Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point
unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty
Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki
Ya hata mim nampendaga Kuna mtot wa baba yangu mdogo alikuwa anapendaga na wenyewe wamefanana sura shepu paka mambo yao hata mavazi Yao wkuvaa nguo fupi walikuwa hawajal I na wenyew wote wanaushepu
yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi
Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola
Da yaani Dr Cheni kawa MC aise nabaki huku huku uingereza na njaa yangu ila shikamooni awamu ya 5 nchi inasonga mbele sio awamu zile za 2,3,4 Tanzania ili bakwa na MAFISADI
Haha amenikumbusha best yangu anavyosema au anataka kumvutia aludi best yangu alikuwa anasemaga hivyo ukiacha a na mwanaume pendeza mwenyewe a one umeoendeza
Uyuu jamaa mfanya interview ni mbwaa Kama mbwaa wengine utamuulizaje mama mtoto Mambo ya picha za kitandani inahusu Nini kwenye birthday pumbavu kabisa muwe mnafikiri maswali ya kuuliza nyau kabisa kazi tuu kuchora maisha ya watuu
Haha Amina hata mim nampenda kazur watu waliumbukaga Zaman wakat mama yake hamuonyeshi wakasema mtoto mbaya nini kamfuata sura baba yake walivyokuja kumuona wakashangaaga kila mtu akasifia mtoto mzur mzur nikasema binadam nyie
Mtangazaji yuko vizuri sana tena ako na sauti halisi ya mtangazaji wa kiume tatizo watu wamezoea sauti zile za kutengeneza au kugeza. Huyu yuko real na anajua kuuliza maswali yaani yuko on point
Ukovzur anty
Yuko vizur sana
unastahili kuwa maman kbsa afu jinsi una answer ni kama bile strong woman and clever one HBD cookie na maman yako kipenzi,mutangazaji unataka kujuwa mengi kuhusu kuacana kwake na Iyobo aunty siyo kama wale wakiachana na mwenziyo wanamupakazia bwana hebu muelewe she is very humble even kwakusema nakupendeya bule aunty
huyu dada Nampa asilimia 100 umemjibu Safi mwanamke Bora . wewe Ni wa kipekee kwenye bongo movie. hongera sana
Wasituzinguwe.....huyu jamaa yuko vizuri sana kwa kazi yake.....kisha sauti iko real....a man voice should be like that....kidume cha mbegu
Aunt nakupenda!! Naomba mrudiane mlee watoto pamoja pls
Aunt umejibu maswali vizuri sana Hongera
Aunt Umekuwa rafiki yangu hii Interview najiskia kama nitazame mida yote fresh sana mwayaa Maana siri zako weka Moyoni.😍😍
Lalia Elulu
Aunt umependeza sana wewe pamoja na mwanao. Happybirthday Cookie
Elizabeth Mwandu mmh
Elizabeth Mwandu
@@bakarkassim9242 nambie!
Umependeza
Pendeza xana
i like the talk mama cookie yua bright en intelligent..... plz come back baba cookie nyumban pamenogaaaa
salma mwinyimvua heppy mwanang
I love this woman so much she is so smart.nakupenda sana aunty
Nakupend sana.ant Ezekiel
Nampenda.sana cookie happy birthday 👑👗👡👡🎉🎊🎂🎁 namis kukuon cookie
Nakupnda san
Waooh! Aunt umejua kujibu vzr sn
mtangazaji uko poah sana kuuliza maswali yenye point.👏👏👏.
YUZO MAPESA TV
❤
Manenoyakuambiw
@@abednegodasam6053 mann
Ebtoke
HAPPY BIRTHDAY BEAUTIFUL PRINCESS COOKIE🎉🎉🎉🎉🎊🎊🎊🎊❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Hello
Daphne Chande woooh amedmsh kinymaaa
Saf sana
Happy barthday
Wasanii wa bongo kwa kuonjana onjana mmh 🙌🙌
Zak Yahya acha kaka wanakanyaga 2
Hongera sana kwa majibu yaliyotukuka dada.Nimebarikiwa kwa majibu yako ya hekima sana.
You talk smart..and unajibu straight i like the talk
ChrissBM 6ix9ine
Aunt is smart and beautiful, pambana na maisha sister
makoiga mg hjjhcc
Anty Pambana na maisha kwa sasa kuachwa siyo ww wakwanza hata mimi mwenzio niliachwa nawatoto 3 nanilikuwa sina kazi lakini kwasasa nipo nakazi na sipo Tz nimeolewa naishi maisha ambayo sikuwahi kuishi uko nyuma funga buti mama Mungu yupo Pamoja na ww !Wastara hasumbuki
Ndio maan watoto huwa wakikuwa hawawapendi wababazao kisa tabia za babazao Mungu nikuzie mwanangu na mie😍
Bigup bro Mungu akufikishe mbali zaidi ktk kazi zako👏
Anti wewe nimama mzuri usikate tamaaa yote yanawezekana happy birthdaymy toto
This presenter is doing good , keep up young man !
