Dundukas akili zao ni dundukas tu --- waliwaacha. Baleke na Moses Phiri wakawaleta Fredy Funga funga na Jobe --- sasa wanawaondoa na kuleta wengine " wasubiri miaka 10 "
Hivi nyinyi waandishi hapa Tanzania timu iloacha wachezaji ni Simba tu? au ndio mko katika kuipaka matope Simba ? Hem wacheni uchawa huo kueni wanahabari mnapotoa habari namkienda kwenye uchawa kaeni mbali na taarifa
Huyu ni pendekezo la drogba na bahari itamwagika na mawigi yatapeperuka na Kuna mungine waaa anaekekea kushindwa ni vijimambo ya komedolian anaevumiliwa pale ukoloni
Safi sana musemaji wet
Leo semaji letu umeongea ukweli tupuuu
Kwa usajili wa kutoka jobe , Fred , onana na mukwala.... Yanga wapo vzr habar za GSM, sijui wanatoka bahasha , Mara chama mzee ...... Ni kichaka tu
Dundukas akili zao ni dundukas tu --- waliwaacha. Baleke na Moses Phiri wakawaleta Fredy Funga funga na Jobe --- sasa wanawaondoa na kuleta wengine " wasubiri miaka 10 "
Wachambuzi hawa changamoto sana wanamchambua kimaono sana kuliko uhalisia wa mchezaji
Huyu jamaa anajua sana kuchambua wachezaji
Simba wako na mihemuko, wanaenda bila plans kwa kuskiza mashabiki bila mpango!
Tulia dgo hujuw kitu
sisi wenye mihemko ni WA 7 Africa nzima.. nyie wangapi?? .😂😂😂😂😂😂😂..
Tanzania miaka mitatu unashika nafasi ya ngapi? Na utaendelea kushuka kiwango ndani ya miaka mitano. Ijayo@@ibrahimally8073
@@bili-films Kweli hamna plan.
Fungafunga, ameshindwa kufunga 😂😂😂
Dah Fred wang
Tumekaa nae mwaka mmoja tumeona uwezo wako hauridhishi lazima ilituladhimu lazima tupate mchezaji mwengine
Kispika ni Comedian
Hivi nyinyi waandishi hapa Tanzania timu iloacha wachezaji ni Simba tu? au ndio mko katika kuipaka matope Simba ? Hem wacheni uchawa huo kueni wanahabari mnapotoa habari namkienda kwenye uchawa kaeni mbali na taarifa
Usinune uwo ndio ukweli ulivyo.
Uyo Ateba mechi 16,goli 1.
Fred mechi 8, magoli 7, nani zaidi.
@@mussammanga7791 haha mwanamme mzima et "usinune" hii si ndo sawa na "wee huogopi" kauli za kishoga shoga tu sawa sinuni shot
@@user-fi6hb3lp5y Umekimbia hoja.
Tutamkumbuka tu
Huyu ni pendekezo la drogba na bahari itamwagika na mawigi yatapeperuka na Kuna mungine waaa anaekekea kushindwa ni vijimambo ya komedolian anaevumiliwa pale ukoloni