VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ย. 2024
- TAZAMA MWANZO MWISHO VITUKO VYA DOTTO MAGARI AMVUNJA MBAVU HAJI MANARA NA NANDY WAKATI WAKIWA STUDIO WAKIANDAA NYIMBO
#manaratv #hajimanara #dottomagari #nandy #zaiylissa
Hadji miaka yako ni ya kua karibu na Mungu sana na kufanya ibada ila wewe kama umerudi utotoni
😂
Ww usharudi
Haji hana ukubwa wa kumzid babaako kuku we utashikwa tako
❤❤❤Roho ya mwanamme haizeeki Waacheni afurahishe roho zao❤❤❤Zay❤na Haji Manara ❤❤❤
Hiyo ni tabia za wanaume karibu wote,, mwanamme ni kama mtoto mdogo anapenda kudekeshwa❤❤❤
Na weewe zailisa tulia kwa kaka haji ufanye maishaa..mungu ni mwema atawasimamia
hahaha wakifka June hawah naamn watafka mbal maan
@@muhsiniamiri9310juni thubutuuu..
Wakutulia ni Haji mwenyewe na sio zai
Mimi nimeipenda tu nyimbo jamaniiiii,,NANDERAAAAA is One
Hii song itakuwa hiti kwahyo millions 50 itapatikana tuu
Mimi kweli nashangaa Haji haji haji wewe ni muislam juzi kati tu umetoka makka pia wewe ni mwanazuoni mzuri sana na mashekhe wengi wa darusalama sijui hawakuwaizi kuhusu AKHERA Yako hii DUNIA mwenyezi mungu anaona tunavyovifanya insha allah mwenyezi mungu atupe kauli thabiti
Nandy.....My Sridev ❤
Nandi unaimba mpaka unawakela watu. Mtoto unasauti balaaaa
Kukumbushana kupo, pls vipaji vipo vingi madras na huko unajiwekea 4 future tuendapo sote 🙏
I can't wait to hear this "The whole song"😂❤Hajj Manara juuuuu sanaaaa😂🎉😂🎉😂🎉
Zinaa inatumgiwa nanyimbo jamani pumzi zinatuhadaa kweli
Ka nyimbo kasweet jaman ❤️❤️❤️
Kula Maisha haji rushaina alikukosea nazani ni mungu ndio kaamuua kumnyoosha rushaina
Anajuta..kutoka kwa bugati😂😂😂
Huyu manara muislamu wa ajabu juwa mungu anakuona manara
Wewe ni muislam swafi...?
Kafiri uyu albinos
@@arthurdonnietello9691wewe mjinga
Unajua ukifa utaenda wapi kaka?? Relax kila mtu na maisha yake
Acha unafiki lofa wewe
Nimeipenda waoooooo
Nawapenda sana
Hio iitwe Manara Label ❤
Doto nakupenda jamani
Kupendwa Raha❤❤
Unamwanika mwanamke masuruali yamepasuliwa kifuwa kinaonekana eti mwislamu manara umefeli hapo
Queen Nandy, you are the best of the best. Great song
Lakini wabongo si ndiyo tunapenda Mambo haya??
Nandy she so happy 🥰🥰🥰💙💙💙💜
Song lamoto sana linatoka lini
Jamani doto kahaa😅
Hichi kizeee hakijitambuii hata kidogooo watu wanafanywaaa ujanani uzeeeni wanatubiaa yy uzeeeni ndio atapotokaaa subhana
Nipesa zake mwache 😂😂😂
Nimependa Doto ambavyo alikuwa akicheza.
😂
Dotto ndio kasema acha ajidai ndio uwai wake
Mandy unajua kuimba dada yangu mungu akutiee nguvu❤❤❤❤❤
Haji ndugu yangu ktk imani haji wewe umesoma dini mwanamke wako mbona kaa kikafiri
Dunia ya ibilisi sheitwan imeshamuingia kichwan kwake hawez kukuelewa
Napenda sana kubali sana Mimi nandy more
Nandy anajua saana
Haji manara jmn akiachana n mwanamke huyu anakua limbuken mm roho imeniuma kumuacha yule aliezaa nae mtt wa kiume * alimsifiaaa siku kajifungua yule dada sahv anazai usije lia ukiachwa had unarekod nyimbo kwa milio 50 dah😢
Hapa kuna mchongo tu
Nandi ameweza kweli kweli
Manara ikimbuke sikuyako yakufa ,achana na Dunia kwn nimapito wewe nimaiti mtarajiwa wakat wowot 😢
Hongera Manara
Huyu jamaa alipoachwa na mke wake wa pili alijifanya anazungumza dini, leo kampata mwingine amesahau dini. Dah binadamu kweli ni Mungu tu ndo anatuweza
Yalikua maneno ya mkosaji
After kuachana na mke wa pili ulitaka awe vipi labda?aende aishi makka asiowe tena!!ila walimwengu...😮
@@agwalubifaridah7079 kwani nani kasema asioe? Na hivyo anavyofanya ndo dini yake imemwelekeza ivo?
