Hongera sana MZEE mwinyi mtoto usiyekua na kashifa katika wizara zote alizopitia ana sifa zote zakua rais kula yangu ungeipata kama nigekua mkazi wa zanzibar
Mh. Hussein Mwinyi huyo kiongozi Ana upendo sana mwonekana wake ni thabiti sana huwa nampenda sana nimefurahi sana Mungu akutangulie kushika kijiti cha Dr.Shein utaweza kwa msaada wa Mungu
hongera sana kaka, ALLAH akufanyie wepesi katika jukumu hili ulokabidhiwa. Na ndugu zangu niwaambie hili jambo ni kubwa na tumuombee sana kwa ALLAH ampe subra na uvumilivu na hekima ktk kuyaendea majukum yake...
Awe Raisi wa Tanzania kwa misingi ipi, acha undezi ww hii nchi sio ya kurithishana, Kwanza huko Zanzibar kwenyewe kushinda mwaka huu ni ndoto. Hata wakiiba haitawezekana yet kuwa Raisi.
Acheni ujinga mnaolalamika suala la usultani sijui upuuzi gani. Nendeni kapekueni uraisi wa Marekani ulipoanzia hadi sasa familia ngapi zimeiongoza Marekani kunako kiti cha uraisi? Wale waengereza hakuna cheo cha uraisi pale kwa sababu wana Raisi wa kudumu kutoka familia moja ya kifalme. Tuache siasa za maji taka mtu Kama ana uwezo wa kuongoza haihalisi anatoka familia gani la msingi uwezo wake kuongiza
Ss ikiwa leo sarllem Mtunze unajua thamani y usultani n historia yke kwnn wapinzani zanzbar mnawambia wakitawala watarudisha usultani? Naomba jawabu maana methali z kiswahili zinamaana “Nyani halioni kundule”
Nothing was planned. Kwani nyerere hana watoto, mbona hawajawah kugombea urais? Kwani Magufuli hana watoto mbona hata hatujui wanafanya nini na wako wapi... ni sawa mtoto wa kigogo akikutwa anafanya kazi BOT watanzania tunaanza kulalamika, kwahiyo mtoto akiwa wa kigogo akasoma vzuri akafauru vzuri na gpa kali haruhusiwi kuajiriwa bot sababu ni mtoto wa kigogo?
Najuwa limewaumiza sana huu ni uteuzi sahihi kwa wakati sahihi. Limepangwa vipi wakati taratibu zote za Uteuzi zimefuatwa tena kwa uwazi. Kwenye CCM hakuna hiyo kitu pamoja na kasoro nyingi zilizopo lakini kwa hili la kupata Viongozi wake "...... wanastahili sifa waliyoiasisi CCM na kuilea".
Yani tangu yule maasai apige B7, Saiv kila mtu jina lake laiza Ushamba huo, Watu tulikuwa tunawasikia miladi ayo , saiv utasikia nani nani laiza Ayo Ni ushamba, watu wanatafutia kiki jina laiza
Watu wengi wanalaumu eti uongozi wa usultani, wa kurithishana.Jamani tuache wivu, km MTU ana vigezo na nidhamu na ameiva kisiasa kwa nini asichaguliwe? Record yake iko vizuri na kwa kifupi huyu mazingira yake kimaisha yalimuandaa hata hiyo nafasi inamfaa.Tusifoc kufanana na watu lazima tuwe tofauti.Neema ya Mungu iko juu yake.
ni mtoto wa kishuwa ila amejiweka katika maisha ya kawaida sn nakama humjui vizuri huwezijuwa kama ni mtoto wa kishuwa, amejuwa kuishi na watu ndiomana nimskivuu sana
Jiandaeni (mahaini )mwaka huu hakuna kurudia uchaguzi n'gombe atakavyo lala ndivyo tutakavyo mchinja tutagawana nyama, mkitaka kuendelea kutuona wadhaifu tunaapa mara hii Wallah Wabillah Watallah hatutokubali n'gooo tutapambana hadi tuone mwisho wa Zanzibari na wazanzibares hapo sasa rabda uje kutawala miembe na mikarafuu.
