Exclusive: Nahreel kuhusu maisha, muziki na malipo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ม.ค. 2016
- Nahreel ni producer kutoka kwenye kiwanda cha bongofleva ambaye mikono yake imehusika kwenye hits kama Don't bother ya Joh Makini na A.K.A , Zigo ya Ay na nyingine, alikutana na Millard Ayo kwenye Interview na kuifanya hii Exclusive.
- บันเทิง
Unaongea Vizur am in love with this boy sorry Aika
millard my mentor, this is how all radio shows should be. Good work.huge fan of your work
Aise nilimic sana kupita humu ila nothng bad nimeenjoy vya kutosha milly,thanksie..bravo👏👏
millardayo big Up mtu wetu wa nguvu kwa kutuleteya nahreel
kazi nzuri brother millard me nakuombea kwa mungu azidi kukupa mafanikio zaidi na kuweza kutuletea vitu vzr zaid......Narheel mungu akuongoze.
To b honest millard uyo jamaa noma noma he iz the best keep up nahreel
kazi nzurii kakaa millard napenda xanaaa unachofanyaa huwa sikosi kutazama kila unachopost pamojaaa
jaman bonge la Handsome... sura ya kisuperstar nahreel
Yeah Nice Interview sana ila kuna kitu umesahau kumuulizia kuhusu ile inshu yake ya Nahreel School of music...kufundisha maproduzya wa muziki
Asante kaka kwa kazi nzuri mungu aendelee kukuweka mtu wetu wa nguvu
+Khadija Malifedha Amen, asante sana mtu wangu wa nguvu Khadija kwa kuniandikia, asante pia kwa kutazama mtu wangu
katisha sana ....sema fanya kama kumu interview ad+ baba la baba ..baba joniii....adam mchomvu.
Safi Millard jamaa namkubali sana kitu cha bei ya mkaaa
gud job guyz nawakubali sana one day Nahreel beat utakuj kupig kaz na dr dre coz unajuhudi sana Emanuel mkono
my best produser
Millardayo asante kwa time yako kutusogezea
+Oswald Frank Asante nawe pia kwa time yako kutazama mtu wangu Oswald.
+Millarxd Ayo
Am following you my guy
Very nce nimependa sana iyo kituuuu
nzuri hii
Nice work ...inspiration @Millard Ago & Nahreel
oyooo safi sana
+Jorick Maanga asante sana mtu wa nguvu Jorick kwa kutazama mtu wangu na kuniachia comment yako
good bt ajasema nahreel studio yake iko wapi watu tukarecod ngoma
+Rosemary Byabato asante kwa kutazama Rose.
sanawari arusha
Big up millad Ayo kazi nzuri
buda bos mirladayo nakupata fit sana joh 254 kama kawa mazee
So inspiring
good nareel
Nahreel the best producer
Inspiring🙌
Who’s watching this in 2024?😂
nice interview. Big up millard ila 4*60=240 :D
thanks brother for shoo
nice sana
+Eric Matemba Thanks for watching mtu wa nguvu Eric.
+Millard Ayo I love u so much...may God help u more....
Good Broo
Nice
Mallard ayo,tunaomba umuhitishe wema,atuambiya kama Kweli yeye anamimba?
@Millard Ayo. time calculation at 16:52 must be wrong.
Mia mia
Msabato😭😭😭😭
millardayo big Up mtu wetu wa nguvu kwa kutuleteya nahreel