Labda Uncle wako ila Sio yule mwenda Zake na ndie mwasisi wa Bomobomo Kwenye Uraisi wake Kuna Mtu aliyeumiza watu Kwa bomoabomoa kama Yeye..Afya ya Akili I atesa wabongo wengi Sanaa..Alafu ye Mzee sijui aliwalishaga Mdudu Gani wa Tz waliowengi aliwapumbaza Akili Sana Basiii..
@@froma3732 MBONA mnasikia UCHUNGU semeni Sasa kama katulipa ili tumsemee kama mlivyokua mnamsema Ana jaza watu kwasababu kawaleta NA malori nawakati wema wake TU ndio ulikua unaita watu THAMANI YA MAGUFULI WATU WA HAKI WOTE WAMAKABIRA YOTE WANAIJUA
Hiiiii sio sawa hata kidogooo kama hairuhusiwiii kujenga maeneo hayooo ilikuwaje akapewa vibaliii ili ajengee leo kashajengaaa mnambomoleaa Daaaàh inaumaaa sanaaa kwakweliiii
Mara nyingi wa Tz Sehemu nyingi inatakiwa Kupewa Kibali ila Asilimia nyingi wapuuziaji Hawaendi wanajijengea tu yakiwakuta wanze kulialia ila Maelezo ya Viongozi Hao Kama walishapewa Tahadhari ni Ujinga wao Hao Wananchi na Anae Ona wameonewa atakuwa na Matatizo ya Afya ya Akili laa sivyo Mihemko kajikuta Ka comment hajasikiliza clip Hadi Mwisho..SHERIA NI KWAMBA Kabla Hujajenga ni Lazima upate Kibali mamla husika wengi hawaendagi Maana wanajua pia hairuhusiwi ni Viburi tu Maana Arshi Hawawezi kipa Kibali ukajenge pasipo Takiwa....
Nyumba 1200, kwani zulijengwa usiku na asubuhi serikali ikaona'siwao wanaona ujenzi kwanini wasijue kabla? Na pia huwezi kuchukua aridhi bila serikali ya kijiji au mtaa kuhusika, wao ndo wauzaji wa ardhi na ma wakala namadalali wa kuuza ardhi
Magufuli ndio kabisa maendeleo yanaghalama kama ulijenga bila idhini na eneo si rasmi we Italian tuu ndio maana ukitaka kununua eneo nenda ardhi kahakiki kiwanja unachonunua
Hii nchi hii dah yan mpaka nimelia me ni bint wa miaka 23 nimejenga, kwa hatua niliyofikia sahiv karib namaliza halafu mtu aje kunibomolea?????na nimejichanga mwenyewe kwa jasho langu mtu anasambaratisha aisee uchungu ninaoskia kama nimebomolewa mm na mungu aliepushe hili lisinitokee wallah
Mungu ndo katuwekea nchi hii lakin mnajimilikisha sawa mungu atatupigania Leo mama mboga kachanga mia mia zake na kujenga nyumba leo mnabomoa ee mungu tusaidie Hawa mambwa wa tanzania watuache coz nass tunahaki yakuishi
Kwani watu wanapo anza kujenga mamlaka husika hua zipo wp mpk ifike huku hii nchi haina mipango ya muda mrefu mipango yake ni ya kukurupuka tu ndio chanzo cha yote haya
Safiii Sana aendeleee kubomowa kusudi akili ije mnapewa kanga na vitambaa tishert wali 2025 mjitambuwe wangekuwa wanapima viwanja na kugawa hayo you yasinge tokea
Umeona eee, hawajifunzi, tokakupata uhuru,kuna mlalahoi kaishi kwa furaha ktk Nchi yake hii TZ?wanao faidi nakuishi vizuri ni hao viongozi mnao wachagua, mnawachagua ili mkawape wao maisha waishi wao kwa raha,kuna haja gani kuchagua viongozi?wao ndio watoa vibali vya kujenga wao pia ndo wauza aridhi nawao wao ndo wakuja kubomoa
Ukisikia mtu anakuwa kichaa ndy huku sasa we nishuhudie nyumba yng inavunjwa km hivyo nahisi ningeanza kuvua nguo hapo hapo nakukimbia uchi eeh Mungu wape moyo waliokutwa na haya matatizo roho ina uma sana mtu umejinyima miaka tele ili upate pakujistiri leo unakutwa na haya aah Mungu tusaidie yasifike kwetu
@@karasuyazidi8547 Unaijua Serikali ww kaone yule wa Zanzibar nyaraka zote anazo na hati ya ujenzi kapewa kwann azuiliwe akiwa kashajenga yaani mtu unanunua unajiridhisha na unafata sheria lkn miaka mbele wastukia ooh eneo hili sio wakati mnauziwa na wenyekiti wa Serikali za mtaa ndy watoa ushahidi wa hati na maandishi juu wao hawajui km hilo eneo sio hd wakubali kutia saini?
