#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 พ.ค. 2024
  • #EXCLUSIVE na AUNTY EZEKIEL -"SINA MPANGO wa NDOA na KUSAH - AKITAKA KUOA ANIAMBIE-YEYE BADO KIJANA"...
    Msanii wa bongo movie, Aunty Ezekiel amefunguka kuhusu maisha yake na kazi anazo fanya pia amefunguka kuhusu kuingia kwenye ndoa Kama Yuko tayari kuolewa na Kusah . Tayari maojihano haya yapo Global TV.
    Host @Gabbymtanzania80
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 94

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +4

    Anazeeka sasa.Muda umeenda. Lakini mzuri sana huyu dada mimi uwa nakupendaga sana pamoja na wema na Riyama Ali❤❤❤

  • @fatumapilyimo8784
    @fatumapilyimo8784 หลายเดือนก่อน +5

    Big up mamii, unajitambua na ni mkweli

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 หลายเดือนก่อน +3

    Hajazeeka ni mzuri mashallah kwa age yake hana make up mkumbuke nature beautiful 😍

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤🎉🎉 kila Leo yupo vizuri huyu ENT zekinampenda

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 หลายเดือนก่อน +1

    So beautiful without makeup 😍😘

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 หลายเดือนก่อน +5

    Innalillahi wainna ilayhi rajioun
    Kuridhika na zinaa , subhanallah Allah atuongoze ktk kheri,

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k หลายเดือนก่อน

      Anti sio muislam kwake sawa tu

    • @maryammdoe5801
      @maryammdoe5801 หลายเดือนก่อน +1

      @@user-cj2kl7cd9k
      Kwa huyo kusa sasa ndo mtihani anatakiwa atoke kwenye zinaa haraka kabla mauti hayajanfika, Allah atuongoze sote ktk mema na atufishe ilhali tumetubu toba ya kweli ameen yaarab.

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k หลายเดือนก่อน

      @@maryammdoe5801 ALLAHUMMA AAMIN

    • @user-bc3lh5ss6c
      @user-bc3lh5ss6c หลายเดือนก่อน

      Ameen

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah mm nampenda always shis beautiful ❤

  • @RachelMwamini-wt4tq
    @RachelMwamini-wt4tq หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda bure❤❤dada

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l หลายเดือนก่อน +8

    Hta mimi nilikua na mwanaume nilimpenda sana nyumban wakiniuliza kuhusu ndoa nikawa najibu simtaki kumbe bwana ndo hataki kunioa😢 inaumiza

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz หลายเดือนก่อน

      Inaumiza kwa kweli

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 หลายเดือนก่อน

      Umeongea ukweli

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 หลายเดือนก่อน

      Ila ni mrembo sijui kwann hawatulii wawe na familia bora

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      ​@@mwitaagness455uzuri ni mtihani

    • @Shakila-pq2gv
      @Shakila-pq2gv หลายเดือนก่อน

      Duuh mtihani 😢😢😢

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 หลายเดือนก่อน +3

    Aunt ❤🎉

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar หลายเดือนก่อน +2

    Mnakujaga Kwa mbwembwe mwishoni linawashuka

  • @GraceSamson-kk7qx
    @GraceSamson-kk7qx หลายเดือนก่อน +1

    🎉❤

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 หลายเดือนก่อน +4

    i watoto wawili au watatu🤔🤔

    • @rehemayona2223
      @rehemayona2223 หลายเดือนก่อน

      @@True20137 okay 🤔

  • @wingracemosha860
    @wingracemosha860 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna watz wa hovyo sana et wako bize anazeeka anazeeka kwahiyo mlitaka abaki kijana mnachekesha nyie viumbeeee... .. Haya watz msiotaka kuzeeka sijui mnataka kufa vijana(18-45)

  • @nancychesang9567
    @nancychesang9567 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa uzee gani nyie Aunt bado mbich sana

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 หลายเดือนก่อน

    Umri unavyoeanda ndio kifo kinakaribia mara leo pap umeondoka utaenda kujibu nn na maisha hayo unayoishi ya kuzini kussah oa umstir mwezio na kesho yake kaburin na akhera

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 หลายเดือนก่อน +3

    Sssa ww mtangazaji unamuuliza aunt Ezekiel suala la ndoa.?..kishamaliza mwendo na anajua kabisa ndoa kwake ishamtupa mkono..!

    • @millycentgati2541
      @millycentgati2541 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni Mungu? Wewe ndio huwapa watu ndoa?

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 หลายเดือนก่อน

      @@millycentgati2541 ...kwanza neno MUNGU ungeandika Kwa herufi kubwa, halafu ndio u comment

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z หลายเดือนก่อน

    KWAIYO KUSSA KAGOMA KABISA😊😊,,MPAKA IMEKUWA LIWALO NA LIWE..

