MBWADUKE: RATIBA CAF MWENDO MDUNDO YANGA, SIMBA/ AZAM KIBABE SANA NJIA YA PYRAMIDS/ COASTAL...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

ความคิดเห็น • 55

  • @josephatn5040
    @josephatn5040 21 วันที่ผ่านมา +13

    Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 21 วันที่ผ่านมา +4

    Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 21 วันที่ผ่านมา

    Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa

  • @user-gx9rc9dz5s
    @user-gx9rc9dz5s 21 วันที่ผ่านมา

    Kama makundi ya ng,ombe sawa

  • @KiboJoseph-cc5eu
    @KiboJoseph-cc5eu 21 วันที่ผ่านมา

    nadhani wameset camera, hawana moiga picha

  • @johnmushi8739
    @johnmushi8739 21 วันที่ผ่านมา +1

    Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa

  • @elishajohn455
    @elishajohn455 21 วันที่ผ่านมา

    Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 21 วันที่ผ่านมา

    Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya 21 วันที่ผ่านมา +1

    Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake

  • @annofrancis3697
    @annofrancis3697 21 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 21 วันที่ผ่านมา +1

    Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi

  • @johnmbwile3980
    @johnmbwile3980 21 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani muelewe tuu!

  • @WillfredMisungwi
    @WillfredMisungwi 21 วันที่ผ่านมา +3

    Wa kwanza naomba likes zenu wadau

  • @jumazubeir5787
    @jumazubeir5787 21 วันที่ผ่านมา

    💯🙏

  • @adammafuru7971
    @adammafuru7971 21 วันที่ผ่านมา +1

    Mpiga picha holaa

  • @allytv1714
    @allytv1714 21 วันที่ผ่านมา

    Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 21 วันที่ผ่านมา

    Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂

  • @saidilikananowe1446
    @saidilikananowe1446 21 วันที่ผ่านมา

    Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.

  • @DavyShine-pb7jb
    @DavyShine-pb7jb 21 วันที่ผ่านมา

    Video camera jitahid unatuangusha