Rpc wa mkoa wa katavi anajitahidi sana utendaji kazi wake kwenye idara ya ulinzi tatizo binadamu hatuna shukrani mpeni maua yakee huyu dada......tuwe na desturi pale mtu anapotakiwa kupewa sifa zake tumpee tuu
wewe makonda wewe ni Kama makufuli tu Kaka wewe ni kiwongozi Pola Sana mungu atakubaliki Sana Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako Kaka wewe ndie kiwongozi mwaka wa 2025 Mimi natoka kenya lakini Mimi ni mkuriya si unajua kua sisi wakurya tumetoka Tanzania 🙏🙏
Samia nilimju kabla 2020,kuwa atakuja kuwa rais,naendelea kumpongeza kwa kuwa anaendela kuongoza nchi yetu vizuri kwa namna yatofauti,mwenezi anapiga kazi,mama anashudia gemu kwa mbali,shughuli zina kwenda mama anatumia akili hatumii nguvu,excellent mama.
Hili jambo la gender kwenye nafasi za uongozi bila kuzingatia uwezo ni tatizo kubwa kwa taifa. Mikoa inayoongozwa na RPC wanawake mingi imefeli pakubwa.
Rpc wa mkoa wa katavi anajitahidi sana utendaji kazi wake kwenye idara ya ulinzi tatizo binadamu hatuna shukrani mpeni maua yakee huyu dada......tuwe na desturi pale mtu anapotakiwa kupewa sifa zake tumpee tuu
wewe makonda wewe ni Kama makufuli tu Kaka wewe ni kiwongozi Pola Sana mungu atakubaliki Sana Kaka mungu akubaliki uendelee kufaya kazi yako Kaka wewe ndie kiwongozi mwaka wa 2025 Mimi natoka kenya lakini Mimi ni mkuriya si unajua kua sisi wakurya tumetoka Tanzania 🙏🙏
Kiukweli Mhe Rais kafanya Jambo kubwa saana kwenye ile familia Mungu akuongoze vyema Mhe Makonda
Samia nilimju kabla 2020,kuwa atakuja kuwa rais,naendelea kumpongeza kwa kuwa anaendela kuongoza nchi yetu vizuri kwa namna yatofauti,mwenezi anapiga kazi,mama anashudia gemu kwa mbali,shughuli zina kwenda mama anatumia akili hatumii nguvu,excellent mama.
Hili jambo la gender kwenye nafasi za uongozi bila kuzingatia uwezo ni tatizo kubwa kwa taifa. Mikoa inayoongozwa na RPC wanawake mingi imefeli pakubwa.
Polisi ni WA mhimu sana Mimi siyo polisi lakini wanasaidia sana
Akiondoka tu makonda ole wenu yaani munamzomea mkuu wa bunduki oohoooo
Mnamzomea p mkubwa ngoja makonda aondoke mtajua hamjui
RPC HUNA MPANGO MTU ANAFANYA UHALIFU UNASEMA WATOTO S, KWELI
Watoto wanasheria zao namba ya kudeal nao na pia jamii yenyewe ndio sisi tunaoishi nao