MBWADUKE: TOBAAH! YANGA KWA KASI HII DHIDI YA VIGOGO BUNDESLIGA HUKO CAF KAZI WANAYO/MAXI, ABUYA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
KUMRADHI
MAXI KAFUNGA MABAO 11 + ASSISTS 2
Kuna mahala Mzee wa Data ameteleza kwa kusema Maxi kafunga mabao 9. Usahihi ni kwamba Maxi kafunga mabao 11 na kutoa assists 2.
By Mhariri - Mbwaduke Stats"Spoti Next Level"
Tunaoamini kuwa mbwaduke ndiye mchambuzi nguli anayeongea kwa data kuliko wachambuzi wote Tanzania gonga like 👍 hapa. Yanga bingwa 2024/2025
Haipingwi
Kiukweli diarra aimbwi kiviile kama washambuliaji ila ndo nguzo yetu inayotusaidia snastaili ata kua captain wa timu anavyokua golin anakua anaanasisha na wenzake asingekua yeye tungekula ata kono la nyani kivyangu ndo man of the match 💚💛🔥🇹🇿
Uhakika kabisaaa ila yanga Kila mchezaji bhn n Bora na wanaelekezana haswaaaaa
P
@@user-ln9tk3qr2rkiukweli yanga inatupa Raha sana
duke abuya we like u too much for good game
Hii Yanga inayokuja mimi mwenyewe naiogopa.Ingawa watu wanaichukulia poa,lakini tutaonana CAF CL na NBC PL
NBC Kuna watu watakufa
P
4:53😊 5:15 😊
Mm nimwana Simba watani hicho nikipimo tosho, hongeleni.
Ww mwanaume
🙏🙏🙏🙏🙏
Mzee wa data mchambuzi wangu namba moja tanzania kwa sasa❤❤❤🎉🎉🎉
Nakuelewa sana unatufundisha mazuri tusiyo yajua ❤❤❤❤❤❤
Salamu ziwafikie kilabu bigwa
Mzee wa data tupe takwim za max mpia nzengeli na za Azizi kii
Yanga ii iko moto sana msimu ujao
❤❤❤Unajuwa Sana kaka
Huyu mwamba ndio mchambuzi halisi
He is always positive
Mungu tunaomba uzidi kuisimamia hiiii timu,
Iepushe na husda zoote
Asanteeee kaka nyie makolooo mmeisikia hiyo, kazi mnayo hapo ni kuwapiga kipigo Cha mwana ukome kutuzoea😂😂😂😂😂😂
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Huwa najiuliza kwanini wachambuzi wengine hawajifunzi kwako kazi yao kukosoa bila takwim
Yanga is the best club in Africa
Kazi nzuri
Yanga is the Best Club in African Currently "
Wakwanza naomba like 100
Safi sana kazi nzuri
Uchambuzi mzuri sana
Hatar sana unajuwa mpaka basi
Uko vizuri mkuu
Hongera kaka
Hii yanga tutafurahi zaid tusubili
Yang a nihatar
Mzee wa data umekosea apo Kwa Max Nzegeli kafunga goli kumi na Moja na sio 9.
Correct. Uko sahihi sana Kiongozi. Mzee wa Data ameteleza na ndiyo maana tumeomba radhi. Maxi kafunga mabao 11 na pia ana assists 2. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono.
Safi sana mchambuzi wangu
Hakiki sisi ni bingwa yanga noma
yanga ni noma simba mtasema msimu ujao
Hakika we ni mchambuzi msomi❤❤❤❤
❤safi
Uko vizur sana
We iogope yanga Simba haiogopi Yanga
Kucheza na timu ya Ausberg
ya Ugerumani hat Simba ilicheza na Sevilla ya la Liga UEFA team
Najua kisirisiri unatuogopa hasa ukikumbuka zile mechi mbili tulizokupiga bao 7. Unacheza na Yanga nini 😂😂
Chenga tumewala
Acha kuwapa confidence, hawana pumzi na wamecheza na wachezaji ambao watatolewa kwa mkopo ispokua walikua wamepewa nafasi kuangaliwa semeni ukweli
PAMOJA NA KWAMBA MIE NI WA UPANDE WA PILI, MNYONGE MNYONGENI LKN WANASTAHLI MAUA
Eebhn yang ipoh vizur
Mbwaduke Mimi namwerewa xana
Uko juuuu
Wataelewa 2 maana wapo wanaonyosha midomo bila kuitazama zamu yao
❤
Nyie watu wa Simba akili tope mwisho mtasema makombe yanga mabaya
Nakukubali mchambuzi
Msimu huu Yanga itakuwa tishio
Kwa numbers huyu mchambuzihatari sana
Max amemaliza na bao 11 na sio 9
Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC
Ndio maana wameomba radhi hapo juu. Mzee wa Data kateleza tu katika matamshi yake maana yeye mwenyewe ameshaeleza sana kuhusu stats hizo za Mbape wa DRC
😊
Hii yanga ya msimu huu kuna mtu atakula 10
Nilikuwepo live uwanjani...yes nakukubali kwa ufafanuzi...