Kuchagua na kuchaguliwa ni HAKI ya kila Mtanzania haijalishi unatokea familia gani. Na hii sio Zanzibar tu hata USA kulikuwa na Al - Bush, Al - Regan pia Kenya kuna Al - Kenyatta. Binafsi nimependa kwa vile hakutokea Kusini wala Kaskazini ya Unguja wala ya Pemba ambapo mara nyingi hujengeka Ukanda. Pia namkumbuka Al - Karume ambae kwa maoni yangu kaongoza vizuri katoa ajira nyingi (hakuna aliyesomea fani akakosa ajira ya fani yake), kapandisha mishahara, kaanzisha Chuo Kikuu (kabla yake hakukuwa na Mwalimu wa Degree "O level" darasani leo hadi std 1 wapo, uwezo wao ni mjadala), kajenga miundo mbinu ya barabara, kaeneza simu za mikononi, kajenga Maofisi ya Serikali badala ya kutumia nyumba za watu, ukistaafu unalipya chako hapo hapo, kaboresha hali ya kisiasa kupunguza uhasama (Sasa umeongezeka maradufu) nk. Kama kweli unazungumzia "Usultani" mbona humshangai Mgombea wa ACT ambae alikuwa Waziri Kiongozi wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi miaka 36 iliyopita na leo bado hii anaonekana kwenye "Ballot papers" anagombea Urais na mtoto wa Boss wake. Usultani zaidi ni upi hapo? Ana lipi jipya ambalo ataifanyia Zanzibar na hakufanya hivyo "has no legacy" akiwa Kiongozi mkubwa muandamizi wa SMZ akiwa Mjumbe NEC CCM, Waziri Kiongozi, Makamo wa 1 wa Rais. Hata CUF alikoondoka ambako alikuwa "Account Officer" Katibu Mkuu kwa zaidi ya miaka 25 chama kikiwa na ruzuku, michango ya wanachama, misaada ya nje na ndani nk siku anaondoka anaimanisha watu CUF haina mali yoyote, wala CHOCHOTE. Dr. Mwinyi kateuliwa na chama chake kwa utaratibu waliojiwekea kwa Uhuru na uwazi. Mimi nitamchagua Dr. Mwinyi naomba kura ya NDIO kwa Wazanzibar wote kwa Dr. Mwinyi.
Yeye tu au Maalim Seif anahusika? Naona hiyo aya ipo zamani na Maalim alikuwa Waziri Kiongozi miaka 36 iliyopita, Mjumbe NEC CCM miaka 40 iliyopita, Makamo 1 wa Rais miaka 6 iliyopita, Katibu Mkuu wa CUF kwa miaka 25 akipokea ruzuku kutoka Serikalini, michango ya wanachama, misaada ya ndani na nje nk na alipoondoka anatuambia CUF haina mali yoyote na hujamfikishia aya hii tukufu inayohitaji kuzingatiwa na kila aliyeamini uwepo wa Mungu kupitia Mtume Muhammad SAW. Tena hivi sasa Zahra ulitakiwa ufurahi sana na umpigie kura ya NDIO Dr. Mwinyi hao ndio wenyeji wenu Unguja. Bila Rais Ali Hassan Mwinyi usingepajuwa Unguja, hii kujifanya ni Wazanzibar zaidi kuliko mliotukuta mnaitowa wapi? Zanzibar ni Unguja SIO Pemba. (ZANZIBAR AND PEMBA PEOPLE'S PARTY) Hilo ni jina halali la chama cha siasa kilichotafuta ridhaa ya kuongoza Serikali ikijuwa vyema Pemba SIO Zanzibar na mkizidi kero mtafukuzwa.
Kila mtu ana mawazo yake ,lakini kwa Zanzibar bado maendeleo yetu ni madogo sana kwa upande wangu mimi inanisikitisha sana ,hakuna kiongozi ambae anafuatilia mambo kwa karibu na kuhakikisha yanafanyika kwa uhakika ,mfano ujenzi wa barabara ,barabara ni nyembamba kisha pia ubora wake ni mdogo sana ndani ya miezi sita barabara imeshaanza kuchimbika na kufanya mashimo na mambo mengine mengi tu ambayo sijayataje ,hali hiyo inasisononesha sana hasa nikienda miji ya nchi jingine .
