DOSA : AJIBU MAPIGO KWA KISHINDO "DEBRA MAVAMBO NDIO MBADALA WA AUCHO" | TATIZO UELEWA WAO,SIJAKOSEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Dossa kama hamtaki wazee mbona mmemchukuwa Chama,nyinyi mnamsapoti mchome Ili aidhalilisha Simba Leo mnatafnana wenyewe,na Bado mwaka huu mtasema tu.
Nazidi kuamini yangu akili machicha. Kusema ukweli si kosa NI moja ya tahadhali. Dossa mnamuonea
WATU weng wa Yanga mpra awaujuwi ndio maana inapotokea mtu akaongea ukwel awakubalian nao
Wala hujakosea ndugu,yaani wengi wao ni mambumbumbu na watu wa kukurupuka😂😂😂😂😂
We ndo hujui
HIVI NINYI WAJINGA MUNALIPWA AU VP?
MBONA MUNANYENYEA SANA VP
sakina Othumani ninachokiona hawakupenda umesifia wachezaji wa simba ndyo maana wamemchukia wanayanga si washamba hujakosea dosa❤❤❤❤❤❤❤
Hawana akili hao dosa mbona ally kamwe alimsifia shabalala yeye ana haki ya kusifia ila wanaona wew huna haki ya kumsifia debora achana nao wehu haooo!!!
Mbona hata ally kamwe arimsifia Debora jmn waache unafki🤣🤣🤣🤸
ww mwandishi pia mnafik unamlazimishaje mtu aombe msamaha kw kosa asolifnya
Umeongea ukwel kaka ma hta ukiisifia simba co vibaya achana na hao machoko😂😂😂😂😂
Watu kama Hawa ndio tuliwakosa kule jangwani ❤❤❤
ila nyuma mwiko bana sasa wanachomchukia mwenzao ni nini
Usiwaze msemakweli eg amemsifia pia barua
Umarufu sio kitu rahisi🎉🎉🎉🎉
Hivi wachezaji hamuwajui mpaka waje Simba? Na tukisema Mambo yote mnakopi kwa Simba mbona mnakua wakali semeni mtaftiwe wachezaji basi
Hapo ndo mtaamini nyie ni AMNAZO yani mtu kuongea ukweli anatengwa nanikitu ambacho kikowazi mana hata ukimuuliza mtu yeyote anaye mfatilia DEBORA anamkubali kutokana nakile anacho kionyesha.
Yaani hakuna watu wenye roho mbaya kama nyuma mwiko du mbona sisi Simba tunasifia na mtu hajawahi kuenguliwa hawa watu wanaweza kukuuwa kwa sekunde moja
Mwehu ww sasa ukuwasifia wachezeaji wa Simba c ushaisifia Simba Hawa mashambiki wa Uto washamba mno Mchome ,Meja na wanavoisifia Yanga wakiponda Simba walikua wakiona raha karata imegeuka wanamtoa Dosa kafaraa
mashabaki wa UTOPOLO wana mambo ya kizamani huo mnaoleta ni ushamba, hkn ulipokosea dosa upo sahh.
Wewe Dosa mbwa kasolo mkia hatukutaki kukusikia tena kama Hauna la kuongea Bora ukae kimya pumbavu kabisa wewe
Team ambayo Haina fea niyanga ata hawajielewi yaan uongee PUMBA nisawa kuliko ukweli duh
Nyie mashabiki mnapenda sana kusema,kuchamba kwingi mwishowe utajipaka vinyesi
Achana nao watu wayanga wasenge TU hata injinia alimsifia barua na dada mmoja wa yanga alimsifia mavambo na kijili na kagoma
Saa hii mna hahaa na kumtaka mavambo umesahau kua msemaji wako alimzihaki debora kwakusema yani azizi ki na pakome waka cheze na debora ama mmesahau kumanina zenu n.gombe nyie
SASA DOSA KAKOSEA WAPI HATA KAMA ANGEISIFIA SIMBA SC KUNA UBAYA GANI MBONA WATU WENGINE SIO WAELEWA ETİ ANAVULIWA UENYEKITI WA STESHENI
DOSA unachokiongea ukosahii na huyo mtangazaji asikulazimishe kuomba msamaa mana akuna ulicho kosea.
