KIJANA MZALENDO AIBUA MAZITO"RAIS ANATENGENEZEWA MTEGO APATE AJALI..!/KIBAO ALIKUWA KIONGOZI WA CCM"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- KIJANA MZALENDO AIBUA MAZITO"RAIS ANATENGENEZEWA MTEGO APATE AJALI..!/KIBAO ALIKUWA KIONGOZI WA CCM"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Kiongozi upo vizuri unafaa uwe kiongoz
Viongozi kama hawa ni nadra Tz.ni mkweli sana
Huyu jamaa ana akili kubwa sana tena zaidi ya kubwa ..
Kijana mzalendo hongera sana
Mama Mama kuna watu wanakuharibia ndan ya serikali msikilize vizuri kijana huyu...
wewe unasema kweli hawa watuu wanatumika kumuaribia rais kabisaa mama atumie akali
Baba yangu unaongea poa lakini kaa sawa watakugeuzia kibao wakuteke wakakuuwe kwa kusema ukweli mungu atakulinda ishallah
Tena.sana.mungu.tuu.amnusuru.mana.hii.nchi.imekuwa.mtihani
Kweli kabisa Mungu akusimamie maana.....????
Aiseeee!
Kijana Mungu mkuu wa mbinguni akulinde sana wewe ni mkweli kabisa.
Umeongea vizuri sana kwa wenye akili
KWAKWELI Sina neno kaka,,uko makini sana.Pongezi kwako Kaka.
Ni kweli kabisa Hali ni mbaya sana
Uko sawa kabisa iko siku watajuta wao waendelee tu kuteka iko siku itakua kwao tumechoka
Hakika kuna watu walio nyuma yake ili tu kumharibia.na kumfanya achukiwe. Hawa watu Mungu Anawaona na iko siku wataumbuka,na watawekwa wazi
Kweli amri za rais hazitekelezwi aliowaamini wanamzarau sana Rais awe macho na waliomzunguka Rais wananchi wanakupenda ndiyo maana wanaeleza hayo wewe mengine huyajui ya huku kwa cc wananzengo watu kama hao wanakusaidia uwaelewe
Uko sahihi kabisa. Raisi anawapuuza na kutokuwathamini wawekezaji wake wa ndani. Wawekezaji wa Tanzania ndio watakaoujenga uchumi wetu. Badala ya kwenda nje awake mazingira mazuri ya ndani. Wazalendo wa nchi hii wenye mioyo na nchi yao hawathaminiwi. Wananchi ndio wenye mamlaka na Walewska fursa zote Za kiuchumi nchini.
Technology utaipataje au mitaji mikubwa utaipataje bila kukaribisha wawekezaji ili waje kushirikiana na wazawa
kijana Uko vizur
Rais samia ni Mzuri sana. Tena Mim na mpenda sana. Tatizo la nchi hii wanasapoti rais alie staafu.
Well said kijana mzalendo masauni must go
Wasanii wako bize kuisifu ccm na mama yao wa kambo,wengi ni mashoga na machawa
Nidhamu ya Woga
Nikweli Mama anajitaidi saaana. Kutafuta amani kwa wananchi.anatoa pesa ili aendeleza miladi kutufuraisha. lakin bado wanampaka matope Mama.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yako kijana unasema kweli lakini ukweli wako utakuleteya mashaka maana ukweli unauma .
Uko sahihi Kaka, namuonena huruma saana Mh.Rais, ni kama wanajaribu kumlaghai kuwa wanafanya kwa ajili yake lkn wanamharibia kwa wananchi saaana na pia kimataifa
Mama samiya msikilize huyu jamaa anaakilisana usimdharau anazungumza ukweli pengine hujawahi kusikiya mtu akiongeya ivi mtafute umsikilize . Viongozi wanao kuzunguuka na aduwi zako .
Namshauri Rais wangu mama Samia awe mkali sana. Naamini ana uwezo mkubwa sana wa kuwadhibiti wahuni wachache kwa siku mbili tatu tu, wote wanao jaribu kushika sharubu za serikali.
Maneno ya huyu kijana ni ukweli lakini sidhani kama wanaowambiwa wana uelewa ya utosha
Hapo sasa
AMEZUNGUKWA NA WANAFIKI WANAOMTAKIA MABAYA RAIS NA HAWAMTAKII MEMA
Mama mama chunga sana Hawa wavaa kijani wanakudanganya mbele yako wamekuchimbia shimo.
Ndg yote uliozungumza ni ukweri mtupu ; mungu akuimalishe zaidi
Watanzania wengi mnapenda sana kutumia neno mama, huyo sio mama ni mh, rais, unapotumia neno mama,unajipendekeza kwa .....