Dynasties dynasties dynasties after Hussein Mwinyi Ridhiwan Kikwete will be the Next president of Republic of Tanzania,January Makamba, we need new names in politics,
Mmesahau tulishaambiwa tangu awamu yapili ya sheni kuwa akimaliza anakuja huyu ilibakia kudhihirishwa 2 hongera kwake tunaomba salama inshaallah awe na imani na huruma na atakao waongoza
Abuelo Longavida: mnaonaje kutokana na uzoefu mkubwa na umahiri ktk field ya udaktari angetibu wagonjwa wenu af maalim seif alosomea siasa na pia ni mzoefu ktk uongoz mkampa jukum la kuongoza
Kifo cha mkapa bado hakijalipa deni la Ngamia (4455) kwa kila marehem mmoja ni Ngamia(99) watulipe sisi wafiwa tumsameh, hawataki kutulips hatumsameh ng'ooo.
Mbona wizara ilimshinda si ndiye huyu ambaye ni waziri wa ulinzi,mbona ujambazi ulikuwa mkubwa sana mabank yalivamiwa mpaka vituo vya polisi vilivamiwa hakuna kitu hapo labda abadirike la sivyo hiyo kazi ni mzigo kwake.
Huyu Huseni Mwinyi natamani angekua raisi wa Tz bara alafu aongoze nchi kama alivyo ongoza Baba yake wapambanaji tujae minoti kama wale waliofurahia maisha enzi za mstaafu Baba yake
Kwani mpaka huyu pia ni mwizi,kwani pia ana njaa we umekosea njia sana. Huyu labda atimize ndoto zake tu na sio kama fikra zako pesa kwao hawa sijui lini zitaishi tena za utumishi tu serekalini sio za dhana yako mzee haji shikamooo mzee
Yupo zanzibar kwa masilahi yake na kuna watu hapa znzibar hawajielewii kwa mfano alio maliza kusoma tu faidi aliipeleka tanganyika mbona hakuja hospital yetu ya mnanzi moja kuseidia wanzibar alienda hospital ya tanganyika kaja zanzibar kwa ajali ya kimaslahi na mijitu wengine ndio hivo wanashangalia huyu sio mzalendo bali ni kwa zanzibar kwani faida yske ya kiekelimu aliitumikia tanganyika na sio zanzibar
Hahaha jifurahisheni lakin Kwa kura zanzibar uyo hapiti kama uchaguzi utaenda kihalalai mana wazanzibari ccm ushatutosha yani sisi wazanzibar kipenzi chetu bana maalim seif tuuu msituzonge sisi hatutaki wakuja bana vp nyinyi machogo
Sawa ni mtoto wakishua,dizain ya watu hawa hawajawahi kupitia though life so it's so hard kujua maisha ya uswahilini ,hawezi kutatua matatizo ya walalahoi cause njaa haijui but any way .
Elimu ni bure km ukishindwa kusoma sasa somesha wanao kwa hasira awamu hii. Dereva wa daladala ana pesa hashindwi kununua madaktari na sare za shulu kwa mtoto.
Congrats Hon. Hussein Mwinyi. Wishing you all the best.
Kama na ww uliamini Mwinyi atapita twende pamoja
Kama waleeee unamuamini wewe tuu
Hongera Mungu akutangulie unaweza kufanya mambo makubwa
Hongera sana MZEE mwinyi mtoto usiyekua na kashifa katika wizara zote alizopitia ana sifa zote zakua rais kula yangu ungeipata kama nigekua mkazi wa zanzibar
Well spoken... namkubali sana mwinyi, Jeshi linamuelewa sana.
Congrats Mh. Hussein 👍
Mh. Hussein Mwinyi huyo kiongozi Ana upendo sana mwonekana wake ni thabiti sana huwa nampenda sana nimefurahi sana Mungu akutangulie kushika kijiti cha Dr.Shein utaweza kwa msaada wa Mungu
hongera sana kaka, ALLAH akufanyie wepesi katika jukumu hili ulokabidhiwa. Na ndugu zangu niwaambie hili jambo ni kubwa na tumuombee sana kwa ALLAH ampe subra na uvumilivu na hekima ktk kuyaendea majukum yake...
Hongeraaaaaa . Kidumu chama cha mapinduzi, na zidumu fikra za viongozi waasisi wa nchi hii ya Tanzania.
Born to be a leader nice hussen
Mtoto wa nyoka ni.... ! Twende kazi kaka ya mzee wa ruksa. 👍🏽👍🏽👍🏽💪
Hongera sana kaka Mwinyi
Doctor mwinyi nakuomba umchague mbarawa kuwa makamu wa raisi wazanzibar yule atakusaidia kazi vzr sana
Hakika
Nice Ccm.
