Mch Moses Magembe - KUPITIA KITABU CHA MATHAYO | IBADA YA JUMATANO JIONI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Ibada ya Jumatano jioni katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG Majumbasita - Ilala Dar es salaam, chini Mch Moses Magembe.
SOMO: KUPITIA KITABU CHA MATHAYO
Andiko: MATHAYO 16:18
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 06.02.2024
Mchungaji wa kwanza tanzania ninae mkubali ana zungumzia uhalisia wa mambo sio kama awa wengine wamchonga amina mpendwa
Ubarikiwe sana mchungaji
Genius Man of Living God
Amen
Tunafuatilia mafundisho mazuri sana
Amina baba Mungu akuongezee nguvu,tunaomba kudinlod
ubarikiwe mtumishi mm nafuatilia mahubir yako mda mwingi sana
Amina, ubarikiwe sana Baba.
Tunakuekewa vizuri sana Mungu akupenguvu
Amen baba
Nasikiza toka kenya
Thanks Rev it's now clear so much blessings ❤
❤❤❤❤Amina
Mungu akubariki sana kwa mafundisho yako mazuri
Raha sana kusikiliza
Nice
Baba ubarikiwe kwa mafunuo mangumu unayo funua kwa upana sana.
Aameni
Balikiwasana
mimi napenda mzee anavyoelezea sasa anasomea vitabu vipi mm napenda kujua context ya kila andiko dah.
Yani wakristo tungektakiwa kuenenda au kujifunza namna hii ujinga ujinga mwingine usingekuwepo kabisaaa maana tungeelewa
Hakika hapo wapendwa wapo Bible study. Nafuatilia
Ubarikiwe pastor wangu