Acha uongo,,uwe mbadala useme ulikuwa nao jmn😂😂😂😂
Timu ya Yanga ni bora sana lakini wachezaji wasijiamini sana wakaanza kucheza kistaa timu zote zimejiaanda na wanataka kuonyesha uwezo wao
Hongera Mbwaduke kila mtu anavyoithamini kazi yake,kazi pia itamthamini
NAMI nmemkubari hyu jamaa
Kazi wanayo madunduka walipokwenda kujifunza kuogelea na si mpira😅😅
7:40😊 6:40
Mbwaduke hajawahi kuichambua yanga kwenye mechi yote yanga ikafungwa kama ipo nikumbusheni Hata Jana angesimama upande wa yanga tungeshainda nakuelewa sana kaka
🔥🔥💛💚
❤
JAmani mi nawapenda washabiki wa Simba wanaoongea mpira uwanjani,sio Comediany
💛💚💛💚👍👍
Kila Siku Mi Nasema Huyu Ndio Mchambuzi Wale Wengine Ni Wacha Ng'ombe😂.
Naona tarehe 8 kuna 8
Yes kutakua na vyura 🐸 8👈🏽😂
@@f.a6043magoma FC kazi mnayo dadeki
HATA KAMA HAWAKUWA VIZURI UWEZI KUIFANANISHA NA SIMBA
Simba nayo timu unasema huwezi fananisha na simba
Hata mimi naigopa kabisaaa
Wajipange kufungwa Fungwa Funga Funga karudi likizo
uko vzuri kwapembuzi dada vuzi..
Tinu ya damu changa😂😂😂
Broo game nimeangalia yote ila sifa nyingi unwapa yanga ni uongo unaanza kunidanganya
Huyu hanaga tabia za kusifia hovyo bali atakwambia ukweli ambao utakuweka huru na mapungufu ya tim pia utayajua
Kwa Mimi mwenye e flat nimekuelewa sana
I Chambue na azam
Na azizi kii aligonga mwamba
hata simba sasa tanzania ni timu b utaiona tarehe 8 utajua Aug ni timu b
Tunadeni nao
Simba wasilete timu
Ushindi wa 🐸🐸🐢🐢 ni kufungwa 2-1
nakubal san
Ww kolo chakavu,acha wivu
Max msimu ulioisha alimaliza akiwa na goli kumi na moja sawa na saidoo ntibazonkiza
Ni kweli aisee. Mzee wa Data ameteleza kidogo na ndiyo maana wameomba radhi hapo juu.
mbwaduke nimekuvulia kofia unajua boli wewe
Kama usburg wangekuwa silius kama yanga ingekuaje?
huna akili kwa hawakuwa siliasi.
Jiulize na ww😂😂😂😂
🔥 📛 👨🚒 🚒 🧯
Mi katiaka wachambuzi mi huwa nakuamini wewe tu Mchungaji wa data
Mimi sijaona mpira wa maana jana.Zaidi ya kukimbiza kimbiza tu.Na wale jamaa hawakuwa na pressure.Kama walijua wanacheza na mandondocha.
Kolo unaichukia yanga ukiwa wapi subili tarehe 8 ndio tutakuadabisha
Mnyama FC ndo zenu
Ukizeeka utakua mchawi
Je, Augsburg waliweka first 11 yao dhidi ya Utolopo iliyoweka first 11 yotee!? 😂😂
Mzee wa data umeanza kuzingua hamna mpira walocheza yanga hapo walikuwa wanajikanyaga tu
😂😂😂😂
Unaenda kua mchawi uzeeni
Ukweli ni kua Augusburg iliofanya vibaya bundesliga ilichezesha vikosi B na C,bado Tanzania tuko nyuma sana kwenye mpira
Kwa taarifa kikosi cha kipindi cha pili cha Augsburg ndicho kikosi cha kwanza kule Bundesliga yaani kikosi chao cha kwanza
Nitajie first eleven ya augusburg ambae unahs n kkos B
Usiongee kw kukalili
Muda ni hakimu mzuri kitaeleweka tarehe 8 na kuendelea
Duuh unachuki na yanga ukiwa pade ipi
Yanga is the best club in Africa
Kachambua vizuri
❤