Ni kweli anaunyenyekevu sana he is for all people
Mungu ambarik na ampe nguvu aendelee kutusimamia wazanzibari na watanzania kwa ujumla
Mungu akuezeshe kua kiongozi mwema na kuitetea nchi yako ya zanzibar na wananchi wako na kua mzalendo mzuri
Mungu akutangulie. Akupe afya Njema
Jamani vp tena mtu mwenye shahada ya udaktari apewe mkuu wa mjeshi tena awe raisi hivo tunakwenda wspi watanzania.
very nice
Nampenda kwasabb ana khofu yamungu
Hongera yke
Welcom zanzibar
Angesubiri Tu ...
Aje Awe Rais Wa Tanzania Magu Akitoka Madarakani ...
Namkubali Sana Huyu Mwamba ...
Awe Raisi wa Tanzania kwa misingi ipi, acha undezi ww hii nchi sio ya kurithishana, Kwanza huko Zanzibar kwenyewe kushinda mwaka huu ni ndoto. Hata wakiiba haitawezekana yet kuwa Raisi.
@@akshaydavid159 ameshakua sasa rais unakipi cha kutuambia?
real amazing presid..!
Mtoto wanyoka na yeye nyoka
Safi sanna
Hongera tena Mwinyi ulistahili
Hongera Sana Dr Hussein mwinyi.
Amchaguwe mbarawa kwani ana tamaa yakuwa Rais ?
Huyo mtu mstarabu mpaka basi Mungu amuinue tu
Mungu akubari uwe raisi%
Good statement
Acheni ujinga mnaolalamika suala la usultani sijui upuuzi gani. Nendeni kapekueni uraisi wa Marekani ulipoanzia hadi sasa familia ngapi zimeiongoza Marekani kunako kiti cha uraisi? Wale waengereza hakuna cheo cha uraisi pale kwa sababu wana Raisi wa kudumu kutoka familia moja ya kifalme. Tuache siasa za maji taka mtu Kama ana uwezo wa kuongoza haihalisi anatoka familia gani la msingi uwezo wake kuongiza
Ss ikiwa leo sarllem Mtunze unajua thamani y usultani n historia yke kwnn wapinzani zanzbar mnawambia wakitawala watarudisha usultani? Naomba jawabu maana methali z kiswahili zinamaana “Nyani halioni kundule”
Allah amjalie hekma aje kuwafikiria wale mashekh ambao wapo mahabusu hadi leo maana kama angepata Masauni wasingetoka abadan
Basi powa powa atuangalie watu wa chini hasa mifumuko ya bei it's hate to much this shit!!
Hapana kitu hapo, wapenda dunia tu awo, izo sifa mbele ya Mwenyezi Mungu ni sawa na majivu matupu
@@alvinbenito9115 bio
It was planed for a long time, nothing new on this, now, they're just painting & decorating with attractive colours & apperance.
True!!!!!!.
Can you tell us when was it planed? Was you there? Stop this nonsense comments.
Nothing was planned. Kwani nyerere hana watoto, mbona hawajawah kugombea urais? Kwani Magufuli hana watoto mbona hata hatujui wanafanya nini na wako wapi... ni sawa mtoto wa kigogo akikutwa anafanya kazi BOT watanzania tunaanza kulalamika, kwahiyo mtoto akiwa wa kigogo akasoma vzuri akafauru vzuri na gpa kali haruhusiwi kuajiriwa bot sababu ni mtoto wa kigogo?
I s'y t''t planted t ''t guy
Najuwa limewaumiza sana huu ni uteuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Limepangwa vipi wakati taratibu zote za Uteuzi zimefuatwa tena kwa uwazi. Kwenye CCM hakuna hiyo kitu pamoja na kasoro nyingi zilizopo lakini kwa hili la kupata Viongozi wake "...... wanastahili sifa waliyoiasisi CCM na kuilea".
Hongera sana rais wetu mtarajiwa allah akujaalie wepesi ishaallah
I love this
Yani tangu yule maasai apige B7,
Saiv kila mtu jina lake laiza
Ushamba huo,
Watu tulikuwa tunawasikia miladi ayo , saiv utasikia nani nani laiza Ayo
Ni ushamba, watu wanatafutia kiki jina laiza
Watu wengi wanalaumu eti uongozi wa usultani, wa kurithishana.Jamani tuache wivu, km MTU ana vigezo na nidhamu na ameiva kisiasa kwa nini asichaguliwe? Record yake iko vizuri na kwa kifupi huyu mazingira yake kimaisha yalimuandaa hata hiyo nafasi inamfaa.Tusifoc kufanana na watu lazima tuwe tofauti.Neema ya Mungu iko juu yake.