hao jamaa wamezoea kuwaponda wachezaji wa simba hata wakiwa wazuri sasa leo mwenzao kasema ukweli inawauma
Dossa mtangazaji ametumwa na kina Mzee Chembela na Nassor,mbona anakulazimisha kuomba msamaha
Ahmed ally mbona huwa Anamsifia feisal, anamsifia azizi ki kosa liko wap duuuu😂
Huyu jamaa yupo sawa sana Iła yanga mną mambo za ajabu sana!! Amtaki ukweli wenu washamba sana nyie
Ukwer humuweka mtu huru yaan ukiongea ukwer eti unakosa mmmm watani achen kumnyanyasa mtan .
Unajitetea nn ww,nilikwambia mdomo uliponza kichwa😂😂😂
Dosa mimi nipo simba.ila wanakuonea wivu kwa sababu una miaka michache kuliko wewe.
Kwan umemkosea mungu had uombe msamaa? Achana nao wasiojielewa Babu
Mzee Magoma alisema mashabik wa uto ni MFU ndio yanadhiirika
Dossa hunakosa ila jambo lakusema viongozi hawalali njo ulipokosea
Mwandishi aupo kiprofesinal kabisa umetumwa wewe
Naona kurujuan inazidi kushika kasi tu muda utaongea mzee magoma oyeeeh 😂
Hapo yule MCHOME MAPOVU aone hali iliyomkuta DOSA vilabu hivi vina utaratibu au mwongozo wake huwezi kuisifia timu pinzani hata mchezaji wa timu pinzani Mchome anakashifu mpaka jezi ya club ya SIMBA sasa. Haeleweki yupo wapi
Mchome yy toka apo ni yanga yule.
Ulisema hersi gamond hawalalii ajilli ya Deborah
Kwamwe kamsifia Muhamed usseni mbona hamjamtimuaa
Wanakuonea wivu kwa sababu wewe una muda nchache.
Upo sahihi kak ata na mm simb lkn namtaman pakome
Mnamtaka Debra hella mnayo kapuku nyie
Kwel yanga wenye akili ni wawili tu😂😢😢
Je lazima tuchukue mchezaji Simba?
Kwan kusifia kizur nivibaya shida nini
Hapo jamaa upo sahihi Saanaaa...!!!!!!
Uko sawa hao wasiokuelewa achana nao
Unalazimishasamaha ili iweeje wewe
Nyinyi kweli ni masenge hasa ww mavambo hata msimu hauja isha ww una mtaja mavambo hivi una akili kweli
wewe ndiye huna akili maana mpira ni mchezo wa wazii
Wape ukweli dosa
Dosa pamoja😂😂😂😂😂😂
30 huyo ana 50
Dosa nguvu moja
Dosa yupo sawa
Utamaduni wa mprira bongo unachekesha
Utamaduni wa utopolo fc
Sasa yanga mmeanza kuchanganyikiwa nabado mjasema
Kurujuan inazidi kushika kasi😂
Haya sasa ww kua hers uende uka mchukue mavambo
akifikisha 30+ atakuja kuweni na subira
SUPU YA KAFARA ITAWATESA SANA
😂😂😂!!! Halafu Dosa anaogopa nini kuisifia Simba si ni jambo la kawaida tu ukizingatia Debra hachezei lipuli FC anacheza Simba it's all good wakimzingua si aende tu kwa Ubaya ubwela asingoje kurujuan izidi
kazo yenu ndiyo hiyo kwani hamuwaoni wachezajipaka wasimba ndio mnao wataka ovyoo
Yanga hawana skauting toka mda mrefu kwa miaka 3 waliyochukuwa ubingwa asilimia 100 yawachezaj walionao walipointiwa na simba sema kwawakati huo viongoz walikuwaga wanazinguwa ko yanga wakawa wanapita nao xaxa mximu huu walijuwa tutaenda na mwendo huo tupoint wao wachukuwe bos Mo akawa anachana waret anamalizana kabisa na mchezaji wameshindwa na ndomana usajili wao wamagumash msimu huu.