Ateuliwe Msigwa haikubaliki hao wengine wasomi wamejaa CCM miaka kwani hawawezi mpaka wahamiaji ndio wateuliwe haiwezekani tutaandamana yeye ananini special kuliko hao walokaa miaka na ni wasomi haikubaliki wanahamia huku ili wapewe vyeo kachelewa na sio yeye tu na wengine wanaofikiria kuja kupata teuzi
Chalamila amepaweza Dar kwa lipi? Ni mpuuzi mmoja tu mropokaji, ambaye anadharauliwa na wafanya biashara. Hana kitu chochote alichofanyia watu wa Dar. Ni chawa tuu asiye na manufaa kwa jamii. Dudu baya ni dogoo anaye zeeka vibaya.
Jamaa siku hizi ana busara Sana..Mungu akulinde bro
We Dudubaya rudi nyumbani Magu ugombee ubunge, masela wanakusubiri Kisessa!
chadema wamemnyima cheo akatafute vyeo ccm huko kwani vyeo huko ni rushwa
Asante dudu wasukuma akiri nyingi sana wananyimagwa fulusa tu
Ateuliwe Msigwa haikubaliki hao wengine wasomi wamejaa CCM miaka kwani hawawezi mpaka wahamiaji ndio wateuliwe haiwezekani tutaandamana yeye ananini special kuliko hao walokaa miaka na ni wasomi haikubaliki wanahamia huku ili wapewe vyeo kachelewa na sio yeye tu na wengine wanaofikiria kuja kupata teuzi
Hivi njombe watu wanapaonaje...njombe is so active region than even many countries..also is too good economically than many famous region
agombee akiwa chadema Magu anaichukua
Njombe nayo nzito inawasomi wengi wenye akili
Uko sawa
Ukweli
Ni sahihi kabisaa huwezi kua kiongozi kwa kutegemea taarifa fiche lazima ujue maeneo unayo yaongoza 🫡🫡👏🏻😄
Na katika mikoa migumu ni Njombe mzee uliza na ndio mkoa ambao wengi wanachemka
😂😂😂😂😂😂 njombe
Magufuli alikuwa akipenya kila kona. Daaa
Kaongea ukweli
😅😅😅😅😅😅😅
Kidole vipi
Hujafa,.............!
Daresalama lnawasomi wengi wajanja wengi akili kubwa biashara zinawakubwa hata chalamila kashindwa hana uwezo hata yeye chalamila
Tunaotazama kidole cha Mwamba tujuane.
Huyu akijiita konki master, na wewe muite hivyo ndio jina lake , na maanisha ni konki kweli tena ni oil chafu
Bara 2 kasulu kibondo ww dudubaya siyo ya kutolea mfno
Kuna lami ya kweli usipime kumenoga
Iheshimu njombe
Chalamila amepaweza Dar kwa lipi? Ni mpuuzi mmoja tu mropokaji, ambaye anadharauliwa na wafanya biashara. Hana kitu chochote alichofanyia watu wa Dar. Ni chawa tuu asiye na manufaa kwa jamii. Dudu baya ni dogoo anaye zeeka vibaya.
Sikuizi mwanasiyasa
Konk 3
Acha dharau njombe unadhami
Dudu mbona umedhoofika
Unategemea akujibu vp? C lazima kila kitu uulize
Bbb
Huyu sauti imebadilika kwanywa pombe.
Wamechaguliwa walio kufa hata yeye anaweza kuchaguliwa
😂
😂
Nchi ya asali na maziwa!?😊
Nchi ya ajabu, hivi wsliapishwa?
@@AdamSaffi211 kuapa ni rahisi...tamaa na ubinafsi inawafanya wakiuke viapo!