BURUNDI NA DRC KUANZA UJENZI WA SGR,MIKATABA YASAINIWA KINSHASA,TAZAMA KIPINDI KAMILI HIKI HAPA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 8

  • @muhitiraamissy7198
    @muhitiraamissy7198 ปีที่แล้ว

    Ongera sanaa burundi bujumbura tanzania drc congoo maendeleo sotepamojaa east africa is moving salut vivaa africa

  • @raiswamaraishalisi8426
    @raiswamaraishalisi8426 ปีที่แล้ว

    DR Congo, Inchi Yetu Ililaaniwa Toka Kitambo
    Iyo Mikataba Itaishia Apo Apo Kwenye Makartasi Tu Alafu Inabaki Jina Maajabu Sana

    • @sabbob574
      @sabbob574 ปีที่แล้ว +4

      Usiseme hivyo ndugu maana mameno yanaumba. Hatuhitaji mawazo hasi katika East Africa kwa sasa. Think positive

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306 ปีที่แล้ว +1

    Hii ya Burundi itawai kufanya Kazi kabla hii ya ya Tanzania.

    • @devanse9718
      @devanse9718 ปีที่แล้ว +5

      Wewe ni kichaa yaani ni sawa na kutaka kumzaa mama ako mzazi😅

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 ปีที่แล้ว

    Ushoroba ndio nini? Ni kihaya au kiswahili hicho?

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 ปีที่แล้ว +4

      Ushoroba maana yake ni corridor, yani njia kuu ya uchumi, mfano kwa Tanzania njia kuu za uchumi ni dar-moro-dom-tabora-kigoma, ama pia Mtwara-Songea-mbamba Bay, yani maanake njia kuu yenye miundombinu ya usafirishaji

    • @brysonkaale3003
      @brysonkaale3003 หลายเดือนก่อน

      Ushoroba Ni Corridor,bila kujali Ni wa biashara,au Elephant corridor,ushoroba wa tembo,ikimaanisha njia wanayopitia tembo.