Bongomovie
Mtangazaji alijipanga maswali anti masha allah
Mulicana kweli polesana
nakupenda aunt hauna dharau kama wasanii wengne wanaodharau waandishi wa habari
Nakupenda Aunt. unajielewa my
mtangazaji upo up xana big up bro
Napenda interview zote za Aunty Ezekiel.Hua anajibu maswali kwa ufasaha saaana.Big up dear
Makeup it amazing imetulia malipake 💄😍
Waandishi wa sikuhz hamjui wajibu wenu khaaaaaaaaaa.....🙌🙌🙌🙌🙌
She’s beautiful baby. Only that the mother dosent sound responsible
Hee kumbe anti Ezekiel mzuri loh" mtoto wa kibongo weeeee
Nakupenda uant.kiukweli mmeachana sjapenda
Alichokiongea cook ,,Na mlichokiandika hapo juu ni tofauti kabisa waandishi hv mna nini lakn ??
Hawajielewi
Hawana akili hawa jamaaaaa
Iyo inaitwa attention getting devices Kazi yake kubwa ni
Kuhakikisha tunavutiwa kuisoma habari au kuiview video
Fatma Issa na sisi tuache umbeya
Fatma Issa Yani awa watu ni baraa kichwa cha Habari ni tofauti kabisa.
Mie na dada zangu tushawahi kupiga picture na aunt Ezekiel I love you aunty😘
Mohammed Nassor hahaha wabongo bwana
Wewe fetty kama ulikuwa hujui mimi ndio mbongo haswa upo nyonyo 🙅
Aunt nakupenda sana....mmependeza
Nimekupenda.
You hv changed.
Naagiza Mama kukuunga mkono
Nampenda san my lovely sister #AuntyEzekiel
,kube this girl uongea opa ivo
Ya hata mim nampendaga Kuna mtot wa baba yangu mdogo alikuwa anapendaga na wenyewe wamefanana sura shepu paka mambo yao hata mavazi Yao wkuvaa nguo fupi walikuwa hawajal I na wenyew wote wanaushepu
Kitenge kizur wamependeza kama best yangu wanavaaga sale na mwanawe
Ant nilishawai muona laivu mzur mwenyewe
Kidogo kidogo mwisho badaye mtoto naye anakuwa star
Nakupenda sana aunt napia mamuombea maixha mazur mwanao akue katika maadili mema ukimtegemea mungu inalipa
Hivi house of Star iko sehemu gani hapo dar? Aunt Ezekiel.
big up kwa muulizaj wa maswal
Happy birth day cookie may u live to grow to many yrs
love cook na mama ake 😍
Mwandish acha usenge sasa mtoto katoa sir gan hapo??fala wew
Mtangazaji ana jisauti libaya ila anauliza maswali konki sana salute kwako Kaka
Haha kweli rogathe omeona hee lalafu hilo Jina Lako zur Kuna watu nilikuwaga nawasikia wanaita hilo jina
Hila mtu huwezi kila siku birthday ukafanya party Kubwa ndo inavyokuwa Leo ndogo kesho kubwa
Mtoto kakuwa
Hata mwanaume wa GIGY alisema analea bado vizur sana
Dai pia analea wanawe nado
kumbe mmeachana kweli jamani nilikuwa nawapenda sana
mbona nyie wauza sura wa bongo movie hamdumu kwenye mahusiano mmerogwa ama!
John
Duuh hatali
mungu.awabariki
Hizi media zinaingilia mpaka kuwauliza watoto mambo ya familia hii siyo vizuri
Cookie is so beautiful❤️
happy birthday to you cookie
Nawapenda unnty na mwanao Mungu awqtunze mwaya
yaani kweli mumewachana duuuu mbaya sana nikosa gani kubwa lenye lilitokea mpaka kusamehana ikawa haiwezekani jamani mbona mungu sisi atusamehe kila siku lakini sisi binadamu hatuwezi
Iv jina lako halic nanai?
