Ee bwana yesu imarisha fikra zangu ongoza atua zangu Linda familia yangu wtoto simama na mtumishi wako ibada ya hii madhabau ee mungu sikiza roho yako amen
Asante mtumishi wa Mungu mimi kwakweli nimeguswa namuomba Mungu anisainie anikombolee fikila zangu hakiliangu nimezulumiwa mimi nikipanga hiki najikuta nimefanya kile ambacho si sahihi nasiyo kile nilicho kipangilia mimi nayumbayumbisha mpaka nimechoka,,,,,😭😭 niombeyeni mimi sina lakusema hapa nimeishi wa nguvu kwakweli kila unacokiongea nimimi niombeye asante sana mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana!!!
amen,nachelewa kuhudhuria ibada lakini naamini mungu analo kusudi na mimi kipitia hii madhabahu takatifu mungu ponya fikra zangu katika jina la yesu kristo aliye hai
Yesu komboa fikra zangu na unitenganishe na maroho yanayonishirikisha ili kunikamata fikra zangu,neno lako linasema Yeremia 17:7 Anayemtegemea Bwana hataaibika nmekutegemea we we mungu kwa kila hali nsaidie unikomboe
Namshukuru Mungu wa madhabahu hii ya Siri za biblia Anatukomboa fikra zetu Barikiwa sana mtumishi.
Asante Mungu kwa kunipa kibali cha kuweza kushiki Ibada hii ya ya leo kwa muda na wakati kama huu 🙏🏿🧎
Asante bwana Kwa roho wako
Ee bwana yesu imarisha fikra zangu ongoza atua zangu Linda familia yangu wtoto simama na mtumishi wako ibada ya hii madhabau ee mungu sikiza roho yako amen
Na mimi Mungu ana saidiye ni juwe na fasi yangu ya roho. Amen !
Mungu nimepokea kwa imani kubwa amen
NAOMBA mungu unisaidie kukomboa fikra zangu amen
Amen amen,,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Baba wa mbinguni naomba unikomboe ukombozi wa Fikra zangu Amina
Ee mungu aliziumba mbigu na nchi zifanye fikra ze2 ziwe juu yako na utuongoze katika dunia hili na mpoto nikiomn kwa Iman baba ulie hai utayenda emen
Amina mwalimu Mungu anisaidie ili nikombowe fikra yangu.
Asante mtumishi wa Mungu mimi kwakweli nimeguswa namuomba Mungu anisainie anikombolee fikila zangu hakiliangu nimezulumiwa mimi nikipanga hiki najikuta nimefanya kile ambacho si sahihi nasiyo kile nilicho kipangilia mimi nayumbayumbisha mpaka nimechoka,,,,,😭😭 niombeyeni mimi sina lakusema hapa nimeishi wa nguvu kwakweli kila unacokiongea nimimi niombeye asante sana mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana!!!
Yehovah imarisha fikra zangu ongoza hatua yangu,yaani naona kama hili somo limekuja kwa ajili yangu, ubarikiwe na Mungu.
Asante mungu kwakuniwezesha kushiriki ibada hii
Mungu wambinguni akubariki sana pasta 🇨🇩
Kweli baba madeni yanatesa maisha Yangu mungu nisaidie kukomboa fikra zangu amen
Asente mungu kwa somo hili ya madhabau ya Siri ya biblia 🙏🙏
Amina
❤ nafunguliwa fikra zangu mungu nimwema kwangu
Mungu wangu naomba unifugue fikira zangu
Mungu nisaidie kufungua fikra yangu
Asante Mungu kwa kunifungulia madhabahu haya ili nijitengeneze makosa yangu nilikua sijitambui ila nashkuru mtumishi wako antifungal kwa kila hatua
Bwana Jesus, Asante
Amina kusema kweli shetani amenitesa sana now namshukulu Mungu sana
Amen asante Mungu kwa maarifa haya
amen,nachelewa kuhudhuria ibada lakini naamini mungu analo kusudi na mimi kipitia hii madhabahu takatifu mungu ponya fikra zangu katika jina la yesu kristo aliye hai
Mungu akubariki sana pasta
Mungu wambinguni atusikiye🇨🇩
Mungu akubariki sana pasta🇨🇩
Asante yesu🙏
Amen Mtumishi 🙏 🙏
Mungu nifungue
Yesu komboa fikra zangu na unitenganishe na maroho yanayonishirikisha ili kunikamata fikra zangu,neno lako linasema Yeremia 17:7 Anayemtegemea Bwana hataaibika nmekutegemea we we mungu kwa kila hali nsaidie unikomboe
Mungu fungua fikra yangu kikweli mimi ni wa kwanza.apa.
Ubalikiwe mtumishi wa Mungu' tukombolewe fikra zetu!
🙏
Ni mimi uyu kabisa 😩😩😩😭
5:04 5:05
Namshukuru Mungu wa madhabahu hii ya Siri za biblia Anatukomboa fikra zetu Barikiwa sana mtumishi.