Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
Naomba kutofautiana kidogo katika maelezo yako. Nijuavyo mimi ni kuwa timu zote zitashiriki hatua ya hawali. Ila kuna hatua ya hawali mbili. Zile timu tano za juu hazitacheza hatua ya hawali ya kwanza( 1st Preliminary) bali zitacheza hatua ya hawali ya pili(2nd Preliminary). Timu zitakazoshinda 2nd preliminary ndo zitaenda hatua ya makundi( group stage).
Dada huyo ni mchambuzi hapo umemchanganya hata sisi watazamaji hatujaelewa
Mpiga picha nadhani hana D mbil, arud shule
Mtangazaji anakera sana tunakosa uhondo kabisa
Kama makundi ya ng,ombe sawa
nadhani wameset camera, hawana moiga picha
Unamwona mbwaduke nusu kipande wakat ndo mlengwa
Yan kama ungekuwa mwalimu wangu, ningeamishiana godoro langu darasani😅...maelezo mpka marefu na yanajirudia kwenye kila post
Dada unajua kuongea, sema hujui kuhiji by series, yaani Kuna madin yalikuwa yanakuja afu unahoji maswali tofauti
Michezo haipo kwenye muungano tofautisha hilo Bara na visiwani kila nchi inaendesha kivyake
Kazi nzuri mpigapicha jitahidi kurebisha kazi yako
Yanga tusha ingia makundi insha allah muda ufiketu tutembee kichapo 5 5au zaidi
Jamani muelewe tuu!
Wa kwanza naomba likes zenu wadau
💯🙏
Mpiga picha holaa
Unatuchanganya sema iv simba inaanza atua ya pili cz ipo juu yanga atua ya awali unatupa maelezo marefu na atufanani
Camera man unaleta mapenzi kwenye kaz siyo?😂😂
Mr mbwaduke vp camera mbona haijachukuliwa vzr unatuangusha watazamaji wako hii chanel yetu pendwa.
Video camera jitahid unatuangusha