MBWADUKE: TOBAAH! YANGA KWA KASI HII DHIDI YA VIGOGO BUNDESLIGA HUKO CAF KAZI WANAYO/MAXI, ABUYA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    KUMRADHI
    MAXI KAFUNGA MABAO 11 + ASSISTS 2
    Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema Maxi kafunga mabao 9. Usahihi ni kwamba Maxi kafunga mabao 11 na kutoa assists 2.
    By Mhariri - Mbwaduke Stats"Spoti Next Level"

ความคิดเห็น • 125

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 หลายเดือนก่อน +88

    Tunaoamini kuwa mbwaduke ndiye mchambuzi nguli anayeongea kwa data kuliko wachambuzi wote Tanzania gonga like 👍 hapa. Yanga bingwa 2024/2025

  • @malietamaliet
    @malietamaliet หลายเดือนก่อน +27

    Kiukweli diarra aimbwi kiviile kama washambuliaji ila ndo nguzo yetu inayotusaidia snastaili ata kua captain wa timu anavyokua golin anakua anaanasisha na wenzake asingekua yeye tungekula ata kono la nyani kivyangu ndo man of the match 💚💛🔥🇹🇿

    • @HopeMmbando-wb8ci
      @HopeMmbando-wb8ci หลายเดือนก่อน +1

      Uhakika kabisaaa ila yanga Kila mchezaji bhn n Bora na wanaelekezana haswaaaaa

    • @user-ln9tk3qr2r
      @user-ln9tk3qr2r หลายเดือนก่อน

      P

    • @SaraIlomo
      @SaraIlomo หลายเดือนก่อน

      ​@@user-ln9tk3qr2rkiukweli yanga inatupa Raha sana

  • @davidndungu8619
    @davidndungu8619 หลายเดือนก่อน +11

    duke abuya we like u too much for good game

  • @chrisantusnditi8670
    @chrisantusnditi8670 หลายเดือนก่อน +33

    Hii Yanga inayokuja mimi mwenyewe naiogopa.Ingawa watu wanaichukulia poa,lakini tutaonana CAF CL na NBC PL

  • @DavidMessi-h9c
    @DavidMessi-h9c หลายเดือนก่อน +24

    Mm nimwana Simba watani hicho nikipimo tosho, hongeleni.

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m หลายเดือนก่อน +12

    Mzee wa data mchambuzi wangu namba moja tanzania kwa sasa❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MajutoMaunda-de5cj
    @MajutoMaunda-de5cj หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa sana unatufundisha mazuri tusiyo yajua ❤❤❤❤❤❤

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo หลายเดือนก่อน +13

    Salamu ziwafikie kilabu bigwa

  • @dullahdullah2344
    @dullahdullah2344 หลายเดือนก่อน +13

    Mzee wa data tupe takwim za max mpia nzengeli na za Azizi kii

  • @RashidiNjenga
    @RashidiNjenga หลายเดือนก่อน +6

    Yanga ii iko moto sana msimu ujao

  • @ManenoJuma-xd3ii
    @ManenoJuma-xd3ii หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤Unajuwa Sana kaka

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mwamba ndio mchambuzi halisi
    He is always positive

  • @user-kk3tv6kw1o
    @user-kk3tv6kw1o หลายเดือนก่อน +4

    Mungu tunaomba uzidi kuisimamia hiiii timu,
    Iepushe na husda zoote

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn หลายเดือนก่อน +2

    Asanteeee kaka nyie makolooo mmeisikia hiyo, kazi mnayo hapo ni kuwapiga kipigo Cha mwana ukome kutuzoea😂😂😂😂😂😂

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 หลายเดือนก่อน +2

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 หลายเดือนก่อน +9

    Huwa najiuliza kwanini wachambuzi wengine hawajifunzi kwako kazi yao kukosoa bila takwim

  • @user-nm8my6ff5o
    @user-nm8my6ff5o หลายเดือนก่อน +1

    Yanga is the best club in Africa

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 หลายเดือนก่อน +5

    Kazi nzuri

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances หลายเดือนก่อน +3

    Yanga is the Best Club in African Currently "