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 หลายเดือนก่อน +22

    huyu dada anamtumia kussa na kumpotezea muda wake kama kijana wa kiislam mwenye ndoto zake za maisha na Aakhera,wataishia kuzini mpaka lini na lidada lisilo na imani ya dini,ashasema hana mpango wa kuolewa"vipi ukae na kijana mdogo ambae hajatimiza ndoto zake na suna ktk imani yake!ukijua huna mpango wa kuolewa ni utafute mtu wa aina yako mnao fanana! Mtihani kweli huu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 หลายเดือนก่อน +3

      Lijimama la hovyo sana cjui kwanin hyo kusa hajielewi kama dunia ni mapito na Allah hapendi zinaa zinaa ni uchafu mbona akae na mzinifu mwanamke hana Imani anaishi bila mipaka hamjui Allah😢😢😢

    • @user-mz6lq3gr9l
      @user-mz6lq3gr9l หลายเดือนก่อน +11

      Achani kumshambulia ant mtu hawezi kusema kila kitu huwenda kusa ndio hana nia ya kumuoa , ant hawez kuomba ndoa mtandaoni anajiskia vbya me ni mwanamke najua

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 หลายเดือนก่อน +3

      Kusa ndio anamtumia sio yy anamtumia kusa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 หลายเดือนก่อน +3

      Kusa kijana anayependa kitonga

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur หลายเดือนก่อน

      ​@@josephlorri431kitonga ndiyo nini

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 หลายเดือนก่อน

    Uko na mpango wa kuzizi

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 หลายเดือนก่อน +1

    🤣🤣 kwel ndoa hapana maana watu wanaishi njoo tukae vizur tu tena kwa mda ila wakifunga ndoa tu bas hata mwaka hauishi wameacha

  • @alsam4881
    @alsam4881 หลายเดือนก่อน

    Je watu tunaoishi nje ya nchi tutaona wapi hiyo tamthilia ya Jiya?

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 หลายเดือนก่อน

    Aunty nakupenda lkn ndoa unaitak kama anampenda kussah kwann ndoa asitake jmn , bas aachane nae au amuache kaka wa watu 😂

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o หลายเดือนก่อน

    Sasa utaki ndoa unataka nini,usituchanganye bwana, uyo kijana aoe basi

  • @MaryamAlly-yk7zh
    @MaryamAlly-yk7zh หลายเดือนก่อน

    Oregano sas wee umekuwa mkubwa umri umeenda sana kwako

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน

    Nani nasikiya kama miye 😂😂😂😂😂Iyi indis

  • @user-is9vl2dr7p
    @user-is9vl2dr7p หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ni mbibi mwache kusah achukue kijana mwenzake we ni bi mkubwa

    • @maryamathman8917
      @maryamathman8917 หลายเดือนก่อน

      Sasa kwani ameshikwa lazima jamani😂😂😂, umenifurahisha kweli😂😂😂

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha หลายเดือนก่อน

      Kwani alimfata haoni kama ni mzeee alimpendaaaa 2

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok หลายเดือนก่อน

    Eti ndoa apana,loooh hana hata hofu ya MUNGU,uzinifu tu

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 หลายเดือนก่อน

    Auntie Ezekiel sasa umeezeka, mikunjo inaongezeka usoni. Tulia na ubibi wako unampotezaa muda Kusah bure. Tabia zako za hovyo zinajulikana. Nawe Kusah acha kupenda mtemko, ishi maisha yampendezayo Mwenyezi Mungu, ww ni Kijana wa Kiislam huyo Shangazi au Mwalim Mkuu wa nini? Anakupotezea muda bure.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      Kwani kafungwa kamba na si alimuona ni Mzee alimfuta wa Nini, likija la ohivyoo kweli

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 หลายเดือนก่อน +8

    Mbona anaonekana kuzeeka mnajidai tu achen kukremu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 หลายเดือนก่อน +1

      Uasherati

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv หลายเดือนก่อน +1

      Filter

    • @user-ru6ct4rh3t
      @user-ru6ct4rh3t หลายเดือนก่อน +1

      Ni kweli kabisa kazeeka

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha หลายเดือนก่อน

      Kwani anti ni mzee kuliko wenginee mfano zari mbona ndo mzeeee lakini hasemwi

  • @lucywille-sm6lp
    @lucywille-sm6lp หลายเดือนก่อน

    Kwan vijana wakristo hawna ndoto na alimwita.

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน

    Mashavu yameteremuka

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 หลายเดือนก่อน +3

    Kajitunza na nn akat kashazeeka we mtangazaj kiongo unamjaza😂😂😂😂

    • @magejuliani5293
      @magejuliani5293 หลายเดือนก่อน

      Tena kazeeka kweli kweli ha ha haaa

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 หลายเดือนก่อน +1

    Umezeeka make up inawatowaga

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper หลายเดือนก่อน

      Nimegundua huyu ni over 40, mwangalie shingoni

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k หลายเดือนก่อน +1

    Umezeekaa Sasa dada

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 หลายเดือนก่อน +2

      Hata wewe utazeeka dooooh au wewe ni jiwe utabaki km ulivyo😮😮😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      ​@@mwitaagness455nawashangaa wanaosema unadhani wao hawatazeeka

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw หลายเดือนก่อน

    Mbona mzee

  • @aamaasm2141
    @aamaasm2141 หลายเดือนก่อน +1

    🎉mbona sura imezeeka hata kucheke uso una kunjaa

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k หลายเดือนก่อน

      Maamuzi yake hayahusiani na vipi muonekano wake upo sasa kazi kwenu ashasema kweli yake dada wa watu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      ​@@user-cj2kl7cd9khawajitafakari wao wakiwa na umri wake wataonekanaje

  • @Zainab-qg6xv
    @Zainab-qg6xv หลายเดือนก่อน

    No filter 😂uzee huo

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 หลายเดือนก่อน

    Mama kuki uko poa thana unazeeka na utam wako nakupenda thana 🎉