🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 105

  • @alikomora-ij7no
    @alikomora-ij7no 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mashallah shukran Sheikh wangu

  • @Aishampacha
    @Aishampacha 2 วันที่ผ่านมา

    allah amuifazi shekhe wetu

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 3 วันที่ผ่านมา +1

    Shekhe Allaaah akupe maisha marefu

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 3 วันที่ผ่านมา +1

    Assalamu Allaeykumu

  • @AishaIssa-ld8lw
    @AishaIssa-ld8lw 3 วันที่ผ่านมา

    Maashaaallah

  • @Aishampacha
    @Aishampacha 2 วันที่ผ่านมา

    tuna falijika kwakweli nyoyo zetu zinakua na hamani

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂 ushamlipa yule uliemtapeli kijana wa watamu??? Hatimi mwanachuoni??? Hhhhhhhhhhhhh hhhhhhhhhhhhhhhh 😂😂😂😂

  • @bagalucha
    @bagalucha 2 วันที่ผ่านมา +2

    Fake fake

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 2 วันที่ผ่านมา

      bagalucha fake ya nini wewe kila kitu wataka pinga tena bila Dalili, wewe kama kweli wataka pinga kila kitu mwanzo ungejikataza wenyewe kutumia simu Mtume SAW hakutumia simu

    • @bagalucha
      @bagalucha 2 วันที่ผ่านมา

      @@abubakaromar6101 Huu ndio ujinga kwa waliokosa kujifahamu na elimu,tatizo hujotambui,na hujui kutofautisha na kupambanua,Sumun bukum umyun layarjiun.Uislamu ni muongozo kutoka kwa Allah,Sasa hili la simu,gari,ndege,mkasi,kiwembe limeingia huku kwenye sheria za Ibada kutoka wapi.Ibada zetu tulizoamrishwa na Allah Subhana wataalla kwenye Quran na Sunna zake mtume,zina ushahidi na maelekezo yake,kuna sikukuu kubwa kwa kila mwaka wa kiislamu,tulizoamrishwa kuziadhimisha Eid el Hajj/fitr ,kufunga ramadhani,ibada ya hijja,zaka,salah,na kuna mambo ya sunna,tuliyoyapata kutoka kwa kipenzi chetu mtume Muhammad Sallallahu alayh wasalam,na mengi yaliyothibiti kutoka kwa Allah na mtume wake,hili lenu la uzushi/bidaa la maulidi mmelipata wapi????????,kutoka kwa Allah?kwa Mtume???kama lipo leteni aya inayoelekeza tufan ye maulidi,au letene Hadithi sahihi,si yakuzuwa,sasa najiuliza???,hili la simu unaliingizaje katika ibada???Ujinga mkubwa ulokujaeni,unaukukosesheni kujitambua,Ibada zipo mutayirata na zimeidhinishwa na Allah na mtume wake.Ati Simu

    • @bagalucha
      @bagalucha 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@abubakaromar6101 Haki itabakia haki,na mwishowe itasimama tu,Ikiwa Allah ndie aliekadiria kila kitu,Qayyima yake itasimama,Allah keshatubainishia muongozo wake kutoka kwa mtume wake,hizi tafaraka na uzushi,tayari zikishatokezea kaumu zilizopita.Sisi ibada tutamfuata Allah muongozo wake,na aliyokuja nayo mtume wake,hiyo ndiyo haki.
      Waumini ni watulivu na ni wenye kusubira

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 2 วันที่ผ่านมา

      @@bagalucha wewe waijua haki ni ipi?haki ni ile ukiona mwenzako afanya jambo wewe hulipendi ni unyamaze kwa sababu hata wewe huko kwenu uwahabini Uzushi upo mwingi na kuna kitabu kizima cha Uzushi wa mawahabi.

    • @abubakaromar6101
      @abubakaromar6101 2 วันที่ผ่านมา

      @@bagalucha haki haidhihiriki kwa unachokifanya wewe cha Uzushi kiwe ni sawa na mwengine akafanya kiwe sio sawa, wewe kama wajuwa kuwa amefanya Uzushi na wewe pia wafanya Uzushi ni unyamaze sio kuropokwa bila Elimu