PART 3: MASTER JAY ACHAMBUA NYUMBA YA NANDY NA BABA LEVO HAZIJAFIKA THAMANI YA BILIONI....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online - บันเทิง
Pumbavu...Title na kilichoongelewa ni vitu tofauti
Kujenga nyumba TZ it's very cheap, Sisi Congo. Bukavu tuna umia vibaya, kiwanja tu ya 15 square metres dollars Laki moja,yaani kama shilingi milioni 260, Tena siyo next to the main road, ikiwa kwenye main road bila dollar Laki 3 hununuwi yaani almost one billion shillings, so it's not easy, kujenga Sasa nayo noma sana. Wakati Bongo viwanja vya milioni 30 vipo kibao Tu, milioni 20 vipo kibao Tu. Kiwanja cha Congo BUKAVU kina weza nunua nyumba Sandton Johannesburg South Africa
Takwimu zako za uongo... 15 square? Unajenga nyumba kweli??
Li nchi looote like mapori kibao Bado mnahangaika viwanja makubwa ! Ngoja wachina wajazane wajenge congo
@@malkiarosemuhando3310 huyu hakuna kitu anajua ni muongo! Square 15 huwezi Jenga nyumba kwanza! Halafu bei yake eti dollar kaki moja liwanja then ni nje ya mji
Wewe ujuwi ndiyo maana unaongea tu@@mtzhalisi2232
Very smart Mr J
Hii ni facts
Unavyoivunja kujenga ni possible nakubali mind set yako
Ww kama mzungu big up wambie
Nafanya kazi saudia na niko na rafiki yangu baba mkenya mama mtanzania so isabu
zake akinipa za ujenzi nikilinganisha na mm tumetumia pesa nimezidi sio sana kama lak moja ya kenya na huko ni million 2. Lakin yeye yuko mbali kuliko mm na ana nafasi kubwa imebakia katika kiwanja chake ilihali mm nimebanwa kiwanja cha nyumba moja na the same price yeye amepata cha nyumba tatu so kuna vitu vyatofautiana na vyengine vyalingana
The difference is the value for money
Kichwa cha habari na habari havifanani 😂😂😂😂😂
dolla 1 to kenya shilings ni 129 kwa sasa
Yes Kila kitu mumetuzidi hata Johnson and Johnson Oil ya P Diddy amewapaka😂😂😂😂
kenya tunanunua mkate at TSH 1400 tz mkate ni TSH 800 WAPI na wapi
Mkate gani tz tsh 800?
Kingereza bila hela nisawa na kelele 😂😂😂😂
IMEPENYA HIOOO
Master J, umefail kwenye wakenya economics hapo. Exchange rate ya wakenya inaonesha wako strong economically, ni sawa na kufananisha US dollar na Tshs ni kweli Kenya wakija Tanzania na pesa yao ndogo wanafanya makubwa sawa tu na wamarekani wakija Bongo na $ 100,000 tu wanajenga Mansion Tanzania ila Marekani hakuna Nyumba ya $ 100,000
Hujamielewa jamaa... Kenya nimeishi mwaka mzima pale nairobi
@@mtzhalisi2232 Kuishi kenya haimaanishi ndio unamuelewa zaidi jamaa, eleza hoja yako??
Nimeishi kenya karibia kila kitu kule bei na sawa... Master j ameongea ukweli nimelala lodge ya shs 500 ni self kabisa mitaa ya eridoreti center kabisa
Shida ya wa bongo wanijuvunia mambo ambayo hayana msingi eti kuvaa ama kuimbaa na mukiambiwa mutoke kwenye maandamo haaaa😅😅😅😅😅 inukeni
Nyie mliandamana je huyo Hustler ametoka madarakani au yupo.Mliandamana ruto musst go and where is he now?
Kwani kuandamana ndo maendeleo?