Subhanallah ewe nafsi yangu kumbushika na utosheke kwA mawaidha haya amin ya Allah 🙏 tujaalie mwesho mwema na familia zetu na waislam wote kwa jumla na uwasamehe marehemu zetu na uwajaalie nuru katika makaburi yao na yetu.
Hakika ya mauti hayachagui umri kabila wala rangi .. Nafs angu tubia kabla ya umaut haujakufika daaah . Vijana wezangu tuthamin wakat hu tusijekujutia kesho siku ya sku.
Jamani maneno hayo wallah tumuogope mungu ipo siku tutaondoka duniani tumuabudu allah
Ya rahmani mpe rahma zako shke wangu mungu akupe umri mrefu akuepusheye na kila aina za fitna
Subhannallah😭😭😭😭😭😭kwa kweli inahuzunisha sana, Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi.
Tusomeshe sheikh Allah akujalie kheri
Subhanallah ewe nafsi yangu kumbushika na utosheke kwA mawaidha haya amin ya Allah 🙏 tujaalie mwesho mwema na familia zetu na waislam wote kwa jumla na uwasamehe marehemu zetu na uwajaalie nuru katika makaburi yao na yetu.
Amiina yarabu amini
😥😥😥 Ya Allah tume mwisho mwema sisi waja wako wadhaifu
اللهم امين
Amiin
Remember s😅u😅m
بارك الله فيكم يا شيخنا الكريم .
نسال الله العفية وسلمة .
زادك الله العلمً والحكمً
Allah akujalie neema kwa kila ulifanyale Sheikh. Baraka zake ziwe nawe na familia yako. Aameèn
Ahlan wasahlan akhy
Allaahumma innaa nas_aluka khusnal khaatimah (Aamiyn)
Mashaal Allah sheik wangu Allah akujalie kila l heri
Jazakallah kheirah 😔
M.a aqhi hamza mansoor.
Inshallah Allah atujalie wenye kukubuka Mambo Mema 🤲 ..Nawe Allah Akuzidishie elimah uzidi kuukubusha umaah 🤲 Amiin inshallah
Allah Akbar hakika sote ss silolote😱😱
Allah tuongz ss😭😭
Jazakallah kheir Bro
Allah atuongoze atupe na sisi husnulhatma ndalmaut
Baraka alhahu fikka
Shekhe endelea kutuelimisha kwa elimu nzur allah akupe subraaa subraaa nawepesi wa mambo yako akufanye kuwa bora duniani na akhera
Innalilah wainailah rajiun umma mswiba Allah atuongoze ktk njia za kheri
Allahumma amiin
Amiiiin
@@naamohamed9964 Allahumma amin
Nasheed inaharbu dawah
😭😭Ya Allah tuongoze kwenye njia ilio nyooka😭utujalie mwisho mwema YARABI😭
Your teachings makes me want to be a Muslim
So what are you waiting my friend to be Muslim
Right decision hurry up
May Allah guide you to the truth
Your mostly welcome brother
M/Mungu akuzidishie Ilim
Shukran Yaarabi tupe mwisho mwema
Jazaqallah khaira
you are a good teacher nataka uni slimin
Ni kwel hapa dunian tunatakiwa tuishi km ni wapita njia tu, Ya Allah tupe mwisho mwema.
Jazaak Allaahu khayr
Mashaa allah
Hakika 😭😭💔🤲🏻Allah atujalie mwisho Mwema 🙌
subhanallah
😭😭😭
Mashaallah
Allah akbar Allah akbar Allah akbar
Duniya ni mapito
Allah Akbar,,,,
Yarrabi tupe mwisho mwema
🙏🙏
😭😭😭😭😭
Kulli nafsi dhaikatul maut,ya Rabbi tupe mwisho mwema waja wako
Duniani tunapita akhera ndio makazi ya kudumu
Hakika ya mauti hayachagui umri kabila wala rangi .. Nafs angu tubia kabla ya umaut haujakufika daaah . Vijana wezangu tuthamin wakat hu tusijekujutia kesho siku ya sku.
subhanallah subhanallah
Allah tuhifadh
جزاكم الله خيرا و أحسن إليكم. Mahasin tv
Jamani mahasin tuekeeni nashid ileile ya zaman kwenye shortclips zenu ....tunaomba mufanye hivyo
M.a
🥺🥺🥺
1
MashaAllah, Mwenyezi Mungu muhifadhi sheikh wetu na vyombo vyetu vya habari, tukitaka kuchangia media yetu tunafanyaje, hakuna number kama Iman media?
Hakika 😭😭💔🤲🏻Allah atujalie mwisho Mwema 🙌
Duniya ni mapito
😭😭😭
😭😭😭😭
😭😭😭