MAMA AMUUA MTOTO WAKE NA 'KUMLA NYAMA', ADAI ALIKUWA NA NJAA, FUVU LAPATIKANA, MAJIRANI WAELEZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 30

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 10 หลายเดือนก่อน +3

    SubhanaAllah 😢😢

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 10 หลายเดือนก่อน +2

    Subhanna Allah subhanna Allah subhanna Allah 😭😭😭😭

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 10 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢shida ni awajama wanao zalisha vichaa

  • @Nestoemanuel
    @Nestoemanuel 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari San shinyanga

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 10 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo hayupo Sawa

  • @ireneque9813
    @ireneque9813 10 หลายเดือนก่อน +1

    Akili ipo sawa kweli?

  • @HannahSamira-z5d
    @HannahSamira-z5d 10 หลายเดือนก่อน

    Inna lillah wanna illah wainna illah Rajiun,Allah amsamehe,sio akili zake 🙏

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 10 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia hii tutaona mengi

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dhamana ni ya nini hapo?Mtuhumiwa mnamwekaje nje ?akiua watoto wa majirani je?Angekaa huko police au apelekwe kambi za vichaa.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 10 หลายเดือนก่อน

      Mmmmh kama move kabisaa mwanadam mwenzie licha ya kuwa mwanae

  • @SamwelMahabula
    @SamwelMahabula 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 10 หลายเดือนก่อน

    Sasa yupo nje kwa dhamana ,kazi ya selo ni kumlinda mtu hapo tiar ana tuhuma za kuua hata kama hajaua mnafikir usalama wake utakuaje ,ikitokea tena kuna mtoto haonekani au kapotea si watahis yeye ndo kamla tena

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 หลายเดือนก่อน

    kama keshaonja nyama ya mtu siku 3 anamla kwelii basi atakula tena lakini sasa hata mifupa haikubaki au mbona fuvu la kichwa lipo isijekuwa mpango umetumiwa njia za kichaa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 10 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa dhamana ya nini apo na wakati amekiri mwenyewe kwamba amemla 😢😢😢au mnataka akaendelew kuwala wengine

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 10 หลายเดือนก่อน

      Mwenzangu kichaa huyo ataua wengi serikali jman

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 10 หลายเดือนก่อน

      Ndo wanacho kitafuta acha atafune wengine jitu shetani mna lipa zamana

  • @tato8979
    @tato8979 10 หลายเดือนก่อน

    Uchungu wote wakunzaa nimle nyama mwanangu mwenyezi mungu tusaide😢😢

    • @pendo8082
      @pendo8082 10 หลายเดือนก่อน

      Yaan😢

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 10 หลายเดือนก่อน

      Yaan hapa nawaangalia wanangu 😢😢 dah Allah atuhifadhi sis na vizaz vyetu jman huyo atawala watoto wa wenzie why mmempa dhamana jmn

    • @pendo8082
      @pendo8082 10 หลายเดือนก่อน

      @@najmasalim-rg6ow ni hatari

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 10 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli ni chizi kabasa.sasa kama alikuwa na njaa si angeomba majirani chakutiya kinywani wanaume wanzangu ubwiru usitume tudunge kila mwanamke tunae muona kuwa sahihi mbele ya macho tu inafaa kuwachunguza vizuri,nakama wanamapungufu kiafya basi tuwasaidiye.2024 inakuja na makubwa dah nyama pori kabisa,hata mmbwa hana izo akili.😮

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 10 หลายเดือนก่อน

    sasa alimpika au alimla mbichi mbichi hee bongo kunahitajika maombi

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 10 หลายเดือนก่อน

    kutoa dhamana kesi kama hio na mtu kaua mnafikiri usalama wake ukoje uko uraiani Mana tiar ana tuhuma za kuua hata kama mnahis hajaua sidhani kama una akili we afande

  • @nowamateyo3318
    @nowamateyo3318 10 หลายเดือนก่อน

    Asinge pewa samana kabisa ataendelea kumla wangine

  • @StevenLyimo-u4y
    @StevenLyimo-u4y 10 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wazee wa ndagu za kutajirika wanaita kusabha

  • @Zuu673
    @Zuu673 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hadi tufike tumechoka sana😢

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 10 หลายเดือนก่อน

    MGONJWA MWINGINE wa AKILI sio mzima WIZARA Ya AFYA MNAFANYA NINI OFISINI GO OUT TO THE FIELD PSE

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 10 หลายเดือนก่อน

    Siku huu uchawi wa kijinga jinga utaisha huku afrika na elimu ikazidishwa haswa vijijini ndio Africa itapiga hatua.