Mama samia lisimamie hili usipofanya hivyo nawewe ni kiongozi mkuu utaulizwa kutonakana uliowaongoza siku ya qiama haipo mbali utajibu nini?😭😭😭😦😭😭😭 hemu watizameni hao masikini wanyonge wamejenga kwa tabu hasbiyallahu waneemalwakeel
Naona watu wanasema R.I.P Magufuli musimtie dosari huyo mzee wa watu huko aliko Mungu amrehemu ....... Nadhani kama mnakumbuka alipokuwa waziri wa ujenzi bungeni akihojiwa kuhusu watu kubomolewa nyumba zao kwenye hifadhi ya barabara bila fidia alichokisema wacheni unafiki wenu sheria ni msumeno kama wamejenga ndani ya hifadhi wacha sheria ichukue mkondo wake
Poleni ndugu zetu, lakini watanzania hatuchukui vibali vya Ujenzi tunapotaka kujenga, hiko kitu kimeshawahi kunigarimu,siwezi jenga nyumba bila kibali cha ujenzi. Kama eneo lina shida huwezi pata kibali cha kujenga
Hii kitu uisikie kwa mwenzio wallah Allah atuhid waja wake poleni ndugu zetu Tanzania ndo inch ya viongozi wa ovyo imeshindwa kuratibu toka zamani mipango miji ujenzi kiholela sasa ivi wanatesa wananchi
Ila ww Samia na serekali Yako mungu akulani katika maisha Yako Yan mwananchi anahangaika anajenga kwa xhida af unaruhusu watu wabomolewe nyumba!! Unafkri wameend kubomoa wenyewe bila ww kuwa2ma!! R,I,p magu !! Yan 2024/2025 mbichi au mbivu!! Bora hata vita vipigane Samia aondolewe!!
@@maryamaliy8509 Haaahaaaa..Nakwambia wabongo Sisi Akili Zetu zinashida Huwa hatukumbuki Kabisa hayo..Na sijui yule Mzee aliweka nini Kwenye Akili za wabongo Maana wamekuwa kama Mazuzu..Yaanii Hii copy na kupaste tu i
Mmmh..!Kuna Mtu Alie haribia watu Maisha Kwa Bomoabomoa kama Huyo Mtu..?Tena kama Hujui heri unyamaze. Ndie kinars wa Bomobomo Kwenye Hii Nchii..Yaani Hiyo ni Copy na Past Alafu wakati Mwingine wa Bongo tunadharau na kipuuzia Vitu Sana mmtu annambiwa Hapa usijenge anajenga akija kubomolewa mnalalamika Bahati Mbaya Mkuu Hapo Kasema Kila Kitu Sasa mncholalamika Nini Maelezo yanajitosheleza..
Hii inch jamani!!!! Kuna mapori mengi hayana kazi yeyote SI mwende huko? Km kweli serikali inafuatilia maelekezo ya viongozi mbona panya rod wanatamba Kila kukicha hakuna udhibiti wowote? Dah!!! Sema Sana omba yasikukute
Yaaaaaani Sijui HAMUMUONAGI huyu MR ABOOD,yaaani Toka nasoma morogoro yeye ni mtu wa kusawazisha mambooo,Mtu wahurumaa,Mpeni kama ikimpendeza MAlkIA jamani awe huyu ni solver's (solving nashindwa niandikeje kiingereza kama kimehamaa🏃🏃❤️
Wananchi ni wabishi, nilishashuhudia mtu anajenga juu ya bomba la dawasco, akiambiwa anssema kifo cha wengi ni harusi. Tujichunge. Kulia sio sababu wamekiuka.
