MZEE CHEMBELA & NASSORO WAMPANGUSA DOSA STESHENI KISA KUMSIFIA DEBRA MAVAMBO | AMETUKOSEA SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Nyinyi hamjui mpira dosa hajakosea kila mtu anamaoni yake ngoja team ianze kufanya vibaya mtamkumbuka dosa anacho sema mcheza mzuri anasifiwa na yeyote yule
Mnajidai mnajua scout mngechukuwa wazee wa Simba
Mbona hamumfukuzi injinia hersi kumsifia balua na chama kabla hajaja yanga !! Acheni unyumbu mnaishi maisha ya kufwata mkumbo kama NYUMBU !! Dosa kakosea nini!? Ndo maana mko wawili tu katika wenye akili😀😁😂😀😁😂😀😁😂
Kwa utaratibu huo nyuma mwiko hamuwezi kupata wapenz wa kizazi kipya kwa sababu vijana wa sasa hivi wanataka furaha cyo kuwafunga mdomo
Simba kuna Mchome na Said wanaiponda Simba Kila siku,mpaka Simba imemchapa Ahli Bado wanakosowa,Wana Simba hawajazuia waandishi wasiongee nao,Uto mna shida
Haya mtoe na hersi si kamsifia sana chama na juzi kamsifia balua acheni ujinga bhana nyie ndo wenye njaa mtu asioongeee mpira bhana acheni ujinga bhana
Tatizo wanayanga niwanafki hivi wangapi wanayanga wanaomkubali DEBORA?
Wote
KWA MAANA HIYO DOSA YUPO FREE .SASA ANAWEZA KUENDELEA NA MSIMAMO WKE POPOTE
Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi mbona awajamtenga? DOSA wamemuonea kwasababu nimnyongetu .
Upo sahihi kabisa
Hawa nilimbuken hajui mpira
Afadhali mumfukuze huyo dogo aliongea UPUUZI sana Jana huyo dosa ikiwezekana afutwe uanachama
Nyie mbona mlikuwa mnamsifia MABULULU Mbona amjaamia LIBYA?
Baadhi ya mashabiki wa yanga kama huyu nasoro na chembela wana roho mbaya, kosa la dosa liko wapi kusema ya moyoni?
Mzee saidi mbona anamsifia azizi k
Nyie yanga msimponde dosa huwo sio ubinaadamu
Dosa anapenda sifa kwanza ajui ata kuongea mm kuna mashabiki 2 wa yanga huwa siwaelewagi dosa nimwenzake mwalimu wanangeaga usenge tu
Ila dosa mbona hajakosea kama wanavozungumza yy amesema mavambo anafaa kuw mbadala wa halid Aucho
Tatizo yanga uelewa mdogo
Wache ni ujinga Dosa hana kosa alilofanya kama mchezaji anafanya bidii Wacha ukweliusemwe bila kujali ni simba au yanga
mbna hersi anamkubali balua kumkubali mtu dhambi ngogwe Amna kitu kichwani
Jamani wanayanga wenzangu kakosa lakini msameheni tu
Dosa hana kosa lolote labda nasoro ndo anakosa
Yanga wengi kuanzia viongozi wao wapo hivyo wana roho mbaya wamekaa kichawi yaani hawajui mpira....mpira unataka kizuri ukisifie hata km hakipo upande wako wao wanataka hata km mchezaji wako mbovu ndo umpambe tu
Kwani HERSI alivokuwa akimsifia CHAMA kipindihicho chama alikuwa anachezeawapi? Nanikweli HERSI alikuwa anakosa usingizi.
Haituhusu maku wew😂😂
RUDISHENI FUNGUWO NYUMBA SIO YENU 😂😂😂😂 KURUJUWANI ITAWAMALIZ SUPU CHAPATI FC NYIE 😂😂😂😂😂 KURUJUWANI OYEEEEEE 😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA ZEE LA KATIBA OYEEEEEE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
Yanga washamba bamjyi mpira,mtu kutoa maoni yake iwe nongwa!?
Mchome vipi 😂😂😂dah
Miraji mbona anasifiwa yanga uto acheni ujinga
Sio watu wa mpira yanga
Hawa Yanga wa ajabu sana. Ni aibu
Utoo jamani
Uto acheni wivu
Dosa asirudi tena hapo atumtaki aondoke zake
Jmn😂😂😂😂
KWANI HAPO KWA BABAKO KENGE WEWE
Roho zakichawi
Nyie mashabiki wa yanga kweli mmepungukiwa akili.kumsifia mchezaji wa Simba kunaubaya Gani?huyo Chama huyo injiniaaliwaahi msiffia Chama maana yake huko uanga kulikia na wachezaji wabovu ndio mama Chama mmemchukua.makubwa jinga hàya gongowazi manara aliwahi sema wenye akili ni wawili haina haja ya kuwataja.huyo injinia wamemfanya ni Mungu wao kwaamba hakosei
Hersi aliongea chama ni mchezaji bora Tanzania na akaulizwa anataman akachezee yanga akasema why not leo chama yupo yanga juzi hersi kamsifia balua imekuwaje huyu Nasoro amfukuze dosa kisa deborah na sio akashinikizaz kumfukuzaz hersi aliyewasifia wachezaji wawili wa simba
Acheni ujinga kumbe hata ww hujitambui umefanya ivooo ili uwe unaongea ww mpira hauko ivooo nyie ukweli unasemwa
Mm naona aliteleza mngemuita mkamuelewesha Dosa mm nina uakika ni mpile atawaelewa binadamu tumeumbiwa makosa jmn yeye sio kama wakina mchome wala meja
Mnakuza tu mambo! Mbona mashabiki wa simba wanasifia wachezaji wa yanga,mfano mzee saidi anamsifia sana Azizo ki
Sawa kakosea kwani huko kwenu hakuna onyo mtu kakosea mara moja tu leo unamuondoa kwenye uanachama
Manara aliwahi sema wana yanga wote hawana akili kosoro kikwete na mzee sande manara nikweli
ili jamaa lina jazba
Wasenge nyinyi
Kumamako zenu