Hongera sana ndugu yangu na Mungu azidi kukupa akili zahidi yakuhonyesha watu nyumbani nili watu wapate kuwa nakumbukumbu y’a nyumbani kwetu. Ubarikiwe sana
Merci sana. Nakuomba usikose ku subscribe channel yetu MMUNGA ML TV ili uwe wakwanza kupata videos zetu pindi tutakapo post zingine hata unaweza tumia na wenzako nao ili wapate kuona nao. Asante.
Aseme port.. hii ndo wewe unaita Port?? Kweli akili yako haina akili. Hiivi wee unajua port? Babembe mujifunze kukosoa vitu vyenu,kwamba viko nyuma ya maendeleo. Ili mupate solution ya kurekebisha. Sio kila kitu munasifia tuu ata kikikua ni kibaya. Munasifia tuu kwakua ni kya ubembeni.. hamna port hapo.
Maisha nikutafuta na sikutafutana. Tafuta yako nami niache na yakwangu. Wabembe wa mefanya nini? Ukianza kutukana wabembe na aliye ( anaye ) sema hivyo ni mimi, kwanini utukane wa BEMBE ? Luga yako umeitumia kimakosa kwa ndugu zangu wabembe wengine bure wengine bure. ( Mimi nimeisha elewa tayari naongea na mtu gani tayari. Lakini nata nikujulishe kuwa PORT unayo hona hapo ni PORT MZURI SANA TENA SANA, ila kunakitu naona unashindwa kutofautisha ni kujengwa na kuto kujengwa. Hiyo port ina KOSA KUJENGWA. Na ndicho kitu unacho shindwa kuelewa hadi kufikia kusema hivyo na kutusi Wabembe bure. NB: Tambuwa @CHANNEL YETU SIO YA KISIASA WALA MALUMBANO ( MATUSI ) hapana. Asante.
Kuliko muikaa chini, afu mutafakari tatizo ni nini ile mupate solution ya kuleta maendeleo Ubembeni, ila nyie munaikalia kujidanganya wenyewe eti kwenu pazuri… angalieni nchi za watu na region zingine hapao congo zinazoendelea kimaendeleo.
Good
👍👍👍👍
Ubarikiwe sana ndugu yangu kwa vidéo za nyumbani msaahu kwao ni mtumwa
Excellent.
Nice place.
Hongera sana kwa video zako bro
Kazimia mbele kwa mbele
Vidéo nzuri sana
Share
@@MmungaMLTV Kaka huo wimbo unaoitwa Jina la Yesu upo TH-cam aidha mtu anaweza kuupata je
@@jeannesumaili8718 ndiyo.
Andika jina la yesu.
Nice
Port nzuri sana kabisa.
Excellent
Well done
Wow 👏
Hongera sana ndugu yangu na Mungu azidi kukupa akili zahidi yakuhonyesha watu nyumbani nili watu wapate kuwa nakumbukumbu y’a nyumbani kwetu. Ubarikiwe sana
Asante sana. Na unaweza watumia wengine ili wapate kuona kwao pia.
Niceee
Nakuomba usikose ku subscribe channel yangu MMUNGA ML tafadhali ili uwe wakwanza kupata videos zangu kila ninapo post videos mupya.
Kweli ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Pongezi sana kwa kutuonesha nyumbani fizi zidi sana kaka kutupa vipya kila Mara kaka mungu akubariki
Merci sana.
Nakuomba usikose ku subscribe channel yetu MMUNGA ML TV ili uwe wakwanza kupata videos zetu pindi tutakapo post zingine hata unaweza tumia na wenzako nao ili wapate kuona nao. Asante.
Good job
Naipenda kweli.
❤️❤️
pazuri kweli
Vizuri sana
Kwetu pazuri Kweli
Kuna uzuri gani hapo 😂
Home
Nyumbani napaona,acha nitowe mauwa yake kazimia yetu
Aseme port.. hii ndo wewe unaita Port?? Kweli akili yako haina akili.
Hiivi wee unajua port?
Babembe mujifunze kukosoa vitu vyenu,kwamba viko nyuma ya maendeleo. Ili mupate solution ya kurekebisha.
Sio kila kitu munasifia tuu ata kikikua ni kibaya. Munasifia tuu kwakua ni kya ubembeni.. hamna port hapo.
Maisha nikutafuta na
sikutafutana.
Tafuta yako nami niache na yakwangu.
Wabembe wa mefanya nini? Ukianza kutukana wabembe na aliye ( anaye ) sema hivyo ni mimi, kwanini utukane wa BEMBE ? Luga yako umeitumia kimakosa kwa ndugu zangu wabembe wengine bure wengine bure. ( Mimi nimeisha elewa tayari naongea na mtu gani tayari. Lakini nata nikujulishe kuwa PORT unayo hona hapo ni PORT MZURI SANA TENA SANA, ila kunakitu naona unashindwa kutofautisha ni kujengwa na kuto kujengwa. Hiyo port ina KOSA KUJENGWA.
Na ndicho kitu unacho shindwa kuelewa hadi kufikia kusema hivyo na kutusi Wabembe bure. NB: Tambuwa
@CHANNEL YETU SIO YA KISIASA WALA MALUMBANO ( MATUSI ) hapana.
Asante.
@@MmungaMLTV hakuna port hapo.. unajidanganya wewe na wenzko
Kuliko muikaa chini, afu mutafakari tatizo ni nini ile mupate solution ya kuleta maendeleo Ubembeni, ila nyie munaikalia kujidanganya wenyewe eti kwenu pazuri… angalieni nchi za watu na region zingine hapao congo zinazoendelea kimaendeleo.
Excellent.
Excellent
Nice
Excellent