Serekali imekua ya kichoko bora tupigane tu tuheshimiane viongoz wanajijali wao mbwa hawa wanaona dunia yakwaoo , , , k sana hawa , , wakati raiya wanajenga mnawaangalia mnasubir wamalize mje mbomoe wasengee wakubwa
binadamu, tathmini ilifanyika na serikali kutoa katazo la kujenga. Watu wengine kwa kujua na wengine kwa kutokujua wakaendelea na ujenzi. Tatizo lipo kwenye uwajibikaji wa viongozi wa chini: wenyeviti, watendaji, diwani, maofisa wa mipango miji kwenye Halmashauri. Haiwezekani watu wajenge wakati kuna zuio na viongozi wapo tu wanaangalia.
mie Hua najiuliza kuna Viongozi wa kijiji.wa mtaa na wengine kwanini mnawaacha wanyonge wanajenga mnawaekea umeme mnawaekea maji kisha mnarudi kwabomolea
Sisi atuna viongozi ila tuna wata wara yani mabeber meusi uma Sana yan kama utu Hawana bac Ata busara pia wame kosa situna tafuta pesa kwa shida sana wao Wana ishi maisha Mazur kupitia kodi zetu pamoja na rasilimali za mnchi emungu wasaidie wanganga wote na utujalie tuje kupata viongozi wanao kuku tambuwa na kuku ogopa
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua. When the righteous are in authority, the people rejoice: but when the wicked beareth rule, the people mourn.
Ewe unaezulumu unatambua yakwamba Dua ya unaemzulumu Huwa haipingiki? Macho Yako yanalala lakini uliemzulumu anakesha usiku kulia na kumshtakia aliumba mbingu na ardhi na akauumba ww ambae Leo unakiburi na kuwazulumu wanyonge? Allah walipie waja wako
Kama anayosema Kiongozi Hapo ni ya kweli Tuacheni Mihemko na Hao Wananchi wamezingua wenyewe na Bahati Mbaya ndiovyo ilivyo Kwa Wabongo walio wengi Hii Nchii tu nadharau Alafu yakitukuta tulaumu..
Huyu mwanamke wa wapi mshenzi kama hajabeba viumbe miezi tisa tumboni sasa wanawavunjia kisha wanachukua matofali watoto wataenda wapi km watoto wao wanafanyiwa ivi wangejickiaje kufanyiwa hivi serikali muwe na huruma hawa hawa wananchi ndo munaenda kuwaomba kura ili mushibe na familia zenu wakisha wapa kura ndo malipo haya jamani muwe na huruma sisi wazazi na dunia mapito tuu
R.I.P uncle magu forever ur ar ma president. Eternity one love ma Rais wangu unae ishi moyoni🇹🇿
Acha umbea kwani maendeleo yeyeto lazima wengine waumie kwani walipimiwa kama kulipimwa watalipwa la walivamia basi wajue malipo hakuna
Musijifanye ati kumsifiaa Maguu hata yeye alivunja nyumba nagapi
Labda Uncle wako ila Sio yule mwenda Zake na ndie mwasisi wa Bomobomo Kwenye Uraisi wake Kuna Mtu aliyeumiza watu Kwa bomoabomoa kama Yeye..Afya ya Akili I atesa wabongo wengi Sanaa..Alafu ye Mzee sijui aliwalishaga Mdudu Gani wa Tz waliowengi aliwapumbaza Akili Sana Basiii..
