Kumekucha DUDU BAYA AWASHA MOTO UTEUZI PETER MSIGWA/ Yaani hawezi lazima ashindwe

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 38

  • @barakasanga6980
    @barakasanga6980 7 วันที่ผ่านมา

    Jamaa siku hizi ana busara Sana..Mungu akulinde bro

  • @jumanassib3634
    @jumanassib3634 24 วันที่ผ่านมา +6

    We Dudubaya rudi nyumbani Magu ugombee ubunge, masela wanakusubiri Kisessa!

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 11 วันที่ผ่านมา

      chadema wamemnyima cheo akatafute vyeo ccm huko kwani vyeo huko ni rushwa

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 18 วันที่ผ่านมา

    Asante dudu wasukuma akiri nyingi sana wananyimagwa fulusa tu

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 23 วันที่ผ่านมา +2

    Ateuliwe Msigwa haikubaliki hao wengine wasomi wamejaa CCM miaka kwani hawawezi mpaka wahamiaji ndio wateuliwe haiwezekani tutaandamana yeye ananini special kuliko hao walokaa miaka na ni wasomi haikubaliki wanahamia huku ili wapewe vyeo kachelewa na sio yeye tu na wengine wanaofikiria kuja kupata teuzi

  • @flova7022
    @flova7022 9 วันที่ผ่านมา

    Hivi njombe watu wanapaonaje...njombe is so active region than even many countries..also is too good economically than many famous region

  • @laheonlinetv2161
    @laheonlinetv2161 24 วันที่ผ่านมา +3

    agombee akiwa chadema Magu anaichukua

  • @ImaniKiswaga
    @ImaniKiswaga 23 วันที่ผ่านมา +2

    Njombe nayo nzito inawasomi wengi wenye akili

  • @iddymohammed963
    @iddymohammed963 17 วันที่ผ่านมา

    Uko sawa

  • @mussaremigius2818
    @mussaremigius2818 18 วันที่ผ่านมา

    Ukweli

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 23 วันที่ผ่านมา

    Ni sahihi kabisaa huwezi kua kiongozi kwa kutegemea taarifa fiche lazima ujue maeneo unayo yaongoza 🫡🫡👏🏻😄

  • @emanuelyngailo6807
    @emanuelyngailo6807 18 วันที่ผ่านมา

    Na katika mikoa migumu ni Njombe mzee uliza na ndio mkoa ambao wengi wanachemka

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 24 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂 njombe

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 23 วันที่ผ่านมา

    Magufuli alikuwa akipenya kila kona. Daaa

  • @mussaremigius2818
    @mussaremigius2818 18 วันที่ผ่านมา

    Kaongea ukweli

  • @ToivoJase
    @ToivoJase 20 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kidole vipi

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 23 วันที่ผ่านมา

      Hujafa,.............!

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 23 วันที่ผ่านมา

    Daresalama lnawasomi wengi wajanja wengi akili kubwa biashara zinawakubwa hata chalamila kashindwa hana uwezo hata yeye chalamila

  • @boniphacetabu2903
    @boniphacetabu2903 21 วันที่ผ่านมา

    Tunaotazama kidole cha Mwamba tujuane.

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu akijiita konki master, na wewe muite hivyo ndio jina lake , na maanisha ni konki kweli tena ni oil chafu

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 23 วันที่ผ่านมา

    Bara 2 kasulu kibondo ww dudubaya siyo ya kutolea mfno
    Kuna lami ya kweli usipime kumenoga

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 23 วันที่ผ่านมา +1

    Iheshimu njombe

  • @user-bd8gs3qk2d
    @user-bd8gs3qk2d 22 วันที่ผ่านมา

    Chalamila amepaweza Dar kwa lipi? Ni mpuuzi mmoja tu mropokaji, ambaye anadharauliwa na wafanya biashara. Hana kitu chochote alichofanyia watu wa Dar. Ni chawa tuu asiye na manufaa kwa jamii. Dudu baya ni dogoo anaye zeeka vibaya.

  • @user-lb2jh4ss6v
    @user-lb2jh4ss6v 23 วันที่ผ่านมา

    Sikuizi mwanasiyasa

  • @abdulisike
    @abdulisike 22 วันที่ผ่านมา

    Konk 3

  • @OswardMadege-gd7yo
    @OswardMadege-gd7yo 16 วันที่ผ่านมา

    Acha dharau njombe unadhami

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g 24 วันที่ผ่านมา +3

    Dudu mbona umedhoofika

    • @mpangalalisotha6808
      @mpangalalisotha6808 20 วันที่ผ่านมา

      Unategemea akujibu vp? C lazima kila kitu uulize

  • @MasolwaNzalia
    @MasolwaNzalia 6 วันที่ผ่านมา

    Bbb

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 24 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu sauti imebadilika kwanywa pombe.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 24 วันที่ผ่านมา +7

    Wamechaguliwa walio kufa hata yeye anaweza kuchaguliwa

    • @knight6757
      @knight6757 23 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @georgesamwelchacha7680
      @georgesamwelchacha7680 23 วันที่ผ่านมา

      😂

    • @DittoSylvester
      @DittoSylvester 23 วันที่ผ่านมา

      Nchi ya asali na maziwa!?😊

    • @AdamSaffi211
      @AdamSaffi211 23 วันที่ผ่านมา

      Nchi ya ajabu, hivi wsliapishwa?

    • @knight6757
      @knight6757 23 วันที่ผ่านมา

      @@AdamSaffi211 kuapa ni rahisi...tamaa na ubinafsi inawafanya wakiuke viapo!