Nice nimependa
Haji nakuahidi huyo demu nitakupigia.. pesa ipo umri upo na hapa ipo #😂😂😂 niutani wa jadi tu yy yanga mm simba
Miziki ya kuungaunga. RIP Mbaraka mwinshehe and coleagues
Mi team Dotto
Bigapu Manara nyota unayo mushukuru MUNGU sana eyaeyae hoya Doto kweye midia we noma sana wapinzani wajipane miaka 10 mbele
Nandy anajua bana🎉
Nyimbo nzuri sana👏
Haji kidg nilikuchukulia kaka anayejiskia sana.lakin nimegundua u MTU wa tofauti.plz naomba kuwasiliana nawe.naitwa mwl mfinanga nippo kilimanjaro
Ila. Hii. Nyimbo. Inatuliwaza. Wengi
Ila doto ananikosha 😂😂😂
Manara nitafute nipo kenya nami nina kampan plz
Nandy unajua tena natena ♥️♥️
Dotto chawa mpyaaa chawa kawa kapata chawa
Muogope mungu manara haramu hizo
Kahalalisha hajakaa.nae.kimada.au kumzalisha.na.kukimbia.hiyo.ndio haramu 😂😂😂😂
Bonge la nyimbo
Doto unaweza kuliko machawa wote kuongea upo vizuri🤣🤣🤣🤣
Nani kaskia bugati akibanja na akameza 🤣🤣
Hahaha
😂😂😂😂😂😂 mimi hapa
Atakuwa anakula mafegi sana
We jau
Nandy kabana pua,subiri auto tune tu
Jamani mbona wanawake mnajiaibisha kuvaa nguo hazieleweki muogopeni mungu jrhanamu ipo
Milioni 50 na Kuna mtu Hana hata laki hapa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 huyo dotto
Anaona upuuz2 huy zai anajua kesho kutw mnachana nyimbo zann
uyoashakuwachawa wa twigs ama?
Twiga imepanda sana kwa style ile nyingi Manara lazima upange tofali au stool ili ufikie utamu ulipo
Hhhh we msenge tu hhhh
Kwahyo tuliozaliwa Ngwinde kosa letu nini sasa kaka Haji.🤔
Sridev ❤
Ila dotto aisee nimecheka kufa
Sheikh😢
SAVE THE DATE NA MILLION 50 NA HAPA IPO🔫🔫
Duuh watu wanaps ya mchzo mung uyuu aya
Na hapa IPO
Naisubir iyo Alhamis
Dotto yye hucheza ata bila beat cku zote.... interviews zake zote ata akiwa field yye hucheza kichwa ....😅
Unamjua uyu ww😂😂😂 muhm kacheza zake tu
Dotto unamotoooo
Uyo dotoo kumamamaaa msingi
Doto magari bn
Waislam weng wamekumbwa napepo laushetani
Hapo mganga Hana kesi ww mwenyewe ulimuamin🤣🤣🤣
Dotto kha jaman 😅😅😅
Doto kujidai muislam kumbe anapalilia zinaa
naitajinisikiye nyimbo yamillion 50 inaitwaje?
Huyu mzee atakufa vibaya nyie wanawake hawaa ayaa
Iyo kwapa ya zaylisa sasa😂😂nyeus atali
IITWE HM TOWN LABEL au HM LABEL
Akikuacha umtukie nyimbo
Kuna mwamba amekaa hapo cjuh anawaza nn?? 😂😂🙌
Mwishee apewe eshima yake ila wewe IQ yko ndogo uwezi kua Birrionea penda chakwenu acha fitnaa
najiuliza baada ya miezi mitatu hii nyimbo mutaipeleka wapi
Wasiweke tu Jina ili wimbo hutuhusu wote
😂😂😂😂
Dotto😁😁😁😁😁😁
Nandy mkali bana😂
Ikitokea mmoja kafa nini anaenda kumueleza mola wetu
Huyo mchumba mwenyewe kitumbo kama kashiba mbuzi
Nandy anajua kuliko zuchu
demu mwenywe vituko wallahi😢
Uyu naomba nimpe jinalake lakipekee anaitwa zay toll mtoto mrefu kweli kweli zay toll anastahili kuitwa zay toll
Nilidhani nmeona pekeang
Mtu lazima aibiwe
Jamni doti😂😂😂
Masikini roho zenu hamjui mtendalo
Congratulations nandy❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Haji nahtaji kuja kurekodi gospel..naomba mawasiliano niulize machache tu ..naitwa mfinanga exaud nipo moshi
Dotto 😆🤣😆🤣
Dotto is kill them Bro 😅😅
th-cam.com/video/g7jynxmQR0U/w-d-xo.htmlsi=Wq7oTKaPIgGdu19G
Kijembeee cha haki manara
😂😂😂😂😂😂😊😊