@@Chanell32 lamda ulifanya haram sio halari yyte aliye upande wa haram hapendi magufuli NA MUNGU PIA
@@froma3732 MBONA mnasikia UCHUNGU semeni Sasa kama katulipa ili tumsemee kama mlivyokua mnamsema Ana jaza watu kwasababu kawaleta NA malori nawakati wema wake TU ndio ulikua unaita watu THAMANI YA MAGUFULI WATU WA HAKI WOTE WAMAKABIRA YOTE WANAIJUA
"2025 Tena Kwa kishindo..." Alisikika mtanzania mmoja aliyeshinda njaa na kukosa dira ya maisha...
Kazi iendelee 😫
Hii ndio tafsiri yaneno kuupiga mwingi.... Kazii iendelee I love Tanzania
Kwa serikali hii ya Samia Kazi tunayo Wana nchii
Magu kavunja zaidi, ulisema?
Mungu anawaona maisha yalivyo magumu unapataje ujasir wa kubomoa
Mwenyezi mungu tuhumiye haya machozi yawananchi hayatakwenda bure mungu atasimaa Katikati yao
poleni saana morogoro nimeumia kama vile mimi ndyo nimefanyiwa 😭😭😭😭
Mungu 🙏 🙏 yupo ndungu zangu watanzania
Yani tatizo la tz wakati wananchi wanajenga serikali huwa ikowapi? sehemu zilisha jaa leo mnavunja hakiikowapi? Poleni sana wanaichi
Hiiiii sio sawa hata kidogooo kama hairuhusiwiii kujenga maeneo hayooo ilikuwaje akapewa vibaliii ili ajengee leo kashajengaaa mnambomoleaa Daaaàh inaumaaa sanaaa kwakweliiii
Mara nyingi hawapewi vibali wanajenga tuu
Mara nyingi wa Tz Sehemu nyingi inatakiwa Kupewa Kibali ila Asilimia nyingi wapuuziaji Hawaendi wanajijengea tu yakiwakuta wanze kulialia ila Maelezo ya Viongozi Hao Kama walishapewa Tahadhari ni Ujinga wao Hao Wananchi na Anae Ona wameonewa atakuwa na Matatizo ya Afya ya Akili laa sivyo Mihemko kajikuta Ka comment hajasikiliza clip Hadi Mwisho..SHERIA NI KWAMBA Kabla Hujajenga ni Lazima upate Kibali mamla husika wengi hawaendagi Maana wanajua pia hairuhusiwi ni Viburi tu Maana Arshi Hawawezi kipa Kibali ukajenge pasipo Takiwa....
Nyumba 1200, kwani zulijengwa usiku na asubuhi serikali ikaona'siwao wanaona ujenzi kwanini wasijue kabla? Na pia huwezi kuchukua aridhi bila serikali ya kijiji au mtaa kuhusika, wao ndo wauzaji wa ardhi na ma wakala namadalali wa kuuza ardhi
Yaani serikali ya mtaa hamna kitu wachumia tumboni
😭😭😭😭mungu hivi kwel ulimchukuwa magufuli kwa nini watu wanateseka hivi dah mungu wasaidie
😭😭😭😭 uchungu wa hiyo pesa waliopoteza hapo, Yarabb, Yarabb. Eee Mwenyezi Mungu.
Tanzania tokea afe Magufuli viongozi wote Wamelaaniwa kabisa
Sio kil kitu magufuli iyo magufuli kawavunjia watu wangap au umesahau
💯I agree 🌷
Magufuli ndio kabisa maendeleo yanaghalama kama ulijenga bila idhini na eneo si rasmi we Italian tuu ndio maana ukitaka kununua eneo nenda ardhi kahakiki kiwanja unachonunua
Wewe mwendawazimu!!Nani ameasisi bomoabomoa?
Kabisa mtamkumbuka Sana siwangepewa MDA jamani
Hii nchi hii dah yan mpaka nimelia me ni bint wa miaka 23 nimejenga, kwa hatua niliyofikia sahiv karib namaliza halafu mtu aje kunibomolea?????na nimejichanga mwenyewe kwa jasho langu mtu anasambaratisha aisee uchungu ninaoskia kama nimebomolewa mm na mungu aliepushe hili lisinitokee wallah
Mungu ndo katuwekea nchi hii lakin mnajimilikisha sawa mungu atatupigania
Leo mama mboga kachanga mia mia zake na kujenga nyumba leo mnabomoa ee mungu tusaidie
Hawa mambwa wa tanzania watuache coz nass tunahaki yakuishi
Sasa hivi mtu akijenga anachukua kibali"je hawa hamkuwapa vibali? Na Kama mliwapa ni kwa nini mliwapa?
