Mcheshi Fred Omondi ni miongoni wa watu 9 waliofariki kwenye ajali Jumamosi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Watu tisa wamepoteza maisha yao Jumamosi hii katika kaunti za Kajiado, Kisii na Nairobi kwenye ajali barabarani. Watu wanne walifariki Loitokitok, wengine wanne Kisii na mmoja jijini Nairobi. Miongoni mwa waliofariki ni msanii na mcheshi Fred Omondi.
Let's be lovers of God rather than lovers of pleasure
Jee omondi kifo chake kinasikitisha Kenya zaidi ya wa kenya woteee !!! Wakufa ni wa kufa maisha itaendelea !!!
Puguzeni Raha za Dunia..mrudieni mungu
This has nothing to do with raha.
Oneni huyu ile siku uliunganishwa kwa Tumbo la mamako ndipo 📈 graph yako ilichorwa
Wewe umefirwa akili nini?Kwani ni watu wa raha pekee yake ndio ukufa na ajali?We rudisha ujinga yako kwenye bongo lako.
Watu awapendi ukweli...Mungu yuko ata wajibu
Sorry My God Protect The Family
😭😭😭😭apa duniani sio kwetu makao mazuri nimbinguni ewe mungu ulie tuumbwa tushike mkono tusizame😭😭😭😭it's so pain it's so emotion wamama tunao tujifunge leso kwenye tumbo😭😭😭mtu ajawai fiwa mtu wake kwa barabara shukuru mungu my son lost 2019 niliona maneno nilizalia kwetu katoi kalikua kanatoka shule my dear hujue saa wala siku mtoi wangu alitolewa kwa mkono wa bro yangu wakitoka shule niliona maneno kifua ilipasuka mtoto alisikia uchungu😭😭😭😭😭😭badae watu wakatembeza kua niko illuminate mungu wangu nisiwai fikia kwenye katika giza la dunia niepushe mbali laleni salama mungu ailaze roho zao mali pema peponi💔💔💔💔💔🕊🕊🕊🕊
This is bad. May his soul rest in peace.
Punguzeni speed Kwa barabara. Muache kulaumu serikali.
The law of attraction change your vibration frequency
😂
Poleni sana 😢😢😢
💔💔🕊️🕊️🕊️🕊️Mungu atulinde tu aki
Yes! We plead the " PRECIOUS BLOOD OF JESUS. AMEN
MAY HE HAVE MERCY ON US. IN JESUS MIGHTY NAME. AMEN
Mara nikugongwa na pikipiki tena😢😢😢aiii ukweli upo wapi😢😢😢
Poleni jamani, so sad rip
Poleni..ogopa ajali.😭
'😢😢DEATH!!! Tell us what u want??so that you can leave us😢😢 Come out and tell us how you look😢😢😢😢so that if we see you we run away💔💔💔
R.I.P Fred
I always say no one is safe.
Hizi lorry zina nini jamani
Jameni, hii mbio ya safari rally on our roads ni ya nini jameni? Kwani umesikia bibi anajifungua? Fala, tuliza mbio utafika salama.
Umesema pa..😅😅
Sad Waw speeding
Wah!! 😢😢
Ati uchunguzi
Fred hakugongwa na piko.....he had boarded amotobike and they hit an oncoming mag headon
😢
How did the boda driver survive that?
My friend swali ni nje dere boda na boda wako wapi ama dere sio mtu
Hata Brian Chira mlitundanganya alikufa kwa ajali lakini walioibuka na huo uongo ndio waluhusika kumuua. Sasa mko hapa tena kutuaminisha Fred amekufa kwa anjali. How can you be trusted with your unreliable news? Kenya watu wanatolewa kafara!
Asha waind jahana
Ati uliskia tu nn ogina??😂😂
P
N
P
Nearly all of them are artists...the devil at work