Kisa Cha Imaam Na Mama Omba Omba / Watu Wema Hujificha / Sheikh Hashim Rusaganya
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Kisa Cha Imaam Na Mama Omba Omba / Watu Wema Hujificha / Sheikh Hashim Rusaganya
Darsa la tafsiri Mwinyimkuu 2021 la mwezi Muharramii mwaka 1443H lilotolewa na sheikh Hashimu Rusaganya kwa uzuri na ubora wa hali juu kabisa tiizama na endelea kufatilia darsa zetu na usisahau kushare kwa wingi
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Huyu Sheikh nampenda sana Allah amzidishie Yaarabiy
Amiin
Nampenda pia for the sake of Allah subhaanahuu wata'ala
Wallah I wish huyu sheikh aje Zanzibar atupe mawaidha
Hata mm
Mashallah shekhe mawaidha yako yanaingia ktk nafsi Na yanatia iman wallahi Allah akulipe kila la kheri
Masha,Allah tabarakallAlla sheikh umenielimisha Allah akuzidishie elimu ya hapa duniani na kesho Akhera yaraab🤲🤲
MAASH ALLAH JAZAKALLAH KHEIR
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh, Allahumma Amiiyn. Allah akuhifadhi akupe mema duniani na kesho Akhera, na akupe umri mrefu wenye kheri na bakara uzidi kutuelimisha.
Aameen Yaaraabi 🙏
Bismlahi rrahman rahim wasalatu wasala ala rasulilah allahumasali ala Muhammad yarabi sali alayhi wasalam tunamuomba Allah sw ampe umri wenye afya nzuri na aendelee kuwaelimisha waislam na watu wengine na amlipe mema peponi
AA ishallah mungu atakupa malipo yako kesho akhera amen 🙏
Mashaallah sheikh wetu mungu akupe umri uzidi kutuelimisha.
Ameen Allah akuifadhi sheikh wetu
Masha Allah.Allah atuongeze sote kwenye mambo mema insha Allah.🙏
Mwenyezi Mungu akulinde Shekhe....uendelee kutupa ilimu.
Masha Allah sheikh nakumaindi
Jaza ka ALLAH KHAIRA KATHIRA AANA YA SHEIKH RUSAGANYA HASHEM
Shukran shekhe Allah akulipe
Jazzakumllah Khery
Alhamdulilah Allah azidi kukupa afya njema Shehe uzidi kutupa elimu
Pengo la nuru , waislamu wadokeze , ili wanusurike na nguvu kuipata , Insha Allah .
Hayamafundisho naya amini kabisa imetoka kwa Allah na rasullullah sallallahu walihi wasalam..sheikh ametukumbusha Mola amlipe na mema duniani na keso akhera ameen
JazaakAllah shiekh .
Mashallah Jazakallah Kheir
Shukran tumepata faida Allah akupe kila la kheir uzima na furaha janaa firdaus.🤲🤲
Waalaikum msalam Warahmatullah Wabarakatuh ❤️❤️❤️
Mashallah baraka llah fiq Sheikh wetu😍
Mashalla mungu akujaalie mwisho mwema pamoja na ss
Alaah akujalie kwa dawa uliyotupatia
Amina
Sheh allah akulipe amin
Ma sha allah nmejifunza mengi mno kupitia hii alhamdulilah
Maashaallah.
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Mashallah mashallah Allah akulipe kila la kheri inshallah
Mashaallah Allah akuzidishie umri uendelee kutufundisha. Na umjaalie pepo Yafiridausi
Shekhe umenigusa sana hapa mm mwenyewe Huwa nasema hii mitihani tuliyonayo ya nchi ningekuwa kiongozi tungefanya Dua na Istighfar lkn ndio Sina mamlaka hayo nafanya mwenyewe Allah awafunue viongozi wetu waaamrishe tufanye hivo
C kwa viongoz hawa matwaghut wakubwa mwanangu
Aaamina Rab amina
Mashallah mashallah mawaiza mazur sana
Mashaallah sheikh wangu
الله أكبر
Allah akulipe asant kwakutuelimisha shekh
shukran sana Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha
MashaAllah mwenyezi Mungu akongeze elmu uweze kutuelimisha zaid
Amiin amiin amiin amiin amiin amiin amiin
Allahu Akbar waalykum salaam warahmatullah wabarakatuh
wlkm mslm shk
Mashallaah tabarakallah sheikh
Mashallah, jazakallah kheir
Mashallah, Shekh visa vizuri, Allah akulipe
Mashaallah
Ishall. Mungu. Akulipe. Fadhakr
Mashallah shekhe jazakhallah khair
MashaAllah Allah akuripe kila kheri
AAmin
Mashallah tabarakallah
Assalam alaykum mashaalah mungu akubariki 🤲🤲🤲
Sheikh naomba kuongea na wewe nina jambo naomba unisaidie.kuifahamu
شكرا يا شيخ جزاك الله خيرا
Mashallah mashallah
Mashaallh
Mashaallaha
👍💯
Mashallllah mashalllah
Shehe nakuelewa sana mungu akupe umuli mkubwa
الله يحفظكم ياءالله
Mashallah🤲
Allahumma amiin
mashallah
Amiin
Inshaallah
Shekhe Allah akuongoz
A/Aleikum Huyu Sheikh Hafunfishi kina mama ? Mimi Nataka nikasomea kwake jamni anapatikana wapi
Kwani ww upo wap yaan unaishi wapi?
Kabisa ibilisi yupo
Alhamdulillah,Allah ampe maisha marefu huyu Shekh Rusaganya
Mwalim allah akulinde na mabaya na akupe shahada kabal yakifo chako akuepesishie kujibu masuali ya munkar na nakir akupe mke mwema akutengenezee kizazichako pamoja na kizazi cha kizazi chako allah auhifadhi ulimiwako na makosa ya aina zote allah aubariki umriwako allah akutanulie kaburi lako allah akupe ufasaha wa kufikisha din yake amin amin amin nakupenda kwa ajili ya allah allah akatueke pamoja kwenye rekhma zae amin
mwenye namba ya ustadh lusaganya anipatie
Mashaallah
Ma shaa Allah
Mashallah