Dr.mwinyi hongera sana
Waokupinga ni wivu tu.nakutamani uwe Rais wangu.
Wazanzibari mmekwishi kwisha kwisha kabisa kifo cha mende mlie tu mcheke mna mbavu
atari
Hiyo ilikuwa wazi
kweli hela inatembea kwenye hela wakishua ataishi kishua tu kubali kataa
Hongera dr Mwinyi tayari wewe ni Rais wa zanzibar.
Bila uchaguzi au znz hamna chama chochote kinashinda zaid ya wizi tu
@@saifysaid7556 ahhhhaaah yaakhe hata kwa bao la mkono nishindwe mie H?
Huyu jamaa Ni smart
Maisha Yote Mwenye Nacho huongezewa tu !
Umeona eeee
Yuko vizur
ni mtoto wa kishuwa ila amejiweka katika maisha ya kawaida sn nakama humjui vizuri huwezijuwa kama ni mtoto wa kishuwa, amejuwa kuishi na watu ndiomana nimskivuu sana
Ana dini ukiwa na dini haijalishi umezaliwa na nani na unatoka tabaka gani
Sasa nchi ishapewa jeshi kazi kweli kweli
Mzalendo kweli kweli...apewe nchi tena ni vile John yupo ungefaa uwe Raisi wa Jamhuri
Mtoto wa dr
Hajazaliwa Zanzibar uwongo
Jiandaeni (mahaini )mwaka huu hakuna kurudia uchaguzi n'gombe atakavyo lala ndivyo tutakavyo mchinja tutagawana nyama, mkitaka kuendelea kutuona wadhaifu tunaapa mara hii Wallah Wabillah Watallah hatutokubali n'gooo tutapambana hadi tuone mwisho wa Zanzibari na wazanzibares hapo sasa rabda uje kutawala miembe na mikarafuu.
Mungu akuongoze ufanikiwe ktk uchaguz na uwe kiongoz mwema wanzanzibar tuna imani na wewe
Mungu atamuongoza na tuzidi kumuombea ili alete Zanzibar mpya pia
Ccm hoyeeee
Usultani bado unaendelea kaondoshwa al-said halafu
al-karume sasa al-mwinyi
Baadae atakuja Al_sheni.
Kuchagua na kuchaguliwa ni HAKI ya kila Mtanzania haijalishi unatokea familia gani. Na hii sio Zanzibar tu hata USA kulikuwa na Al - Bush, Al - Regan pia Kenya kuna Al - Kenyatta.
Binafsi nimependa kwa vile hakutokea Kusini wala Kaskazini ya Unguja wala ya Pemba ambapo mara nyingi hujengeka Ukanda. Pia namkumbuka Al - Karume ambae kwa maoni yangu kaongoza vizuri katoa ajira nyingi (hakuna aliyesomea fani akakosa ajira ya fani yake), kapandisha mishahara, kaanzisha Chuo Kikuu (kabla yake hakukuwa na Mwalimu wa Degree "O level" darasani leo hadi std 1 wapo, uwezo wao ni mjadala), kajenga miundo mbinu ya barabara, kaeneza simu za mikononi, kajenga Maofisi ya Serikali badala ya kutumia nyumba za watu, ukistaafu unalipya chako hapo hapo, kaboresha hali ya kisiasa kupunguza uhasama (Sasa umeongezeka maradufu) nk.
Kama kweli unazungumzia "Usultani" mbona humshangai Mgombea wa ACT ambae alikuwa Waziri Kiongozi wa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi miaka 36 iliyopita na leo bado hii anaonekana kwenye "Ballot papers" anagombea Urais na mtoto wa Boss wake.
Usultani zaidi ni upi hapo? Ana lipi jipya ambalo ataifanyia Zanzibar na hakufanya hivyo "has no legacy" akiwa Kiongozi mkubwa muandamizi wa SMZ akiwa Mjumbe NEC CCM, Waziri Kiongozi, Makamo wa 1 wa Rais. Hata CUF alikoondoka ambako alikuwa "Account Officer" Katibu Mkuu kwa zaidi ya miaka 25 chama kikiwa na ruzuku, michango ya wanachama, misaada ya nje na ndani nk siku anaondoka anaimanisha watu CUF haina mali yoyote, wala CHOCHOTE.
