MPINA 'AGEUKA MBOGO' MAHAKAMA KUU/ ATANGAZA KUTINGA MAHAKAMA YA RUFANI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 57

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Mungu awabariki sana ndugu kwa kuwatetea watanzania yetu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Mpina ameshinda mpaka hapo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    MPINA BABA usikate tamaa. Tunajuwa unatetea masikini. Wabunge wengi bungeni hawaelewi ama wana ogopa ku potęza ubunge wawo. History will judge you. Huchukuwi hatuwa hizi kwa manufaa yako na familia yako. Ndiyo maana umeungwa mukono na mawakili wengi. Wanaona nchi Ina elekea pabaya. Wana kisesa wako nyuma yako. Mwenyezi Mungu akubariki. WATANZANIA WANAONEWA SANA

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mpina tunakuombea haki tz haipo mungu akushindie

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpina Mungu akubariki songa mbele

  • @Burange666
    @Burange666 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kesi ya nyani jaji ngedere huwezi kushinda maana serikali hii inawatetea wezi

  • @dizzboss7526
    @dizzboss7526 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Brother MUNGU akubariki sina kingine zaidi ya kukuombea

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 58 นาทีที่ผ่านมา +1

    Umeshindwa kesi sababu kesi yako Haina mashiko/ na ushahidi. Poteza pesa kuwapa mawakili

  • @JOSEPHURUPIA
    @JOSEPHURUPIA 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    KWAHIYO BUNGE LIKISEMA WATU WOTE WAUWAWE, MAHAKAMA HAINA UWEZO WA KUIGILIA!.
    TZ KUNA MAMBO YA AJABU SANA😢

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ndo halijasema sasa

    • @ulomirabiel6980
      @ulomirabiel6980 11 นาทีที่ผ่านมา

      Ni nani atakuja ifanya mihimili hii iwe huru ili haki iweze kutendeka

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hee haujui tuu, yaani umewashitaki wanaosikiliza kesi tatizo hilo. Labda kama kuna njia nyingine.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Kesi kama hizi zinadhihirisha udhaifu wa katiba ya Tanzania. Mimi binafsi naami kuwa wanadamu wote hukosea wakati fulani kuwa rais ama spika hakumfanyi mtu kuwa maalumu.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +4

    Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mdogo wangu mpina hii ndo Tanzania. Kamata waiba kuku funga sana. Vigogo wateuliwa mhhhh

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 53 นาทีที่ผ่านมา +1

    Africa haitaendelea kamwe kama sheria zetu zinachaguwa. Haki ndiyo yenye kufanya nchi in aendelee.

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 21 นาทีที่ผ่านมา

    Big show

  • @Teddy-z4i
    @Teddy-z4i 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unajua hizi mahakama za kibongo kwakwer ni shida sanaaa akimu alisema huki hiyo inaitaji mda ili aandike ukumu iliosahh je sasa mda wote alishindwa nini kusema hana mamlaka ya kuinglia bunge yaan Tanzania hakuna cha haki

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hapo ndipo utajua ukisikia maneno yasemayo kukosa imani na mahakama!!!?!!!

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mbona hamutuonyeshi live kama Kenya?😮

  • @esifhordmunyugu4687
    @esifhordmunyugu4687 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Kesi ya ngendele huwezi pelekea nyani Alimalize

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Umesema kweli tupu, hii nchi Ina wenyewe, na wenyewe ndio wenye kuajiri watoa HAKI.

  • @matiredms917
    @matiredms917 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +5

    Mhe. Mpina una ujasiri mkubwa wa kutafuta haki lakini ukumbuke maneno ya Rostam Aziz juu ya AMRI KUTOKA JUU ktk kufikia maamuzi kwa Majaji wetu. Mpaka hapo Watanzania tutakapozinduka kutoka jinamizi la ujinga na kutambua umuhimu wa kupigania haki zetu za msingi kwa kuwaondoa watawala haramu ndiyo tuasema tuko huru. Kwa sasa basi sahau.

  • @rahimsadru-ct4ot
    @rahimsadru-ct4ot 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mahakama ndo chombo cha MWISHO cha utoaj Haki,,,kw maamuzi hayo Ni Kua mahakama sio chombo cha MWISHO cha utoaj Haki ,,na mahakama Ni ndogo kw bunge

  • @SalumKombo-sf5gs
    @SalumKombo-sf5gs ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tatizo ni katiba jaji anapokea maelekezo papana kiongozi muinyoshe nnchi polepole

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpina najua umesoma, nafasi haichukuliwi ukiwa unazungumza Natumia nafasi hii bc sio kuchukua

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Aibu tu mpina.ajielewi

    • @matiredms917
      @matiredms917 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      @@fidelismwakanyamale6787 Unajua fika wewe ndiye hujielewi ama kwa kuwa wewe sio mjinga tu bali ni mpumbavu kwa kuwa CHAWA wa Mama.

