Dr. Chris Mauki: Ili uweze kupata usingizi mzuri, zingatia mambo haya manne
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2022
- Je unapata shida kupata usingizi na kulala vizuri usiku? Je unajua tatizo linaweza kuwa wapi? Nina jibu lako hapa, Zingatia mambo haya manne, utaweza kupata usingizi wa kutosha kabisa.
#DrChrisMauki#Usingizi#Mzuri
Thank you sir..Allah akujaalie afya njema akujaalie elimu zaidi na zaidi.
Asante sana doctor maana nilikuwa sipati usingizi kabisa ngoja nizingatie hivi vitu
Asant dr kwa somo zuri God bless you
Asante kwakweli wewe unafundisha safi sana
Asante sana doct
Aisee barikiwa sana
Asante daktari Chris kwa somo zuri sana
Asante Dr kwa SoMo zuri
Asante sana Dr. Kwa soma Nzur sana 🙏🙏🙏
Hiyo ni kweli mimi huwaa nikitaka kulala ni duwaaa tuuu mpaka naishia usingizini asante
Dr mauki
Shukran Dr Chris
Asante kwa somo zuri
Asante sana
Asante mtumish kwa somo zuri kiukwel nabarikiwa Sana na mafundisho yako
Naomba n kuulize kaka et mume asie kuonea wivu hata umuambie uko bar Hana wivu je anaupendo??
Shukraan kwakutuelimisha
Asante kwa kutuelimisha
Mimi kwangu ni changamoto sana
Yani dokta nashukur sana kwa somo zuri maana yote uliyoongea yananihusu itabidi niache ili niweze kulala usingizi mzuri yani silalagi kweli
Kweli kabisa 😂❤
Kulala saangapi??
Santeee
Asante Dr
Naisubiri hii kituu kwa hammm
Mimi tabia zangu zote izo
Kama nikienda kulala huwa nafikiria mambo mengi sana nifanyeje ili kuachananayo?
Mimi nakosa kabisa
Dr Nina tatizo la kutokupata usingizi
Shida kufikiria vitu au matukio vinakuja automatic ngumu kuvizuia wengine kulala vizuri hadi tunywe pombe kama sio kumeza piliton
Nikweli Mimi nikilal mawazo yanakuwa mengi sana na sijuiyanatoka wap
Kama Mimi my
Mim muhanga 😅 ngoja nifatilie
Nakuchezea simu ukiwa kitandani upo insta you tube Facebook hulali