Dr. Mwinyi kateuliwa na chama chake kwa utaratibu waliojiwekea kwa Uhuru na uwazi.
Mimi nitamchagua Dr. Mwinyi naomba kura ya NDIO kwa Wazanzibar wote kwa Dr. Mwinyi.
Acheni upumbavu kuwa mtoto wa rahisi sio kushindwa kuwa raisi nawewe
Na wee kuwa kiongozi ili mwanao naye akakanyage nyayo zako. Uongozi unatoka Kwa Mungu. Hivyo kuna spirit huwa inafuatilia.soma historia vizuri
@@eddimalon6051 Kama mtu Hana coment ya maana atulie asome za wengine spate uzoefu.
Mwinyi ni mpole sana
Ajue tu km Allah anamtizama kwani kila mchunga ataulizwa kwa alichokichunga.
Yeye tu au Maalim Seif anahusika? Naona hiyo aya ipo zamani na Maalim alikuwa Waziri Kiongozi miaka 36 iliyopita, Mjumbe NEC CCM miaka 40 iliyopita, Makamo 1 wa Rais miaka 6 iliyopita, Katibu Mkuu wa CUF kwa miaka 25 akipokea ruzuku kutoka Serikalini, michango ya wanachama, misaada ya ndani na nje nk na alipoondoka anatuambia CUF haina mali yoyote na hujamfikishia aya hii tukufu inayohitaji kuzingatiwa na kila aliyeamini uwepo wa Mungu kupitia Mtume Muhammad SAW.
Tena hivi sasa Zahra ulitakiwa ufurahi sana na umpigie kura ya NDIO Dr. Mwinyi hao ndio wenyeji wenu Unguja. Bila Rais Ali Hassan Mwinyi usingepajuwa Unguja, hii kujifanya ni Wazanzibar zaidi kuliko mliotukuta mnaitowa wapi? Zanzibar ni Unguja SIO Pemba. (ZANZIBAR AND PEMBA PEOPLE'S PARTY) Hilo ni jina halali la chama cha siasa kilichotafuta ridhaa ya kuongoza Serikali ikijuwa vyema Pemba SIO Zanzibar na mkizidi kero mtafukuzwa.
@@hajihassan5433 oya kijn juuu umeanza uzuurii ila chini naona unaropokwa 2
Nitafute zahra 0778911880
Sasa alisoma misr primary school 1984 _1985 misr akasoma secondary akasima utiruki utabibu mwaka wa 1985 mtangazaji hii video yako imo mistake
Zanzibar bana we acha tu hio ndio faida ya mapinduzi
Hatutaki Feraoh
Hes so smart. Ccm safari hii wametuletea raisi wa uhakika msomi wa nguvu na kijana mshupavu kwa kweli nimefurahi sanaaaaaa.
Kila mtu ana mawazo yake ,lakini kwa Zanzibar bado maendeleo yetu ni madogo sana kwa upande wangu mimi inanisikitisha sana ,hakuna kiongozi ambae anafuatilia mambo kwa karibu na kuhakikisha yanafanyika kwa uhakika ,mfano ujenzi wa barabara ,barabara ni nyembamba kisha pia ubora wake ni mdogo sana ndani ya miezi sita barabara imeshaanza kuchimbika na kufanya mashimo na mambo mengine mengi tu ambayo sijayataje ,hali hiyo inasisononesha sana hasa nikienda miji ya nchi jingine .
Fm
Dynasties dynasties dynasties after Hussein Mwinyi Ridhiwan Kikwete will be the Next president of Republic of Tanzania,January Makamba, we need new names in politics,
MUUMBA AWAAJAALIEEE
Mmesahau tulishaambiwa tangu awamu yapili ya sheni kuwa akimaliza anakuja huyu ilibakia kudhihirishwa 2 hongera kwake tunaomba salama inshaallah awe na imani na huruma na atakao waongoza
Anafaaa kweli!!!!
Hana mpya
😍
Mbona hamsemi alikua kwenye bunge la Africa mashariki
Huyo Mwinyi ni chaguo la mafisiem sio Zanzibar, na mwaka huu kamwe haitawezekana.
baraka mangufuli
Ibrahim sio mtoto wa mam jamila. Ni mtoto wa mke wa kwanza wa hussein mwinyi.