Kweli kabisa. Kila mtu ana mama yake. Huyu ni rais wa kila mtu hapa Tanzania. Apewe heshima yake na siyo kumpamba kinafiki kwa kumwita mama. She us the president not mama yenu
Mtume Muhammad swalla llahu alyhi wassllam ameshasema zamani, kaumu (dola) inayomueka kiongozi ni mwanamke haitafauku.
Very good
Kwa kweli wanafiki wamemzunguka samia
Asipojiongeza akamwomba Mungu ampe hekima na busara juu ya kuiongoza nchi
Samia ameshindwa kazi
Ni kweli ni hujma tu anazofanyiwa mama na mama anatakiwa apunguze huruma kwa watendaji wake ni wahuni tu
Mzalendooo!!! Usimkwepeshe Rais kwa haya yanayotokea nchini kwetu, Rejea sheria aliyeisaini ya chombo cha usalama wa Taifa, watu aliye wateuwa kumsaidia nk.
Na wewe toa maoni yako unategemea afanye nini, ni maagizo ya Rais yafuatwe. Kwa nini uachane na maagizo dhahiri hadharani na umdhanie vinginevyo
Wemwandishi unasema inasemekana watu wanatekwa inamaana hujui wanatekwa
Uoga
Maajabu??
Waliomzomea waziri sio chadema Ni wananchi wenye uchungu.
Watanganyika!! Mnajisahaulisha au hamfuatilii viongozi wetu hasa huyu Rais. Kuna tume 3 alizoziteuwa yeye na kuahidi kwa uma ataziweka wazi, 1. Mauwaji mtwara 2. Wizi B. O. T 3. Haki Jinai, Kimyaaa!!!!
We acha tu kaka
Huyu jamaa yuko vizuri
Tukipata watu watatu kama wewe inchi yetu inakaa sawa mzee chukua fom uingie bungeni ukatunyoshee hao ubwa
Ina maana kumbe wazuri husika ni ndugu yake na mh. rais? Kweli kama ulivyosema Wananwangusha rais bila woga
Sio ndugu wazir Masaun na mheshimiwa rais isipokua katumia lugha tu kama pengine ndugu yake kwa vile wote kutoka Zanzibar inawezekana wakawa wana udugu but hawana uhusiano wa ki ndugu kabisa.
kuna genge la kihuni linataka kumuaribia rais samia ila wakati wa mungu ni sahihi
Mungu msikie huyu kiumbe hakika kinachofanyika nchii hii ni kibaya sana
Huyu jamaa anaongea kitu sahihi sana. Hebu serikali yafanyieni maoni haya.
Swala hili ni mtambuka hiki ni chombo kilichoundwa na serikal sasa samia atafanya nini ameingia akakikuta kinafanya kazi kina jina la watu wasiojulikana lakin ukwel wanajulikana na serikal inatambua nan amfungie paka kengere kwa nini wanaotekwa ni chama kimoja je serikal imetumia jitihada gan kuhakikisha kikundi hicho kinatokomezwa hakuna wanajua kinachoendelea mungu atusaidie tu
Ww ni genius sana kaka
Hiki kichwa kiko vizur rais naombaa ukiangaliziea nafac kinaweza kutupatia kitu badae
safi saaaaana nakuelewa mno natamani ningekua kama ww !! ur are so strong in true statement !keep it up Brother
Jeshi la polisi lifutwe halina kazi jeshi la wananchi lichukue kazi yake
Nice jerking hats wanajeshi wastafu KIBAO wajuzi sana haya
Mama raisi akina mwigulu wanakuhujumu ipo siku utakumbuka maneno ila mda utakua umeisha,
Unasema polisi na kule rufiji mpaka mkulanga nanialiekuwa anawauwa viongozi was ccm,kuhusu usalama was taifa wakifanya kazi yao unawalaumu.
Mbowe anawazunguka ninyi hamjui tu,alijuaje kama wamemtesa usiku kucha?na amejuaje kama wamemtupa saa 12 asubuhi?kamata mbowe kwanza.
Tanzania imewekewa red yaani ni nchi hatari haina usalama kwa watu wake
Samia anatakiwa aelewe jinsi mambo yanavyoenda duniani
Watu wanafuatilia sana mambo ya nchi kwa kina sana
Hakuna kinacho tendeka bila kauli ya raisi, tena watu wanauliwa hadharani siku hizi, anyway, au basi.