Kwani watu wanapo anza kujenga mamlaka husika hua zipo wp mpk ifike huku hii nchi haina mipango ya muda mrefu mipango yake ni ya kukurupuka tu ndio chanzo cha yote haya
Mamlaka ziko nyingi ofis ya kibali ukienda wao wanataka pesa,hawajui kiwanja ni choko au vip
Mwisho wa hii Tanzania ni mbaya sana
Ipo siku watatumia siraha zao zote zitaisha na tutakua tayari kufa
Peke yako siio wote,
MUNGU hataiacha Tanzania fanyeni mnavotaka Ila ipo siku moja tu mtaamini kuwa Mungu anaipenda Tz...
Duuuh hayaa maishaa Mungu wetu woteeee jmn 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Tukiwambia ijaribuni chadema hata miaka mitano hamuelewi nabado
Pengine huenda alipojenga sio sahihi
Inauma Sana jamani viongozi muwahurumie wananchi maisha magumu mnawavunjia nyumba zao dah nchi hii noma sana
Kweli jamani
Mmmh hii nchi hii Mungu atusaidie
Tatizo mnaiba tofari
Safiii Sana aendeleee kubomowa kusudi akili ije mnapewa kanga na vitambaa tishert wali 2025 mjitambuwe wangekuwa wanapima viwanja na kugawa hayo you yasinge tokea
Umeona eee, hawajifunzi, tokakupata uhuru,kuna mlalahoi kaishi kwa furaha ktk Nchi yake hii TZ?wanao faidi nakuishi vizuri ni hao viongozi mnao wachagua, mnawachagua ili mkawape wao maisha waishi wao kwa raha,kuna haja gani kuchagua viongozi?wao ndio watoa vibali vya kujenga wao pia ndo wauza aridhi nawao wao ndo wakuja kubomoa
Ukisikia mtu anakuwa kichaa ndy huku sasa we nishuhudie nyumba yng inavunjwa km hivyo nahisi ningeanza kuvua nguo hapo hapo nakukimbia uchi eeh Mungu wape moyo waliokutwa na haya matatizo roho ina uma sana mtu umejinyima miaka tele ili upate pakujistiri leo unakutwa na haya aah Mungu tusaidie yasifike kwetu
Je kipindi unanunua kiwanja ukifuata sheria kweli maana asilimia kubwa watz tunapenda shoti Kati
@@karasuyazidi8547 Unaijua Serikali ww kaone yule wa Zanzibar nyaraka zote anazo na hati ya ujenzi kapewa kwann azuiliwe akiwa kashajenga yaani mtu unanunua unajiridhisha na unafata sheria lkn miaka mbele wastukia ooh eneo hili sio wakati mnauziwa na wenyekiti wa Serikali za mtaa ndy watoa ushahidi wa hati na maandishi juu wao hawajui km hilo eneo sio hd wakubali kutia saini?
Mama samia lisimamie hili usipofanya hivyo nawewe ni kiongozi mkuu utaulizwa kutonakana uliowaongoza siku ya qiama haipo mbali utajibu nini?😭😭😭😦😭😭😭 hemu watizameni hao masikini wanyonge wamejenga kwa tabu hasbiyallahu waneemalwakeel
Naona watu wanasema R.I.P Magufuli musimtie dosari huyo mzee wa watu huko aliko Mungu amrehemu .......
