Highlights | JKT Queens 1-0 Yanga Princess | Fainali Ngao ya Jamii Wanawake 05/10/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- JKT Queens wameibuka mabingwa wa Ngao ya Jamii wanawake 2024 baada ya ushindi huu wa bao 1-0 dhidi ya Yanga Princess kwenye mchezo wa fainali uliopigwa Oktoba 5, 2024 kwenye dimba la KMC Complex....
Goli pekee la ubingwa kwenye mchezo huu limefungwa na Donisia Minja dakika ya 89.
Mwisho wa kelele hapa mjini ❤️ more love to Jkt queen ♥️
Tuliofurahi jkt queen kuchukua ngao tujuane🎉🎉🎉
Yanga princes wamecheza vizuri kuliko JKT Queens ambao walikuwa wazuri kwenyr kuzuia. Umakini kidogo umewanyima Yanga Princes ubingwa leo. JKT hawakushinda kwa sababu wamecheza vizuri zaidi ya Yanga Princes
Huyu Ariety wa yanga n noma kwa kweli
Afadhali kelele na ngebe zilianza.Bora ubora wa JKT umeziba ngebe
Hongera makamanda wenzangu
We nmnyama atakama kamanda😂
@@LopiloMoldingtz😂😂😂
Refa kawanyima yanga km penat 2
Hadi huku mna malalamiko? Utopolo mimi siwawezi😂😂
@@Joe-tr2vkhao tena unawajua malalamiko fc 😂😂😂😂
Hakuna Penati hapo
Yanga nao wanderi wanashindwa hata kutoka droo jaman
Mmmm walipitaje kwasimba sasa au kiufigisu😂😂😂maana mpila wabongo hata Hua siuerewi kila Jambo michongo Simba kwanini walikataliwa wachezaji wa kigeni kipindi cha kwanza😂😂 JKT respect sanaaa
Utakuwa ufatilii ligi ya wanawake wewe, ivi unaijua JKT queen vizur au unaiskiaa?
Walishinda Kwani Hukungalia Mpira Wewe Hiligoli Ni Larefa Sio Faul ile Yakutowa Ila Alikusudia Kuwafungisha Huyu Mwanamke Kazowee Kufungiaha YANGA Hata Wakubwa...
@@muhammadmuhammad5043 🤣🤣🤣🤣kwanini wasifunge 4kama Simba ili iwe 4kwa 1
We akir zako zipo matakoni kwako jt unaona wabovu mburulaaaa ww
@@ErickJeremiah-ry4pwachana nae mtambo huyooooo
Yanga princess kipa hawana
Utopolo poleni sana
Wapi Ally kome 😂😂😂😂😂
Yani furaha wanayoipata leo Jkt queens ndo ya yanga princess kila siku.
Jkt niliwaona wspo vizuuri tsngu wamchape
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys, wajameni vipi kuumeni nako kukawa hivi??😂😂😂
Jkt refa kawapa tu penat za waz kabisa refa wa kolo yule
Refa ovyo kabisa hafai ht kuchezesha cha ndimu
Kolo ht km mnawaponda Yanga princes, mna kikosi km hiki? Nyinyi kila upande ni kugombania nafasi ya tatu mpk maji muite mma😂😂😂
Simba Queens ndiye bingwa wa kihistoria na ni bingwa mtetezi,wanachukua tena ndoo msimu huu.
Hajui huyo achana nae sisi simba ndo mabingwa wa hilo kombe mara kibao hadi tunalichoka😂@@Joe-tr2vk
Shida yenu iyo mcheze nyie shobo muipe simba kweli mashoga fc noma muzoeee tuuu 😂