Huwezi kuwa mchbuzi mzuri na utabakia kuwa mchambuzi wa vichochoroni kwasabb si mkweli uchambuzi wako una unazi flani hv.Na husemi uhalisia na unaonekana unaumia timj yako ikifungwa hata ikiwa wamezidiwa unafichaficha. Watu wanaujua mpira na wanatazama mpira wanachotaka kusikia ni uahalisia wa matukio waliyoyaona si kutoa maoni yako na kuwa kocha wa nje na kusifia uozo. Wenye akili washakuelewa kuwa Friji novu pia ni kichwa kibovu
Yanga ikishinda goli mbili yanga mbovu simba ikitowa droo sinba inasigiwa simba ikishinda goli mbili simba itauchukuwa ubingwa Kwa yanga eeeeh inaonekana ndugu zangu mnachambuwa kiutimu utimu mi naona mnabaguwa timu hapo mbona Leo simba imeshinda sawa ila awakuwa ktk ubora wowote pia mechi inaonekana inamaelekexo Fulani Ilo amuongei
Huwezi kuwa mchbuzi mzuri na utabakia kuwa mchambuzi wa vichochoroni kwasabb si mkweli uchambuzi wako una unazi flani hv.Na husemi uhalisia na unaonekana unaumia timj yako ikifungwa hata ikiwa wamezidiwa unafichaficha.
Watu wanaujua mpira na wanatazama mpira wanachotaka kusikia ni uahalisia wa matukio waliyoyaona si kutoa maoni yako na kuwa kocha wa nje na kusifia uozo.
Wenye akili washakuelewa kuwa Friji novu pia ni kichwa kibovu
Fei mnamshangaa nini kwa sababu kila siku yupo na viongozi wa simba.
Mimi sija ukubali mpira Azam na refa wote ni shabiki wa Simba
Uchambuzi lWewe friji bovu huna uchambuzi Fei toto hajacheza kitu mechi bado mbichi
Fei nilidhani ni beki maana mda wote unamuona yupo nyuma na akina lusajo
Diddy ,nenda nawewe kwenye part mafuta mwamposa
Unaumia ukiwa wap iiii ndo maan y ubay ubwelaaa
ATEBA NI SAYARI NYINGINE AFRIKA
AZAM ATASHIKA NAFASI YA 7
Yanga ikishinda goli mbili yanga mbovu simba ikitowa droo sinba inasigiwa simba ikishinda goli mbili simba itauchukuwa ubingwa Kwa yanga eeeeh inaonekana ndugu zangu mnachambuwa kiutimu utimu mi naona mnabaguwa timu hapo mbona Leo simba imeshinda sawa ila awakuwa ktk ubora wowote pia mechi inaonekana inamaelekexo Fulani Ilo amuongei
Asante sana Mungu kwa haya matokeo. MUNGU IBARIKI SIMBA
wew yupo wakumfananisha na Ateba wew unamuonaj mzee magoma sraika hatari sana
Yanga mtapata taabu saaaaaaaanaaaaaaa huuuuu mwakaaaaaaa
Hauna unacho kijua fala wewe