Nadhani kama mnakumbuka alipokuwa waziri wa ujenzi bungeni akihojiwa kuhusu watu kubomolewa nyumba zao kwenye hifadhi ya barabara bila fidia alichokisema wacheni unafiki wenu sheria ni msumeno kama wamejenga ndani ya hifadhi wacha sheria ichukue mkondo wake
Poleni ndugu zetu, lakini watanzania hatuchukui vibali vya Ujenzi tunapotaka kujenga, hiko kitu kimeshawahi kunigarimu,siwezi jenga nyumba bila kibali cha ujenzi. Kama eneo lina shida huwezi pata kibali cha kujenga
Hii kitu uisikie kwa mwenzio wallah Allah atuhid waja wake poleni ndugu zetu Tanzania ndo inch ya viongozi wa ovyo imeshindwa kuratibu toka zamani mipango miji ujenzi kiholela sasa ivi wanatesa wananchi
Mkundi ndio sehem ambayo ilikuwA na speed kiuchumi daah serikali hiii poleni sana ndugu zetu Mungu atawalipia soon
Mwanamke mwenzenu Tanzania Bado sana
Hivi wakati watu wanajenga hadi kufikia hatua hiyo nyinyi maafisa ardhi mnakuwaga wapi?
Mungu yupo pamoja na wahanga hila hiyo arizi mnayotaka kuzulumu wananchi na hasara mnayowatia hipo siku hitawalilia !
dahh imenisktisha sana kuna leo na kesho kwa mungu kuna moto
Ila ww Samia na serekali Yako mungu akulani katika maisha Yako Yan mwananchi anahangaika anajenga kwa xhida af unaruhusu watu wabomolewe nyumba!! Unafkri wameend kubomoa wenyewe bila ww kuwa2ma!! R,I,p magu !! Yan 2024/2025 mbichi au mbivu!! Bora hata vita vipigane Samia aondolewe!!
Magufuli mshasahau alivyowavunjia nyumb wat
@@maryamaliy8509 Haaahaaaa..Nakwambia wabongo Sisi Akili Zetu zinashida Huwa hatukumbuki Kabisa hayo..Na sijui yule Mzee aliweka nini Kwenye Akili za wabongo Maana wamekuwa kama Mazuzu..Yaanii Hii copy na kupaste tu i
Alisema magufuli mtanikumbuka kwa wema wangu
Magu kwani hajabomoa hajafukuza wafanyakazi jamani maendeleo yanaghalama
@@samwa9496 kwa kuwa hayajakufika wewe
Mmmh..!Kuna Mtu Alie haribia watu Maisha Kwa Bomoabomoa kama Huyo Mtu..?Tena kama Hujui heri unyamaze. Ndie kinars wa Bomobomo Kwenye Hii Nchii..Yaani Hiyo ni Copy na Past Alafu wakati Mwingine wa Bongo tunadharau na kipuuzia Vitu Sana mmtu annambiwa Hapa usijenge anajenga akija kubomolewa mnalalamika Bahati Mbaya Mkuu Hapo Kasema Kila Kitu Sasa mncholalamika Nini Maelezo yanajitosheleza..
@@samwa9496 swali kwa Nini watu wanalia na kumkumbuka yy
Jamani jamani nimeuza nyanya nyumba hivi inauma mweeeeee
CCM oyeeeeee 😂😂😂😂😂..Mama Samia Oyeeee, Nawasalimu kwa Jina la jamhuri la Tanzania Kazi iendelee🙌🙌..royal Tour Oyeeee,,.
Li samia suluhu ni li kuma
Hatuna Raisi Tanzania
Sana ndg wameipenda wenyewe
Oyeeeeeee 👉🤣🤣🤣🤣🤣 ccm Nimavi kabisa
@@justinmbangukira7034 🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli hii sio haki jamani watoto watalala wapi😭😭😭😭😭
Mama ufai toka zako kaeni Akina mama wote muishike
Dah! Yaani huu mwaka kila kona watu wanavunjiwa nyumba tatizo nn au mnauziana maeneo ya raia jaman
It’s sad kuona hao wananchi wanafikir huyo samia ndio msaada wao .. 😔
Nikiangaliaga picha i uwa naumia sana mungu atawashugulikia tu
Hii inch jamani!!!! Kuna mapori mengi hayana kazi yeyote SI mwende huko? Km kweli serikali inafuatilia maelekezo ya viongozi mbona panya rod wanatamba Kila kukicha hakuna udhibiti wowote? Dah!!! Sema Sana omba yasikukute
Eti hamkuziondoa wenyewe dah mkuu wa wilaya mungu anakuona
Vitu vipande bei, nyumba zibomolewe, vifurushi mtihani, maji na umemee tatizo, deni la taifa liongezeke, maendeleo= 0 Hii serikali .
