko chini ya wasomi wa kisasa! Lissu msomi wa shahada ya uzamili wa Sheria. Chama cha vijana hiki! .Ni kimbilio la vijana

  • @LoitushulYamat
    @LoitushulYamat 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli nami mdau huku niliko ninafurahi mno

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 10 วันที่ผ่านมา +6

    Wenje anatakiwa ajihuzuru la sivyo ataumbuka kwa hii timu ya ukweli na uwazi kwenye siasa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 วันที่ผ่านมา

    Rudini pamoja mfanye kazi

  • @Thevineyard9889
    @Thevineyard9889 9 วันที่ผ่านมา

    Wenje atachunguzwa kwa tuhuma za rushwa na ikithibitika, atafukuzwa kama mbwa. Kama ana akili basi ajaribu kuokoa heshima yake kidogo iliyosalia na, akubali kulipia gharama ya dhambi zake kwa ku - step down bila shuruti nafasi zote za uongozi ndani ya chama

  • @mwitanyahiri4586
    @mwitanyahiri4586 9 วันที่ผ่านมา

    Hili tamko la kumteua mnyika kuwa katibu mkuu,lilinifurahisha mpaka nikatokwa machozi ya furaha

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 10 วันที่ผ่านมา +2

    Wenje hafai ata kidogo

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 9 วันที่ผ่านมา

    Endelea kukipasua chama Lissu

  • @HamzaKibary
    @HamzaKibary 10 วันที่ผ่านมา

    Wenje izo ela za ukimbiz wa kisiasa nibola zika kusaidia kufanya shuulizako zingine achana na kapeni za ubuge sahau tu

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 10 วันที่ผ่านมา +1

    Vichaa wamekutana

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 10 วันที่ผ่านมา +2

      Mwerevu hawezi kuwaita vichaa kisa utofauti wa kimawazo😂😂.

    • @kelvinsakey2540
      @kelvinsakey2540 10 วันที่ผ่านมา

      Ww ni kuma

    • @KopiscoIsaya
      @KopiscoIsaya 10 วันที่ผ่านมา

      @kelvinsakey2540 nafurahi sana Kwa Tusi lako Yaani inaonyesha jinsi akili Yako ilivo,kiukweli Ali Yako inafanana kama hao vichaa mlio wachagua,na huo ndo ukweli,kama unakereka basi kunywa sumu ufe,that is the only solution.

    • @c.l.g.mchurch6426
      @c.l.g.mchurch6426 9 วันที่ผ่านมา

      Punguza makasiroo broo kula chuma hicho baki huko huko na ccm yako 😂

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@KopiscoIsayaCcm hamuezi wakubali watu wa aina ya Lisu

  • @Alphonce-z3c
    @Alphonce-z3c 10 วันที่ผ่านมา +8

    Wenje ni dalali kama madalali wengine 😂😂😂

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 10 วันที่ผ่านมา

    Hv hawa jamaa huwa wanalinda nn hapo nyuma yalisu

    • @josiacharles2778
      @josiacharles2778 9 วันที่ผ่านมา +1

      Awamlindi Lisu, bali wanalinda alichobeba.❤

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 9 วันที่ผ่านมา

      @josiacharles2778 kinini sasa maana wamba wakiamua wanafanya watakalo

    • @josiacharles2778
      @josiacharles2778 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@EmmanuelChrispin-bo5xh uwezi elewa mpaka ufike kwenye iyo nafasi alionayo Lisu

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 9 วันที่ผ่านมา

      @josiacharles2778 umechemkaa

    • @DynessMaingwa
      @DynessMaingwa 3 วันที่ผ่านมา

      Kwani Rais Samia mbn huwa wanamkalia nyuma kunakuaga na nn acha ushamba wewwww😢

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 วันที่ผ่านมา

    Kaisha huyo kaenda na Mbowe ni Chawa wake

  • @wilfredmlaki822
    @wilfredmlaki822 10 วันที่ผ่านมา

    Wenje kakimbia

  • @estomiailomo7844
    @estomiailomo7844 10 วันที่ผ่านมา

    Bd ni live au ni ya jana

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg 10 วันที่ผ่านมา

    ndy chadema tunayotaka

  • @Pemba680
    @Pemba680 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wenje hatufai

  • @jozamsolomon4002
    @jozamsolomon4002 10 วันที่ผ่านมา

    Katibu mkuu alistahili Lema

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 10 วันที่ผ่านมา

    Siri umevujisha mwenyewe halafu unauliza wajumbe👀😳

  • @Borderonemediastudio
    @Borderonemediastudio 10 วันที่ผ่านมา

    th-cam.com/video/-nauZW66n_Q/w-d-xo.htmlsi=A08DScP5WOs8rCUQ

  • @FadhiliAlly-m2g
    @FadhiliAlly-m2g 10 วันที่ผ่านมา

    Iv sugu mbna sijamuona