WAMILIKI WA MABASI DAR - DODOMA WATOWA KILIO CHAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 9

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 หลายเดือนก่อน +4

    YAN HUJUMA ZIKITOKEA KWENYE SGR MTATUELEZA ASEE MBONA HII NCHI N KUBWA KUNAMAENEO KIBAO HAYANA USAFIR PELEKEN MABAS HUKO MUWE MNAFIKIRIA NJE YA BOX

  • @brianambuyo9867
    @brianambuyo9867 หลายเดือนก่อน

    Time to consider cross-border routes and to venture into new local routes

  • @karyori69
    @karyori69 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni ujinga mnapaswa kuanzisha safari kuanzia Dodoma! Pia routes nyingine Kigoma na Southern Highlands! International routes pia! msitafute visababu!

  • @maranduleshira3727
    @maranduleshira3727 หลายเดือนก่อน

    Wanaendesha kampuni za serikali kabla ya kupata faida wameshaanza matumizi makubwa.ndio maana biashara za serikali zinakufa.

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 หลายเดือนก่อน

    Njia rahisi kushindana ni kupunguza nauli mabasi.

  • @mgololarwebangira6905
    @mgololarwebangira6905 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo mnatakaje?? Si mbadilishe route

  • @casmirnkombe424
    @casmirnkombe424 หลายเดือนก่อน

    wasituingilie,, kwanza abood alikua nanazoea yakutuletea mabas mabivu mbeya

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ หลายเดือนก่อน

    Uzeni mabasi mnunue vifaa vya kisasa vya kilimo, limeni ngano hivi tutaagiza Ukraine na Russia hadi lini je hamuoni kama ni fursa? Msikariri huo ndio ujasiliamali

  • @valerianrwebandiza754
    @valerianrwebandiza754 หลายเดือนก่อน

    Naamini hakutakuwa na hujuma kwa train!