Said Tully wa Simba afunguka kuhusu Kariakoo Derby itakayopigwa Machi 8

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • “Simba kufungwa tena mara tano…itakuwa tumezoea tabia ya kufungwa” maneno ya Mjumbe wa iliyokuwa Kamati ya Utendaji ya Simba SC, Said Tully akiizungumzia #KariakooDerby ambayo imepangwa kupigwa Machi 8, 2025.
    Tully amekumbushia namna walivyokuwa wanaisumbua Yanga enzi hizo ikiwa chini ya utawala wa aliyekuwa Mwenyekiti wao Yusuf Manji.
    #Viwanjani #AzamSports1HD

ความคิดเห็น •