This chiq is cute and mature n intelligent,what do men really want???😭😭😭😭
U are looking good my dear
Anty nakupenda sana pia unajua sana kujibu maswali
Mbona watangazaji mnakua waongo kichwa cha habari ni tofauti na tukio lenyewe
Eti jamaniiiiiii wanakella
honger aunt kwa kukuza the cute baby
Wanawake bwanaa!!!
nakukubali san aunt na mwanao
Jamani mrudiyanee tuuuu mbona yule Kk nimtulivuu sana alafuu mlipendezenaa vibayaa sana
Wanaume was kibongo
Wanatesa na kunyanyasa wake zao ndo maana MTU akiachwa anakuwa huru
Comments mum thanks aunty Ezekiel.mungu akubarikie family yako mum.but naomba mkuwe na usiano mwema kwa Baba mtoto wako.namanisha hivyi mum kama Baba mtoto anakusaidia kulea , imagine ni Bora Mimi kama mm nimezaa na mtu hata maji kuletea watoto wake ni Ngoma.mungu aibaliki hio usiano aunty na usindisshe maombi kwa mola
Mashallah umependenza namwanao
black is beauty😘
Sana my
Nakupenda Sanaa
Love you aunt....naienjoy jina la mtoto wako cookie...hahahaha
Mastaa hv mnapepo gani hamkali mkatulia na wanaume mliozaa nao mnataka kilamtoto awe na baba yake mnaona ndiosifa acheni ushamba kama mlikua hamtaki kuishi wato mnachanua miguu ya nini ushambamtupu mtakua mnazaraulika kilasiku 😎😎😎😎😎😎😎
Sophia Mtaita acha kuhukumu watu mama
Coz wew mwenyew n mwanamke cha msingi n kuomba tuuu
Aunt mwanzo nilikua sikukubali kabisa ila baada kua na mtoto umekua tofaut kabisa afu unatumia busara nakupenda sana
Ukweli sina lakusema,,mana raha yangoma uingie ucheze,,,daaah mlipendeza,,niliwapenda jaman,,cjui kwann mmeachana,,daaah
Ww anti rudi kwa mumeo acha mumependeza sana hao wanaume mwengine wanakufata fata wanakudanganya tu moze ndio anakupenda
NAKUPENDA SANAAA AUNT EZEKIEL UNAJIELEWA NA UNAJITUMA NA UNAJUWA THAMAN YAKO NA YA MWANAO
Nakupenda sana uko mkweli
So cute
Wahuniii nyie mbona caption ipo tofaut na kilichomo ndaniii.. Mnakwaza
Omulimu omulunge by lily
Kumbe. Mmeachana jamani Poleni Sana eheee
U'r my everything😘😘😘😘😘
Nakupenda kwa sababu hujichubuwi tofauli na wenzio wengine wanao taka weupe wa dukani
so cute mum cookie
Kwakeli mm mwenyewwe nimeipenda sana mama hongera sana ant
Powerful message to mothers for sure.
Umzuri mamy
Da yaani Dr Cheni kawa MC aise nabaki huku huku uingereza na njaa yangu ila shikamooni awamu ya 5 nchi inasonga mbele sio awamu zile za 2,3,4 Tanzania ili bakwa na MAFISADI
Maasha'allah
Nimependa alivyojibu maswali safi sana
Exactly. Mama cookie
Sauti ya huyu mtangazaji nmeipenda jmn
Smart Aunt na Cookie
Fatima Mwamjibu heppy
Nimependa maswali yako mtangazaji very good
Haha amenikumbusha best yangu anavyosema au anataka kumvutia aludi best yangu alikuwa anasemaga hivyo ukiacha a na mwanaume pendeza mwenyewe a one umeoendeza
Ndio wasanii wengi Sasa hivi Wana biashara zao hongera ant napenda biashara siku hizi
Ya hata sisi tunaijuwa mnampenda Sana wote hadi mtoto anajuwa
Naupendaga huwo mtindo aliosukwa mtot
Mama tutaiona Imetoka muda
Hbd cookie
Ant Napenda unavujibu kwakujiaminii
Mdada uko vzr
Nakupenda uant huwezi amini na pia napenda sana kazi zako mungu akusimamie kwenye kazi zako
Umependeza mama Cookie
Uyuu jamaa mfanya interview ni mbwaa Kama mbwaa wengine utamuulizaje mama mtoto Mambo ya picha za kitandani inahusu Nini kwenye birthday pumbavu kabisa muwe mnafikiri maswali ya kuuliza nyau kabisa kazi tuu kuchora maisha ya watuu
Mama Cookie anajielewa sana
Wooooooow lik it an maswal.majib yote qonk
HAPPY BIRTHDAY COOKIE
Happy Cook nagupenda mutoto muzur
Haha Amina hata mim nampenda kazur watu waliumbukaga Zaman wakat mama yake hamuonyeshi wakasema mtoto mbaya nini kamfuata sura baba yake walivyokuja kumuona wakashangaaga kila mtu akasifia mtoto mzur mzur nikasema binadam nyie
kusema kweli nakuomba aunt ezekili rudi kwa mumeo
Kamuoa lini
Nice 🌸🌸
Aunt we mzuri sana
Aunt nakupenda sana
Hongera sana kwako mama na mtoto