  • @renatusthomas7819
    @renatusthomas7819 หลายเดือนก่อน +14

    Wakwanza naomba like 100

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 หลายเดือนก่อน +5

    Uchambuzi mzuri sana

  • @melckassey9365
    @melckassey9365 หลายเดือนก่อน +4

    Hatar sana unajuwa mpaka basi

  • @stephennyamsacha2974
    @stephennyamsacha2974 หลายเดือนก่อน

    Uko vizuri mkuu

  • @allyramadhani9221
    @allyramadhani9221 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera kaka

  • @EvansKalikwela-h6r
    @EvansKalikwela-h6r หลายเดือนก่อน +11

    Hii yanga tutafurahi zaid tusubili

  • @mgayamwananchi
    @mgayamwananchi หลายเดือนก่อน +5

    Mzee wa data umekosea apo Kwa Max Nzegeli kafunga goli kumi na Moja na sio 9.

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  หลายเดือนก่อน +2

      Correct. Uko sahihi sana Kiongozi. Mzee wa Data ameteleza na ndiyo maana tumeomba radhi. Maxi kafunga mabao 11 na pia ana assists 2. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono.

  • @abdallahmuhibu
    @abdallahmuhibu หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mchambuzi wangu

  • @ValentinePetro
    @ValentinePetro หลายเดือนก่อน +3

    Hakiki sisi ni bingwa yanga noma

    • @EliwajaYunga
      @EliwajaYunga หลายเดือนก่อน +1

      yanga ni noma simba mtasema msimu ujao

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si หลายเดือนก่อน +1

    Hakika we ni mchambuzi msomi❤❤❤❤

  • @Sulaymiyahya
    @Sulaymiyahya หลายเดือนก่อน +1

    ❤safi

  • @AngelinaHassan-fe3jp
    @AngelinaHassan-fe3jp หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizur sana

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 หลายเดือนก่อน +1

    We iogope yanga Simba haiogopi Yanga
    Kucheza na timu ya Ausberg
    ya Ugerumani hat Simba ilicheza na Sevilla ya la Liga UEFA team

    • @jamesmartin7026
      @jamesmartin7026 หลายเดือนก่อน +2

      Najua kisirisiri unatuogopa hasa ukikumbuka zile mechi mbili tulizokupiga bao 7. Unacheza na Yanga nini 😂😂

  • @sadih5333
    @sadih5333 หลายเดือนก่อน +5

    Chenga tumewala

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 หลายเดือนก่อน

    Acha kuwapa confidence, hawana pumzi na wamecheza na wachezaji ambao watatolewa kwa mkopo ispokua walikua wamepewa nafasi kuangaliwa semeni ukweli

  • @jonathanmindolo61
    @jonathanmindolo61 หลายเดือนก่อน

    PAMOJA NA KWAMBA MIE NI WA UPANDE WA PILI, MNYONGE MNYONGENI LKN WANASTAHLI MAUA

  • @StanyJohn-m5v
    @StanyJohn-m5v หลายเดือนก่อน +2

    Eebhn yang ipoh vizur

  • @user-mw8qv8wf5c
    @user-mw8qv8wf5c หลายเดือนก่อน

    Mbwaduke Mimi namwerewa xana

  • @longinoSimon-dz2eb
    @longinoSimon-dz2eb หลายเดือนก่อน

    Uko juuuu

  • @user-rz9xx7nx8t
    @user-rz9xx7nx8t หลายเดือนก่อน

    Wataelewa 2 maana wapo wanaonyosha midomo bila kuitazama zamu yao

  • @NelsonMushi-wp8hx
    @NelsonMushi-wp8hx หลายเดือนก่อน

  • @FredrickSutta
    @FredrickSutta หลายเดือนก่อน

    Nyie watu wa Simba akili tope mwisho mtasema makombe yanga mabaya

  • @amidoibraimo6021
    @amidoibraimo6021 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali mchambuzi

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 หลายเดือนก่อน

    Msimu huu Yanga itakuwa tishio

  • @mercyfrancis3111
    @mercyfrancis3111 หลายเดือนก่อน

    Kwa numbers huyu mchambuzihatari sana

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 หลายเดือนก่อน +2

    Max amemaliza na bao 11 na sio 9

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y หลายเดือนก่อน

      Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y หลายเดือนก่อน

      Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r หลายเดือนก่อน

    😊

  • @bishopmgambomwenyecheo4610
    @bishopmgambomwenyecheo4610 หลายเดือนก่อน +1

    Hii yanga ya msimu huu kuna mtu atakula 10

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e หลายเดือนก่อน

    Nilikuwepo live uwanjani...yes nakukubali kwa ufafanuzi...