Huy jamaa anaitwa nani? Yuk vzr sana anaongea fact kabisa
nyanda kabundi
Wewe ndyo unafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani, wewe ni zaidi yakiongozi Mungu akulinde
Kuna watu ndani ya CCM hawampendi mama na hao hao ndio wanaofanya hizo hujma maksudi kujaribu kumuharibia mama!
Mmoja wao ni Mrundi. Ila mama hasikizi. Watu kama Mpina awaona maadui wale wanaosema mama, mama kafanya, kaupiga, kauweka
...
Ndiyo😮
Walimsakama Magufuli kwa kelele za Kila aina , dikteta , mshamba, kachanganyikiwa , hawakumpa utulivu aongoze nchi , mpaka akafa Baba wa watu .
Haya sasa kawaachia nchi ongozeni kwa utulivu , mnatafunana wenyewe Kwa wenyewe .
mungu akulinde unaongea vema jukua 🎉🎉🎉🎉yako
Hayati Mh. Kibao alizikwa na wanchi Wazarendo wenye uchungu na wapenda amani na siyo vyama vya siasa tuu. Hivyo, Yawezekana wazomeji wa waziri siyo chama cha siasa.
HONGERA SANA UMEVAA DARUBINI KALI MNO ILA AWAJAKUJUA TU UMAKINI WAKO.
Hakuna cha kutengenezewa wala nini.Usituaminishe.
PK HAPO KUNA CHANGAMOTO SANA NDANI YA VYAMA VYOTE VYA SIASA HASA HAWA SIMBA NA YANGA NI MTIHANI KIKULACHO AJULIKANI YUPO TEAM IPI KOTE KOTE YUPO
Kwa wa sanii kukomea sahau maana wanapewa mpunga mrefu
Anaweza akawa ndugu kwavile ni ccm mwenzake kua atamuonaje au ndugu wakaribu au mdini mwenzake nadhani vyote ni majibu tu yanajibika,
Tatizo wa tanizania siwazalendo nanyinyi wadishi wabari muee wazalendo
Kabsa ila wao wameweka uwoga mbele hawana uzalendo kabsa wabnqfis
Kuondoka hawawezi wakaondoka nchi wamejimilikisha na família zao . Wanajuana na wanalindana kura moja tu inawapeleka ikulu hatuwawezi
Unaongea point sana bro tunako enda siko kabisa
Mimi ningefuta jeshi hilo la polisi hakuna kazi wanayofanya
Ana kweli unafiki ni kitu kubaya sana. Hasa wale wanaojali tu maslahi yao binafsi
Hivi huyu jamaa wanamuelewa kweli viongozi wetu!?ila wajiulize kila kukicha watu wanaenda jkt na wanawafundisha nn huko ,!?siku tukichoka nadhan serikali itaelewa vizur zaidi .tutakimbiana bila sababu na bila makubaliano
Kweli kabisa kaka
RAIS,, ALIKUWA UNCLE TU,,,,,, R .I. P MAGU
Tuombe Mungu 2025 tupate wa kufanana naye.
Kundi la watu wasiojulikana aliliunda Rais uncle likampoteza Ben sanane nilikampiga risasi Lisu hilo kundi la la raisi Uncle Magu Samia anashindwa kulisambaratisha
Nikiiunganisha doti ,Ni kweli naona wanachomtenenezaea ni ajili,wanafanya mambo ya hovyo maksudi ili aonekana hafai
Hii kuteka ni utamaduni wa ccm
Rais hana maamuzi ndomana hasikilizwi
Nakuongezea jengine nirahisi maadua wa nchi kutumia mwanya huo Kwa kuwa honga raia wenye chuki dhidi ya serekali Yao
Tujitafakari sana. Na viongozi pia wajitafakari sana.
Hakika kwasababu ya wajinga wasiojielewa wanatuaribia hata uchumi wetu kwa mambo yakijinga ccm na serikali angalieni itafika maali, nchi yetu itakua masikini,kwa ujinga wenu akuna wageni watakaoenda sehemu yenye utata,ila inaonekana baadae kutakua na majuto,
Kwani Mzee Kikwete na Mzee Makamba na Kinana wanasemaje ??
SI ndio washauri wake hao ??
ah tuliokuwa hatuna nguvu ya kidola tunaishia kuongea tu alafu tunadharauliwa ila mtu yeyote ajue mungu anasema ukimfanyia mwenzako ubaya na wewe ni lazima ufanyiwe ubaya kama sio wewe basi ni mke wako, mtoto wako, ndugu yko nk. Siku ukija ukifanyiwa wewe ndio utajuwa huu uchungu wa kupoteza mtu wako wa karibu.
