Basi ni kweli ni Mungu wa Muji wa Makimbiliyo tu,kila anahusika kusambaza usalama inchini DRC kuzimu na mbinguni hatasamehewa;unasikia Naanga na wengine
Sijaona Serikali kama hii ya Congo wananchi wako wanakimbilia vita munakosa kuita kikao cha zarura ili muweke Bajiti ya kuundumia wana nchi wako kweli hii nchi yetu Nani alie turoga wanakaa bila kujuwa wananchi wako wanaangaika na mishaara wana pata
Kwa kweli Mungu pekee ai piganie na ku ishindia congo yetu, Tume choka na hali hiiiii
Basi ni kweli ni Mungu wa Muji wa Makimbiliyo tu,kila anahusika kusambaza usalama inchini DRC kuzimu na mbinguni hatasamehewa;unasikia Naanga na wengine
Hachamungu atendekaziyake juyamahishayenu
Sijaona Serikali kama hii ya Congo wananchi wako wanakimbilia vita munakosa kuita kikao cha zarura ili muweke Bajiti ya kuundumia wana nchi wako kweli hii nchi yetu Nani alie turoga wanakaa bila kujuwa wananchi wako wanaangaika na mishaara wana pata