ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

Highlights | Azam FC 4-0 Zimamoto FC | Mechi ya Kirafiki 12/07/2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • Magoli mawili ya Feisal Salum dakika ya 34 na 58 na mawili ya Jhonier Blanco dakika ya 37 na 82 kwa penati yameipa ushindi wa 4-0 Azam FC dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa kirafiki uliopigwa leo kwenye Dimba la Amaan, Zanzibar.....

ความคิดเห็น • 52

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo หลายเดือนก่อน +2

    Timu yangu Azam FC niko hapa karibu na uwanja wenu nawakubali sana. Ila kwa vikosi wanavyoandaa wapinzani wetu Simba na Yanga mwaka huu ni hatari tuongeze quality nyingine na tutafute timu kubwa kidogo.

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 หลายเดือนก่อน +4

    fei anakula vizurii siku hizi kule alikuwa anakula ugali sukari 😂

  • @user-kq6zy9sl1y
    @user-kq6zy9sl1y หลายเดือนก่อน +2

    Azam fc tafuteni team bora zaidi ya hii kujipima nayo

  • @FiniasYotham
    @FiniasYotham หลายเดือนก่อน +4

    FEISALI ana kitambi

    • @mustaphawelder7022
      @mustaphawelder7022 หลายเดือนก่อน

      Yanga kulikuwa na njaa ndio maana alikuwa amekoooonda

    • @ahmedjeizan4431
      @ahmedjeizan4431 หลายเดือนก่อน

      Acha ushamba yanga kuna njaa ya babako
      Djuma shaban alinenepa kwenu mchezaji anatakiwa kumaintain shape kwa mazoezi sio sifa kuwa na kitambi kama safura pimbi wewe

  • @CleoThedone
    @CleoThedone หลายเดือนก่อน +2

    Naikubali cn azamu

  • @abubakarjuma443
    @abubakarjuma443 หลายเดือนก่อน +3

    Fei jitaidi kukata tumbo la si ivyo utakua tajir mwenye team

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa uyu fei mbona kitambi kinazidi tu jamani 😢

  • @user-xb5ub7zj5n
    @user-xb5ub7zj5n หลายเดือนก่อน

    Namba 9 tunae 🎉🎉🎉🎉🎉 ligi ianze sasa

  • @KasmiliAndrea
    @KasmiliAndrea หลายเดือนก่อน

    My we humkubalitu

  • @c.grealish
    @c.grealish หลายเดือนก่อน +1

    Desbest player faysal

  • @KasmiliAndrea
    @KasmiliAndrea หลายเดือนก่อน

    Jamaa kama dube

  • @Mudathir-tx1md
    @Mudathir-tx1md หลายเดือนก่อน +1

    Hv hata APR itakuwa kazi kuwafunga

  • @EliphasNyagwaru
    @EliphasNyagwaru หลายเดือนก่อน +4

    Kwa huyu blanco mm nishamsahau dube

    • @mwanangusana
      @mwanangusana หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 utamkumbuka ligi ikianza

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 หลายเดือนก่อน +2

    Mbn Sauti Hamna

  • @sailoo5722
    @sailoo5722 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani video imechukuliwa na simu, mbna mnatuonyesha giza ama mko unga

  • @levocatuspjohn8638
    @levocatuspjohn8638 หลายเดือนก่อน +1

    Feisal inamaana Azam wamekupa mikate hadi ume vembewa😂😂😂😂

  • @maxmia100
    @maxmia100 หลายเดือนก่อน +2

    Dah? Kweli dogo anakitambi dah? Ngoja abweteke tu kazi ndo inaishia hivyo

  • @muhamadmaulid694
    @muhamadmaulid694 หลายเดือนก่อน +1

    Iv Zanzibar soka limeenda wapi ,mbona timu mbovu mbovu tu,inakera sana Yani ,misingi ya soka ipo ila mafanikio sifuri

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 หลายเดือนก่อน

      Halafu ndo kombe la muungano limerudi Zanzibar tutakuwa tunashika mkia

    • @YahyaYahya-vp2pp
      @YahyaYahya-vp2pp หลายเดือนก่อน

      Mpira ni pesa baba hakuna misingi yoyote zaid ya pesa.. Timu moja ya bara inawazaamini sita... Wakt tim za znz hazina mzamini hata mmoja

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm หลายเดือนก่อน +1

    Mumevaa jezi kama simba ila hamna mpango wowote

  • @SalumMadimba
    @SalumMadimba หลายเดือนก่อน

    Basi Fei anajiona staaaa😂😂😂😂

  • @nikky4757
    @nikky4757 หลายเดือนก่อน

    Sema fei kama ana kitambi fulani hivi

  • @honoratielisha6543
    @honoratielisha6543 หลายเดือนก่อน +2

    Mbn feisal ana tako

  • @fabianbenardngatunga2713
    @fabianbenardngatunga2713 หลายเดือนก่อน

    Mbn wamevaa nyekundu ili wajue wameifunga simba wawe wamelipa kisasi

  • @yusuphTosha
    @yusuphTosha หลายเดือนก่อน

    Dube wanini tena!

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp หลายเดือนก่อน

    Azam tafuten timu ya kujipima zaidi sio zimamoto yanga na simba ni moto

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 หลายเดือนก่อน

      Zimamoto sio wabovu kbs lkn

    • @Khatib-xp6fp
      @Khatib-xp6fp หลายเดือนก่อน

      Hhhhhhhhhh ww ni zima moto nini

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 หลายเดือนก่อน +6

    Mbona Feisal ana kitambi?😢

    • @YalkinAlkindy-nt2hf
      @YalkinAlkindy-nt2hf หลายเดือนก่อน +5

      Siku izi hali ugali na sukari😂

    • @manfuture_
      @manfuture_ หลายเดือนก่อน +2

      Kwan wana kataza

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 หลายเดือนก่อน +2

      @@manfuture_ Hivi unakuwaga mjinga hivi au unaigiza?

    • @IMRANITV1
      @IMRANITV1 หลายเดือนก่อน

      Munampa kichwa kumtaja taja fanyeni kama hajuikani vilee tuendelee na mengine

    • @onekisstv8412
      @onekisstv8412 หลายเดือนก่อน

      Apo sasa shida sijui ni nini

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Feisal mtuwmaan anakitamb

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 หลายเดือนก่อน

    apr haooo wamefika

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian หลายเดือนก่อน

    Feisal sasa basi hana mazeezi

  • @getajo1153
    @getajo1153 หลายเดือนก่อน

    Simba toeni hela tumchukue Feisal...

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Fei akikajuu tu kitamb

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p หลายเดือนก่อน

    Ni xavi mtupu