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t หลายเดือนก่อน

      Acha uongo,,uwe mbadala useme ulikuwa nao jmn😂😂😂😂

  • @fahimkhalifa5904
    @fahimkhalifa5904 หลายเดือนก่อน

    Timu ya Yanga ni bora sana lakini wachezaji wasijiamini sana wakaanza kucheza kistaa timu zote zimejiaanda na wanataka kuonyesha uwezo wao

  • @augustinemainde
    @augustinemainde หลายเดือนก่อน

    Hongera Mbwaduke kila mtu anavyoithamini kazi yake,kazi pia itamthamini

  • @sadickcheyo2324
    @sadickcheyo2324 หลายเดือนก่อน

    NAMI nmemkubari hyu jamaa

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn หลายเดือนก่อน

    Kazi wanayo madunduka walipokwenda kujifunza kuogelea na si mpira😅😅

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r หลายเดือนก่อน

    7:40😊 6:40

  • @EmanuelAman-qb9zx
    @EmanuelAman-qb9zx หลายเดือนก่อน

    Mbwaduke hajawahi kuichambua yanga kwenye mechi yote yanga ikafungwa kama ipo nikumbusheni Hata Jana angesimama upande wa yanga tungeshainda nakuelewa sana kaka

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥💛💚

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl หลายเดือนก่อน

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 หลายเดือนก่อน

    JAmani mi nawapenda washabiki wa Simba wanaoongea mpira uwanjani,sio Comediany

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน

    💛💚💛💚👍👍

  • @pekomisegese7724
    @pekomisegese7724 หลายเดือนก่อน

    Kila Siku Mi Nasema Huyu Ndio Mchambuzi Wale Wengine Ni Wacha Ng'ombe😂.

  • @rubanimponzi8259
    @rubanimponzi8259 หลายเดือนก่อน +2

    Naona tarehe 8 kuna 8

    • @f.a6043
      @f.a6043 หลายเดือนก่อน

      Yes kutakua na vyura 🐸 8👈🏽😂

    • @saumbakar7643
      @saumbakar7643 หลายเดือนก่อน

      ​@@f.a6043magoma FC kazi mnayo dadeki

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 หลายเดือนก่อน +3

    HATA KAMA HAWAKUWA VIZURI UWEZI KUIFANANISHA NA SIMBA

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el หลายเดือนก่อน

    Simba nayo timu unasema huwezi fananisha na simba

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi naigopa kabisaaa

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le หลายเดือนก่อน

    Wajipange kufungwa Fungwa Funga Funga karudi likizo

  • @user-pg5to7xq5g
    @user-pg5to7xq5g หลายเดือนก่อน +1

    uko vzuri kwapembuzi dada vuzi..

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 หลายเดือนก่อน

    Tinu ya damu changa😂😂😂

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla หลายเดือนก่อน

    Broo game nimeangalia yote ila sifa nyingi unwapa yanga ni uongo unaanza kunidanganya

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t หลายเดือนก่อน +1

      Huyu hanaga tabia za kusifia hovyo bali atakwambia ukweli ambao utakuweka huru na mapungufu ya tim pia utayajua