Mungu yupo
Chozi la mnyonge ulipwa na munguuuuu
Kiukweli hii nchi hiii mungu atusaidie kwa kwelii
Yaaaaaani Sijui HAMUMUONAGI huyu MR ABOOD,yaaani Toka nasoma morogoro yeye ni mtu wa kusawazisha mambooo,Mtu wahurumaa,Mpeni kama ikimpendeza MAlkIA jamani awe huyu ni solver's (solving nashindwa niandikeje kiingereza kama kimehamaa🏃🏃❤️
Dah
Nchi haiongozwi na mwanamke ikawa salama hayo ni maneno ya bwana mtume mie nimenukuu tu
Mungu anawaona hakika
Noma sana rais wasaidie
Mama anaupiga mwingi😭😭😭😭
Kujenga kulivyo kuwa kugumu hasa ukiwa masikini nyumba moja unajenga miaka hd 10 leo hii wanakubomolea, poleni sana 😫😫😫
Tatizo ni Nini kwa nini zinabomolewa!
@@hidayakisensi2747 hata sijui
Daaaaah 😭🙌😥😥😥🙌hamna huruma na Wana nchi wenu
Hivi ndo vile viwanja vya Instagram itakuwa...
Naipenda sana Tanzania nimezaliwa Tanzania sikuja kibahati mbaya hii ndio nchi mungu aliyoniumba niende wapi
Ttzo letu n uoga tu ndo kitatuumiza, hkn nchi iliyopata mapinduzi kirahisi jmn ifike muda watu wakinukishe tu tutaheshimiana tu....
Unaonaje tukakianzishe maan watu waoga wanarud nyuma
Serikali ikitoaa aangizoo jaribuni kuelewa jamn,,Serikali inanguvu Sana ikiamuaa,,Haya ni maoni yang 👏👏
Wananchi ni wabishi, nilishashuhudia mtu anajenga juu ya bomba la dawasco, akiambiwa anssema kifo cha wengi ni harusi. Tujichunge. Kulia sio sababu wamekiuka.
Naomba kuuliza swali je viwanja walivitoa wapi maana unaponunua kiwanja lazma upite serikali ya mtaa
sasa tofali wanazipeleka wapi
Wanaenda kujengea kwao 🤣🤣🤣
Poleni Watanganyika afuu wakiweka mikutano yao nendeni kama kawaida mumeipenda wenyewe mutaisoma number kwa wote
Wepesi sana kusahau maumivu
Daaaaah Bas bhna
Hii ndiyo tanzania sasa
Ardh ni ya Mungu sio ya serikal Mungu yupi mnaomwabudu nyie Mungu simama na wanyonge
Mungu wangu😭😭😭😭😩
Mama ndiye mdhamini Mkuu WA ardhi, je ina maana hajuwi? Kamishna ni mtumishi tu
Kwa Nini wanawaacha wananchi wanajiwekeza ????Serikali inakuwa wapi mpaka wananchi wanaishi mda mrefu???
sasa hizo tofali zinaenda wapi?! tz atar
Serekali imekua ya kichoko bora tupigane tu tuheshimiane viongoz wanajijali wao mbwa hawa wanaona dunia yakwaoo , , , k sana hawa , , wakati raiya wanajenga mnawaangalia mnasubir wamalize mje mbomoe wasengee wakubwa
rais wa saiv utumbo tu kwakwel tunamkumbuka sana J.P.M
Ulale salama
Da R.I.P Doctor johni pombe joseph magufuli umetuwachia mzigo msito mama samia anatuteza wanaichi wake eee mungu shuka
Tumeipenda wenyewe ngoja tukione cha moto
Maisha yenyewe magumu mpaka watu wameanza mpaka wamemaliza kijenga mlikuwa wapi
binadamu, tathmini ilifanyika na serikali kutoa katazo la kujenga. Watu wengine kwa kujua na wengine kwa kutokujua wakaendelea na ujenzi. Tatizo lipo kwenye uwajibikaji wa viongozi wa chini: wenyeviti, watendaji, diwani, maofisa wa mipango miji kwenye Halmashauri. Haiwezekani watu wajenge wakati kuna zuio na viongozi wapo tu wanaangalia.