Kila lakhr ila atende haki tu akitenda haki tutamunga mkono ila asipotenda haki tutamlani allah akusmamie bana
Moyo wangu upo saaafiii kwa huyu jamaa kushika nafasi hiyo
Msimuliaji ungejifunza kiswahili kwanza kama umeamua kusimulia makala zako kwa lugha ya kiswahili.... KWAHANI ni ngumu ila hata ALI huwezi kuitamka!
#Mbio za vijiti #ccm oyee #mapinduzi daima
Sijui kwa nini nafsi yangu ilikuwa inamtaka Makame Mbarawa , lakini sina sababu yyt , simjui hanijui , basi tu nilikuwa napenda awe yeye .
Kwa kweli hata mm nilipenda awe Mr Mbalawa, tatizo CCM wanabebana wao na familia zao wamemuacha.kiongozi mahili dah
@@sheryphamwenevalley6124
Yaani acha tu .
Unishindi mimi nilivyokuwa nilivyokuwa nampenda makame mbarawa basi tu
@@tibasaid3169
Mimi kwakweli nilitamani awe Professor Mbarawa , ila ndio hivyo tena haikuwa rzki yake , basi awekwe popote achape kazi .
MWINYI anatishaa, nimtu asie jiskiaa napia anaishi najamii zote hata za halinya chini sna
Akishakuwa rais wa Zanzibar yote atayaacha hayo
@@aishamuhammad7785 Ndio eti, Rais haiwezekani acheze kijiweni. Mimi ninamatumaini nae sana atafanya vizuri kama Rais Mstaafu Amani Karume.
Milad naomba mawasiliano kunakazi
Letu jicho
Misri kwa pesa za wananchi
Huyu ilkuwa tupewe pale mnazi mmoja atibu wagonjwa, lkn ndo siasa inauwa field za watu
Man of principles
Hata Maalim Seif ilikuwa tumpate pale F. Castro tuna upungufu mkubwa wa Walimu wa Geographia Form six.
Madaktari unaweza kupata kwingine ila kiongozi sio rahisi sana...
Haji Hassan: Maalim Seif ana degree ya politics asa kwa geography so mzr km rais sheni amewafungulia chuo cha politics bas maali anafaa vzr
Abuelo Longavida: mnaonaje kutokana na uzoefu mkubwa na umahiri ktk field ya udaktari angetibu wagonjwa wenu af maalim seif alosomea siasa na pia ni mzoefu ktk uongoz mkampa jukum la kuongoza
Kifo cha mkapa bado hakijalipa deni la Ngamia (4455) kwa kila marehem mmoja ni Ngamia(99) watulipe sisi wafiwa tumsameh, hawataki kutulips hatumsameh ng'ooo.
Siyoo muslim ww anae kufanyiaa bayaa bhac mlipe mema acha ugombanish ww kwanza niambie una miaka mingap usiwee unahadisiwaa tyuuu
Mbona wizara ilimshinda si ndiye huyu ambaye ni waziri wa ulinzi,mbona ujambazi ulikuwa mkubwa sana mabank yalivamiwa mpaka vituo vya polisi vilivamiwa hakuna kitu hapo labda abadirike la sivyo hiyo kazi ni mzigo kwake.
Unazungumzia majukumu ya waziri wa Mambo ya ndani na yy alikuwa waziri wa ulinzi Ni wizara mbili tofauti.
kwa hiyo yy haikumuhusu..
Mashehe waliofungwa kama wanamakosa wahukumiwe nakama hakuna makosa wa achiwe
Aende hospital akatibu wagonjwa charity
Huyu ni mpole sana Zanzibar haiwezi kwa ilipo fikia anatakiwa mtu kama Magufuli
Sula yake tu inatosha kuzihirisha kuwa yeye ni rais.#HAPA KAZI TU
Huyu Huseni Mwinyi natamani angekua raisi wa Tz bara alafu aongoze nchi kama alivyo ongoza Baba yake wapambanaji tujae minoti kama wale waliofurahia maisha enzi za mstaafu Baba yake
Hahahaha
Kwa hiyo wanawekana to mana zanzibar imekuwa kama mwanamke malaya kila mmoja aje kujifundishia kuwaweka watu na njaa kali na mji mbovu na wiz
Kwani mpaka huyu pia ni mwizi,kwani pia ana njaa we umekosea njia sana. Huyu labda atimize ndoto zake tu na sio kama fikra zako pesa kwao hawa sijui lini zitaishi tena za utumishi tu serekalini sio za dhana yako mzee haji shikamooo mzee
Kuna maeneo hayajakaa sawa kwa huyu msimuliaji haswa matukio katika miaka
Anaekubali kuwa wazanzibari tumekwisha agonge like
Zanzbr hkuna Rais anae mueza Magufuli.