Kina Daimondi Hamonaiz Ali kiba na wasani wengine wote wakubwa semeni imbeni hii sio Tanzania tuliyoizoea
Unafaa ww kuwa kiongozi
Asante sana mweshimiwa wajitafakal katika utumishi wao kiukwel hali ni tete reo kwangu kesho kwa mwingne maana wote tuna umia has pqle inapotokea ndugu na jamaa kupoteza uhai bila sababu za kimsingi na wakubwa wako kimy
Uyo wazir ni kuma aondokezake au kama vp tuungane tukamtumbue
Kweli ndani ya serikali wanafki wengi mno
Hongera baba
Halibaya sana mungu utusaidie nchi yetu irejeshee utulivu
Kinachotufanya tuone haya mambo yana mkono wa serikari ni moja tu, kwamba watu wanalalamika na viongozi wa vyama wanalalamika kupotea kwa watu lakini wapo kimya na wakati wao ndio wamepewa dhamana kwa niaba yetu wananchi unakuta spika anasema ni miemuko , IGP yupo kimya rais yupo kimya na wakati neno lake ni dawa. Hawa watu ukiwaambia tu ukweli ni nongwa tunadhani kuna baraka za mkuu wa nchi.
Hivi ukisikia maneno ya IGP alivyosema nchi Iko salama na polisi wamejiandaa kulinda usalama na spika wa bunge hataki mambo ya utekaji bungeni hili si jibu tosha kuwa ukitekwa Ni kitu Cha kawaida kwa sasahivi nchi yetu inaongozwa na spika tu
Uko vizuri kijana umewakumbusha watu mpaka kombe mkuu was usalama was taifa.
Safi sana upo sahihi nakuunga mono.
Hilo nalo inawezekana Kuna watu wanamuaribia Rais, lakini Rais ana mkono mrefu anashindwaje? Kuuuchukua hatua? Na kwanini watekwe viongozi wa ubinzani na hakuna wa ccm kutekwa? Kuna nini hapo, inawezekana kama ulivyosema kufanya hivyo nikutisha raia
Hakuna kitu kubaya sana kama watu kuwa waasi ndani ya kundi. Hilo ni bomu.
Ok
Masauni, Wambura, jiandaeni muwezavyo, pangeni jeshi lako kivita mpendavyo kwa maagizo au kwa kujituma wenyewe! Hutaweza, hamtaweza kuushinda umma! Rai yangu, wajibikeni. Wajibikeni! Jiuzulini bila shinikizo.
Nikweri unayosema ndugu raisi Hana shida inaonekana kweri kunaajenda yakumharibia mama ikiwa mambo haya yameanza kuwekwa wazi wafahamu mungu anaenda kufanya jambo kubwa kwa viongozi nchi hii ndio kilio Cha Israeli kutoka misiri kwenda kanani yaani imekuwa fujo tupu unaua2 bira huruma nawao wakiuliwa je mwogopeni mungu
@@DaurdCharles Mama Samia. Kumbuka msemo usemao mtu huuliwa kwa tunda zake. Yaani mti km hauna matunda haupopolewi. Wewe ni mti wenye matunda! Ndio maana uongox wako unamatunda ndio maana shida inakuja kwa wale wasiopenda uongozi wako. Alla yu pamoja nac. Utashinda
Hakika kijana. Allah akuongoze. Mama Samia muite huyu kijana uwe nae.
Ki ukweri nimekuerewa saana
Swala la kuteka au kutekwa hili ukiwauliza chadema wanayo majibu ya kutosha maana pale tu anapotekwa wao wamekuwa wa kwanza kupata taarifa ,inakuwaje wasitowe taarifa au wawasaidie police
Tatizo nguvu zote za usalama zinawekwa dhidi ya upinzani.
Mh. Rais anahujumiwa, afumbe macho achambue vyombo muhimu vyote bila kigugumizi kuweka mambo sawa
Kuna agizo la Rais alioitoa wakati uliopita akiagiza Waziri Mkuu kuunda Tume sijui iliishilia wapi? ili itoke agizo jipya hili la polisdi kujichunguza ?
Aliagiza kweli lkn hadi leo hatujaarifiwa matokeo
Ni wale wale Naona wanamdharau rais washamchukulia poa Hata akisema hawamsikilizi Lbd wanamhujumu
Hapo nikweli kiongozi.
Napenda pia nafuatiliaga vikaovyako kama hivi.
Maoniyangu mshauri rais Samia astopishe watalii kuja tz kwani watekaji hawatabiriki. Siiajabu nikikundi kilichojiandaa kwa lengo la kumchafua raisi wetu mwishoe balaa likawa kubwa zaidi