  • @johninnocent3270
    @johninnocent3270 หลายเดือนก่อน

    Kwa Mimi mwenye e flat nimekuelewa sana

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf หลายเดือนก่อน

    I Chambue na azam

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa หลายเดือนก่อน

    Na azizi kii aligonga mwamba

  • @shabanimuya1878
    @shabanimuya1878 หลายเดือนก่อน

    hata simba sasa tanzania ni timu b utaiona tarehe 8 utajua Aug ni timu b

  • @boniphacemwasambungu
    @boniphacemwasambungu หลายเดือนก่อน

    Tunadeni nao

  • @Issanuru83o
    @Issanuru83o หลายเดือนก่อน

    Simba wasilete timu

    • @f.a6043
      @f.a6043 หลายเดือนก่อน

      Ushindi wa 🐸🐸🐢🐢 ni kufungwa 2-1

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr หลายเดือนก่อน

    nakubal san

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 หลายเดือนก่อน

    Ww kolo chakavu,acha wivu

  • @abuuomari2377
    @abuuomari2377 หลายเดือนก่อน

    Max msimu ulioisha alimaliza akiwa na goli kumi na moja sawa na saidoo ntibazonkiza

    • @user-hn8vj1vn5y
      @user-hn8vj1vn5y หลายเดือนก่อน

      Ni kweli aisee. Mzee wa Data ameteleza kidogo na ndiyo maana wameomba radhi hapo juu.

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 หลายเดือนก่อน

    mbwaduke nimekuvulia kofia unajua boli wewe

  • @user-qo6bk1zs8m
    @user-qo6bk1zs8m หลายเดือนก่อน

    Kama usburg wangekuwa silius kama yanga ingekuaje?

    • @erastojacob17
      @erastojacob17 หลายเดือนก่อน

      huna akili kwa hawakuwa siliasi.

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t หลายเดือนก่อน

      Jiulize na ww😂😂😂😂

  • @faroukwamba
    @faroukwamba หลายเดือนก่อน

    🔥 📛 👨‍🚒 🚒 🧯

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 หลายเดือนก่อน

    Mi katiaka wachambuzi mi huwa nakuamini wewe tu Mchungaji wa data

  • @user-gn4lc5sk6p
    @user-gn4lc5sk6p หลายเดือนก่อน

    Mimi sijaona mpira wa maana jana.Zaidi ya kukimbiza kimbiza tu.Na wale jamaa hawakuwa na pressure.Kama walijua wanacheza na mandondocha.

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 หลายเดือนก่อน +1

      Kolo unaichukia yanga ukiwa wapi subili tarehe 8 ndio tutakuadabisha

    • @nyotaphina8167
      @nyotaphina8167 หลายเดือนก่อน

      Mnyama FC ndo zenu

    • @HassanRamadhan-cv8de
      @HassanRamadhan-cv8de หลายเดือนก่อน

      Ukizeeka utakua mchawi

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq หลายเดือนก่อน

    Je, Augsburg waliweka first 11 yao dhidi ya Utolopo iliyoweka first 11 yotee!? 😂😂

  • @mussahassan8751
    @mussahassan8751 หลายเดือนก่อน

    Mzee wa data umeanza kuzingua hamna mpira walocheza yanga hapo walikuwa wanajikanyaga tu

  • @madmaxx1180
    @madmaxx1180 หลายเดือนก่อน

    Ukweli ni kua Augusburg iliofanya vibaya bundesliga ilichezesha vikosi B na C,bado Tanzania tuko nyuma sana kwenye mpira

    • @Lubida
      @Lubida หลายเดือนก่อน +1

      Kwa taarifa kikosi cha kipindi cha pili cha Augsburg ndicho kikosi cha kwanza kule Bundesliga yaani kikosi chao cha kwanza

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 หลายเดือนก่อน +1

      Nitajie first eleven ya augusburg ambae unahs n kkos B

    • @Raphael51312
      @Raphael51312 หลายเดือนก่อน +2

      Usiongee kw kukalili

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 หลายเดือนก่อน +2

      Muda ni hakimu mzuri kitaeleweka tarehe 8 na kuendelea

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 หลายเดือนก่อน +1

      Duuh unachuki na yanga ukiwa pade ipi

  • @user-nm8my6ff5o
    @user-nm8my6ff5o หลายเดือนก่อน

    Yanga is the best club in Africa

  • @sadickcheyo2324
    @sadickcheyo2324 หลายเดือนก่อน

    Kachambua vizuri

  • @dullahcelly2870
    @dullahcelly2870 หลายเดือนก่อน