Hana nafasi wazanzibarian wenyewe watamchagua nani atakuwa kiongozi bora
Nilichokipenda jana upigaji kura wao ulikua live hakuna kukatwakatwa wala wala siri ni ushindi wa halali kabisa
Wacfu umetumwa kwa kukurupuka, ina makosa mengi. Kwa mfano mwaka 1984 hadi 1985 baba yake alikuwa Rais wa Zanzibar na c balozi nchini Misri
Kweli hata kidato1 hadi4 miaka 2
Msomaji mwenyewe Chenga, Kiswahili Tu kinampiga chenga.. Eti Hali Hassan..
Baada ya Ally Hassan
Y
Pmj na yote amejitahidi huyu Msimulizi, tusimchukulie kwa mapungufu yake
Basi tufanye hajasoma
Hivi kwa nn Zanzibar inatawaliwa na madokta? Swali jengine mwinyi utafuata nyayo za baba yako au utafuata nyayo za Ali Mohd sheini
Zubeir Salum muombee aongozwe na bwana na asaidie wana Zanzibar
Kwani madokta ni magaidi?
MUNGU amfanye kuwa mtwala kwa wazanzibar wote. Cc ccm tushapigia kula ya ndio
Yupo zanzibar kwa masilahi yake na kuna watu hapa znzibar hawajielewii kwa mfano alio maliza kusoma tu faidi aliipeleka tanganyika mbona hakuja hospital yetu ya mnanzi moja kuseidia wanzibar alienda hospital ya tanganyika kaja zanzibar kwa ajali ya kimaslahi na mijitu wengine ndio hivo wanashangalia huyu sio mzalendo bali ni kwa zanzibar kwani faida yske ya kiekelimu aliitumikia tanganyika na sio zanzibar
Uzanzibari na uzanzibara unao.
Hahaha jifurahisheni lakin Kwa kura zanzibar uyo hapiti kama uchaguzi utaenda kihalalai mana wazanzibari ccm ushatutosha yani sisi wazanzibar kipenzi chetu bana maalim seif tuuu msituzonge sisi hatutaki wakuja bana vp nyinyi machogo
Apo faulo lazma
Si wajomba wanawachochea hivyo wakitaka kurudi tena Zanzibar. Wazalendo lazima wajitawale.
Sawa ni mtoto wakishua,dizain ya watu hawa hawajawahi kupitia though life so it's so hard kujua maisha ya uswahilini ,hawezi kutatua matatizo ya walalahoi cause njaa haijui but any way .
Labda hujui tuu, huyu Dr. Mwinyi kakulia uswahilini waliishi tandika mtaa wa kivungo
@@mohamedkilemile3058 swadaqta
Hata mie nina doubt. Kwani hakuna wazanzibari wengineo? Jimboni kwake huko unguja alifanya nini labda
Huyu ndio mzuri manake hata anza kujilimbikizia Mali
Mashallhaaaaaa inallhahaaa maaswabilinaaaa
Aha rais wa baraza la mapinduzi znz vizur.
Cc watoto wa madereva daladala na wauza mitumba hizi CV tutazisikia tu
😥😥😥 acha tu ndg yang
Mipango ya Mungu acha tu. Unaweza ukajikuta uko juu bila hivyo vyeti. Hebu fikiria tu Leo Laizer alivyo na anasema hakusoma
Usijilemaze, fuatilia historia ya JPM ili ikutoe ulemavu akilini
@@kiyabolnjemu9646 nimekuelewa mkuu, tatizo letu ni akili
Elimu ni bure km ukishindwa kusoma sasa somesha wanao kwa hasira awamu hii. Dereva wa daladala ana pesa hashindwi kununua madaktari na sare za shulu kwa mtoto.
Wakisure huyu hajui shida
Shahada ya udhamini ni nini
Master