ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Diara kafungwa Goli bora la Msimuuu😂
Hakika
Kwaiyo tufanyeje??
Kamara mlivyo droo na cost kamara alikua wap
Diary alifungwq lile goli kwa sababu aliamini mpira umeisha na hakutegemeya kupigiwa vile mbali na jamaa alipiga kwa kubahatisha na kafanikiwa
Magoli bora wanafungwa magolikipa bora kama diara
Ajifunze kukaa golini anachafu clean sheet mimi binafsi huwa sipendi anachokifanya
Ken gold hongera mmefunga gol zuri kuzidi hayo 6ya chura
Hata wana yanga walimpongeza aliofunga goli Lake zuri linafaa achukue goli bora la mwak
Jaman naombeni kuulizwa kwani mprira ukianza kati unaruhisiwa kuupiga direct kama freekick? Mana mie naelewa mprira ukianza center lazma uguswe namchezazi hata mmja ndio uende golini, naombeni jipu ntarudi
Rudia kuangalia vizuri alianzisha mwingine kampa mfungaji
Sikuizo mmekua ombaomba!
Diara ajifunze kutuliya golini hadi mwisho wa mchezo
Ktk koment zote hapa hii ndiyo Bora na ya msingi. Atulie golini
Duuh kubadili makocha kila siku siyo swalaa mzuli san
sasa kama kocha kapata ofa nzuri zaidi wew ulitaka wafanyeje
Tim inashuka daraja na mchezaji anatwaa kiatu cha goli bora, nashauri TFF wampe uyu jamaa kiatu chake kabla awajashuka daraja 😂😂❤
Si rahis kwa Ken gold kushuk daraja kwa kikosi kile
Kuna kiatu cha goli Bora?
@@MikidadiAbdu-s6o umesahau? mayele alipewa Cha mfungaji bora na lagoli bora
TULIIFUNGA SIMBA 5 KWA 1😅😅😂😂😂
Una washwa eee
Ndiyooooooo 5.1
Uzembe😢
Uzembe gani na kwa nani?
Hakika nigori la kifahari
Ndio
Diara kafungwa Goli bora la Msimuuu😂
Hakika
Kwaiyo tufanyeje??
Kamara mlivyo droo na cost kamara alikua wap
Diary alifungwq lile goli kwa sababu aliamini mpira umeisha na hakutegemeya kupigiwa vile mbali na jamaa alipiga kwa kubahatisha na kafanikiwa
Magoli bora wanafungwa magolikipa bora kama diara
Ajifunze kukaa golini anachafu clean sheet mimi binafsi huwa sipendi anachokifanya
Ken gold hongera mmefunga gol zuri kuzidi hayo 6ya chura
Hata wana yanga walimpongeza aliofunga goli Lake zuri linafaa achukue goli bora la mwak
Jaman naombeni kuulizwa kwani mprira ukianza kati unaruhisiwa kuupiga direct kama freekick? Mana mie naelewa mprira ukianza center lazma uguswe namchezazi hata mmja ndio uende golini, naombeni jipu ntarudi
Rudia kuangalia vizuri alianzisha mwingine kampa mfungaji
Sikuizo mmekua ombaomba!
Diara ajifunze kutuliya golini hadi mwisho wa mchezo
Ktk koment zote hapa hii ndiyo Bora na ya msingi. Atulie golini
Duuh kubadili makocha kila siku siyo swalaa mzuli san
sasa kama kocha kapata ofa nzuri zaidi wew ulitaka wafanyeje
Tim inashuka daraja na mchezaji anatwaa kiatu cha goli bora, nashauri TFF wampe uyu jamaa kiatu chake kabla awajashuka daraja 😂😂❤
Si rahis kwa Ken gold kushuk daraja kwa kikosi kile
Kuna kiatu cha goli Bora?
@@MikidadiAbdu-s6o umesahau? mayele alipewa Cha mfungaji bora na lagoli bora
TULIIFUNGA SIMBA 5 KWA 1😅😅😂😂😂
Una washwa eee
Ndiyooooooo 5.1
Uzembe😢
Uzembe gani na kwa nani?
Hakika nigori la kifahari
Ndio