Inaumiza sana imenikuta najua maumivu yake najua unakuaje kwanza unakosa aman unaic unachekwa na kila MTU kumbe so kwer unakuwa na maswali meng ya kujiuliza mungu tutie wepes tusahaulishe
Yani Abdul Kiba wewe ni mwanaume,nimependa ulivojibu kiume na kiroho safi,umeamini mnoso alichokisema.lkn ingekua sisi wanawake hapo,kisingeelewa kabisa
Nasema hivi ,wanaomjaji mtu kutumia jeneza na msalaba vilivyotengenezwa kwa miti na mikono ya wanadamu hao si Wakristo, wanaitwa waandishi wa mafarisayo ambao Yesu Kristo aliwaita WANAFIKI
Abdukiba umeonyesha u gentleman wa top Level. Big up sana bro
Nimependa majibu yako bro you are a man and a half 💪
Mashaallah mashaallah mashaallah hongera nime mpenda sana 🥰🥰🥰 Allah amu ongoze majibu mazuri sana
Nimekupenda bure Abdukiba, umetumia busara sana kujibu maswali🥰
Inaumiza sana imenikuta najua maumivu yake najua unakuaje kwanza unakosa aman unaic unachekwa na kila MTU kumbe so kwer unakuwa na maswali meng ya kujiuliza mungu tutie wepes tusahaulishe
Pole kaka ndio mitihan ya kimaisha
Anamajibu yakiuwana ume sana uyu mwamba like nyingi sana kwako bro
Alaah!kumbe huyu ana akili nyingi vile Abdu kama Abdu majibu zimeenda shule"tamthing"🤣🤣💕💕
Abdukiba unabusara ssana jamani ila nakuelewa sana kwenye nyimbo zenu
daah jamaa ana busara saaana kajibu kiume kabisa✊🏽
Namkubali sana huyu jamaa interview zake anajua kujibu na kujielezea anapihojiwa
Very calm and wise responses
Shukran kwa jibu sahihi
Abdu your right na nyie ni wanaume pia nawapenda Sana you & mbosso some times girls tunakosea pia upendo wenu udumu wewe na mbosso
Wewe ni mwanaume big up sana
Anaonekana kbx anaumia ila mwanamke akiamua kukushika pabaya anakushika kisawasawa
Abdukiba asante yaani wewe mtumzima kabisaa
Jibu la kiume sana iloo.
Abdu kaumia sana na mboso yani hata jibu yake mpaka akune kichwa uyo ex wife abdu kafanya kusudi! Pole sana
Cool
Katumiya busara ya kingdom 🥰
Umeongea kiutu uzima 🤜🤛
Umejibu vizur bro😍
Yani Abdul Kiba wewe ni mwanaume,nimependa ulivojibu kiume na kiroho safi,umeamini mnoso alichokisema.lkn ingekua sisi wanawake hapo,kisingeelewa kabisa
Pole saana bro
Shoo. Niliielewasana jeneza nkt chakawaida sana niliinjoi iludiwe. Jamani
Sio mke ni mtalaka wake point of correction
Abdu Kiba anaonekana bado anampenda mke wake kutokana na alivyojibu hapo mwisho 😄
Mdogo wangu umejibu kiutu uzima sana
Nakupongeza sana Abdulkiba kwa ujasiri wako..
Dahh huyu mwanaume wa shoka
Dawa ya mwanamke anaefanya hivyo ni kumfungashia virago vyake aiwezekani upambane Kwa jasho alafu thamani Yako isiwepo.
watanzania tushiriki sensa kwa maendeleo yetu. sensa ya watu na makazi kuanzia 23 August 2022
Shiliki wewe mm kama wanakuja Bila hela hawanikuti
@@fredyleonardy6987 🤣🤣🤣
Walikuwa washaachana is not big issue
Tatizo wanaume wakumuacha mwanamke wanapenda asipdwe namwingine
@@yousramutwale2463 hahahahahaaa
Nioe mm too jmn maan nakupendaga
Nimekujibu fresh
Good
Àliye kuw Sio mkee mu ulizaji una uchochezi ndani yko
Mbona bongo Move wana fanya wangeanza kukataza kitambo
Bongo muvie huwa inakua ni story na inamafundisho pia. Na huwa wanavibal kabisa,
Vizuri
Umeongea vizr sna
Kwani huyo Dada aliachana na abdukiba
Kitambo sana
Sasa huyu mbona huyo mke hakuishi naye hata miezi sita wakaachana mnapenda kuchonganisha watu mtalaaniwa
Useme aliyekua mke wako kwani si mlishaachana. Weka hicho kitu clear Kwamba mlishaachana. Kila mtu afanye kinachompa furaha
Minaona kaongeya bumba sasa mkewe au alikuwa mkewe,maana nipo njia panda
wanawake wanahitaji maombi mengi sana yaani ukimbie ndoa yako ukazae na wanaume tofauti mpaka uishie kuwa 11th baby mama
Mtihan mkubwa japo sio wote
Alizaa akiwa nje ya ndoa siyo kwamba alikimbia ndoa
Mmekosa adabu..bendera waifanya tishu
🤣🤣🤣🤣shwaiin
Hahaaaa nimechek km mazur daaa
😂😂😂Umeona ipo juu ya mlingoti hapo akili huna walah
Mboso kaongo asijue km alikuwa mke wa Abdu wakat ndoa yao ilikuwa publick kbsaaaa
Na ni marafiki wakubwa hawa
Walisha achana hao
Sio mkewe bwana mbona hivyo ukishindwa kuzalisha bas acha watu wazalishe naulikua ushamwacha sasa nini
Usijali
Mnaliana sikuhizi😂😂😂
Kwa mimi mfumo wa simba day nimependa kwa sababu mbona majeneza ya wasanii yalifanjwa mengi so
Nasema hivi ,wanaomjaji mtu kutumia jeneza na msalaba vilivyotengenezwa kwa miti na mikono ya wanadamu hao si Wakristo, wanaitwa waandishi wa mafarisayo ambao Yesu Kristo aliwaita WANAFIKI
Thamthing ndio nn ss 😭😁
Something
Duu!!
Wabahil hawa ndio maan wanawake zao hawatulii naoo lol😂😂😂😂😂
Kamuulize mkeo...kachepuka .mdangaji
Kachepuka vipi wakati walisha achana kitambo sana
Lakin Mimi sioni chaajabu mboso kuzaa nae sanab nyie wanaume nimalaya wakwanza duniani nawasaliti kwenye ndoa zenu
Ww nawe ongea kwani unamuogopa huyo mbosso?🙄
Walishana achana hao hata wakati huyo mke wake anazaa na mbosso yeye tayari walishana achana
Thamthing 🤣🤣🤣
kumbuka ulipotoka
Busara ipo
Ukubwa ndio huoo
Nani kaona mwanamke kavaa gauni jeupe..
Mimi
Yani we ni chizi nimecheka
Umejibu vizuri ila bado kuongea haupo vizuri kitete kidogo