    • @Teddy-z4i
      @Teddy-z4i 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mpina ana akili nyng kuliko wazaz wako ww unasema hajitambuwiiii

    • @NDEWARA
      @NDEWARA ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Mpina hajitambuiiii😂😂ngoja mawakili watafune pesa zake

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Maana Hawa munawashitaki wanakinga ya madaraka hata nyie ccm ambao hamna vyeo mutakuwa munaonewa chadema wanapo dai katiba mpya sio ubaya

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Mahakama ni ya wale ambao wamewaweka majaji kazini, kwa mawazo ya kawaida tu utegemee kuwepo na uamuzi gani wa HAKI???????????, Achana na hayo, kesi hiyo itaenda mpaka 2030

  • @bundalamashimi3042
    @bundalamashimi3042 19 นาทีที่ผ่านมา

    Kulingana na hukumu hii kuwa mhimili wa mahakama hauna mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mhimili wa bunge ina maana kuwa watanzania hawana uwezo wa kupata haki wakionewa na bunge kwa sababu mahakama imejivua uwezo wa kutoa haki ya wanao onewa na bunge.

  • @muhasatv9245
    @muhasatv9245 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpina bhana

  • @mangiclaus
    @mangiclaus ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kama mahakama haina nguvu juu ya muimili wa bunge ni ajabu watawezaje kuwa na nguvu juu ya serekali

  • @owenbonfance
    @owenbonfance 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    mwarobain wa haya yote ni katiba bila ivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa

  • @godwineliya4686
    @godwineliya4686 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hiyo Mahakama Inashidwaje kutoa Haki Maana ya Mahakama ni nn ?

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kuna watu wachache wameiteka Tanzania. Tanzania imekuwa kama mali yawo binafsi. Tanzania ya Mwalimu Nyerere ya watu wote Sawa si Tanzania ya leo. Tanzania ya leo ni ya mapepari wachache wanao jitajirisha bila ya kuwa na viwanda. Mungu tusaidie hatujuwi nchi inaelekea wapi. Bunge limeshindwa kutusaidia. Wabunge wetu duni kwa woga. Ni Kukubali tu ndiyo tunaunga hoja. Tunategemea MAHAKAMA. Mahakama zetu hazina uwezo. Wabunge hawana sauti, wengi wamo bungeni bila ya kuchaguliwa. Upinzani viongozi hakuna kitu. Je watanzania ni nani atatukombowa? Afande Katuma watu kubaka hata mahakani kakataa kutokea. Hakuna wa kumugusa. Raisi wetu anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria, je ni kweli? . Tanzania gani hii isiokuwa na haki?

  • @supa7077
    @supa7077 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Huyu hana kazi sijui. Sukari imeanza tena kuadimika na kupanda bei ..ana watetea wenye viwanda vya ndani waakati bei inawaumiza wananchi. Analipwq na wenye viwanda.

    • @trueprophet7627
      @trueprophet7627 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      akili si kuwa na fuvu tu bali kufuatilia jambo kwa undani

    • @matiredms917
      @matiredms917 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ndugu yangu Super bei ya sukari inapangwa na Serikali na siyo na wenye Viwanda vya sukari. Hakika unawaonea.Waziri wa Kilimo Bwana Bashe ndiyo alitoa kibali cha watu ambao hawana uwezo wala ujuzi wa mambo ya sukari kuagiza sukari toka nje ya nchi. Tuwe na hekima ya kutoshabikia masuala ambayo hatuna ufahamu wake.

    • @supa7077
      @supa7077 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@trueprophet7627 kwahiyo ww unajiona una akili sana?hahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @trueprophet7627
      @trueprophet7627 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@matiredms917 chukulia kwamba unajua kwa mtazamo wako

    • @supa7077
      @supa7077 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@matiredms917 hapana kaka. Hawa wenye viwanda hawafuati bei elekezi za sukari. Niamini mimi. Lakini pia imeanza kuadimika mitaani

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sikio

  • @emanuelsichone8027
    @emanuelsichone8027 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Supa Huna akili kichaawewe mpina anawatetea we unaweka ushabiki

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Jamaa amekosa kazi, baada ya kupigwa pini kuingia Bungeni.

    • @csato9415
      @csato9415 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

      Hizi 🧠🧠 hasa kwa vijana zinafanya nchi yetu ibaki kwenye utawala dhalimu wa CCM.

    • @Paulo-e4c
      @Paulo-e4c 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Pamoja nakutoka bungeni lakini anavuma kisiasa siasa ni popote

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Kosa wameliona lipo lakin mahakama inaliogopa bunge ,kweli katba mpya ni lazima

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Wewe Mpina wacha Ujinga wewe huna hoja yoyote unataka kutrendi tu mitandaoni

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hapa ndipo watanzania uwepo wa katiba mpya unahitajika