Kazi iendeleeee
Kazi iendeleeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtakoma na hiyo kauli
mie Hua najiuliza kuna Viongozi wa kijiji.wa mtaa na wengine kwanini mnawaacha wanyonge wanajenga mnawaekea umeme mnawaekea maji kisha mnarudi kwabomolea
Kazi ieeendelee
Maisha ya bongo shida sana watu wanabomolewa nyumba kisa wanyama
kwani tatizo nn, wamekiuka sheria gan ya ujenzi?
Mungu atakulani ww Mkuu wa wilaya
Daaaa rip magufuri mtetezi wa wanyonge daima tutakukumbuka🙏😭😭😭
Poleni sana morogoro....huu ni ubabe
Kazi iendelee 🔥
Eeeh mungu tupe kiongozi bora 2025😥😥😥it's painful
Ni ngumu bila katiba mmpya tutasubiri sanaa
Sina cha kusema ila inauma sana wallahi yani unabomoa Nyumbaaaa kwa hali hii ngumu hivi jamani
Sisi atuna viongozi ila tuna wata wara yani mabeber meusi uma Sana yan kama utu Hawana bac Ata busara pia wame kosa situna tafuta pesa kwa shida sana wao Wana ishi maisha Mazur kupitia kodi zetu pamoja na rasilimali za mnchi emungu wasaidie wanganga wote na utujalie tuje kupata viongozi wanao kuku tambuwa na kuku ogopa
Magufuli ona watu wako tunavohangaika MAGUFULIIIIIII😭😭😭😭
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.
When the righteous are in authority, the people rejoice: but when the wicked beareth rule, the people mourn.
Mmmmh mim sisemi kitu ila Mungu kama yupo anaona
Baba yetu shujaa wetu ,tumpate wapi kama yule kipenzi Cha wanyongee!!!!!???
RIP JOHN JOSEIPH MAGUFULI
Mpaka watu wameanza ujenzi hadi wamemaliza nyie viongozi mlikuwa wapi
Magufuli alibomoa nyumba za watu kibamba, Kimala,na kibaha ,
Magufurii ndio nanini bwana kimara na kibamba alikuwa magufuri yup
Jamani mambo gani haya ndani ya Nchi yetu
😭😭😭😭😭😭R. I. P MAGU😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mungu ukowap
Ewe unaezulumu unatambua yakwamba Dua ya unaemzulumu Huwa haipingiki? Macho Yako yanalala lakini uliemzulumu anakesha usiku kulia na kumshtakia aliumba mbingu na ardhi na akauumba ww ambae Leo unakiburi na kuwazulumu wanyonge? Allah walipie waja wako
Kama anayosema Kiongozi Hapo ni ya kweli Tuacheni Mihemko na Hao Wananchi wamezingua wenyewe na Bahati Mbaya ndiovyo ilivyo Kwa Wabongo walio wengi Hii Nchii tu nadharau Alafu yakitukuta tulaumu..
Huyu mwanamke wa wapi mshenzi kama hajabeba viumbe miezi tisa tumboni sasa wanawavunjia kisha wanachukua matofali watoto wataenda wapi km watoto wao wanafanyiwa ivi wangejickiaje kufanyiwa hivi serikali muwe na huruma hawa hawa wananchi ndo munaenda kuwaomba kura ili mushibe na familia zenu wakisha wapa kura ndo malipo haya jamani muwe na huruma sisi wazazi na dunia mapito tuu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭yupo mungu hakimu wa haki
Jamani sasa ubabe sasa baas
Kwa marehemu haya hatukuyaona tofauti Sasa tunaiona
We mkuu wa mkoa dada we.kmshukuru shetani