DUDU BAYA AFICHUA MADUDU YA SARAH WA DIAMOND, WAMEFANYA UPUUZI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 51

  • @mustafamichenje7020
    @mustafamichenje7020 หลายเดือนก่อน +13

    Nazipenda sana interview za Dudu Baya. Najifunza mengi sana. Mustafa Michenje from Pemba Mozambique❤

    • @Admirah77
      @Admirah77 หลายเดือนก่อน

      Wasalimie wa naz batata spensao na markado kariakoo😊

    • @Admirah77
      @Admirah77 หลายเดือนก่อน

      Wasalimie wa nas batata imolansao na merkado kariakoo

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e หลายเดือนก่อน +8

    Bigger up dude baya...unajua kuelezea....

  • @AllenMwalimu
    @AllenMwalimu หลายเดือนก่อน +6

    Bro wew ni mkubwa Tanzania..be blessing bro

  • @wapnewsTv
    @wapnewsTv หลายเดือนก่อน +24

    wote tunaomkubali dudu baya like ziwe nyingi hapa

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 หลายเดือนก่อน +4

    Dudu baya nakukubali sana kijana wangu you're very very genius fanya tuwasiliane kuna vitu nataka ni share na wewe

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤
    Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏

  • @user-xc5or1ph8x
    @user-xc5or1ph8x หลายเดือนก่อน +2

    chini ya utatu mtakatifu Ameen

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 หลายเดือนก่อน +5

    Umepngea ponti sana

  • @damianwambura8314
    @damianwambura8314 หลายเดือนก่อน +1

    Mbengo TV wanampenda sana dudu

  • @user-el7vo4up8n
    @user-el7vo4up8n หลายเดือนก่อน +8

    Muwe mnamlipa bhana

    • @user-fu2gz2lq1j
      @user-fu2gz2lq1j หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa sio Wana patawao tuu

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 หลายเดือนก่อน

      Unataka kumwaribu sasa. Sio maisha yake.

    • @salumuseif3324
      @salumuseif3324 หลายเดือนก่อน

      analipwa hafany bure anatoa content

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 หลายเดือนก่อน +2

    Du bara ni ❤❤

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free หลายเดือนก่อน

    Dudu baya ni level nyingine

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 หลายเดือนก่อน +3

    Eti kulinda walevi

  • @SamidaKhamis-vm7od
    @SamidaKhamis-vm7od หลายเดือนก่อน

    Yup know how to explain big up

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr หลายเดือนก่อน +2

    ❤ mamba dudu baya

  • @blacksingapore
    @blacksingapore หลายเดือนก่อน +2

    Leo nimekuwa wa kwanza eti ku watch,😂😂

  • @elvisnzovu8282
    @elvisnzovu8282 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa sana, kuishi na mwanamke miaka mingi sio kigezo cha kumuoa

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o หลายเดือนก่อน +1

    Hapo umekoseya, nenda kamwambiye tayari walishakuwa namawasiliyano kitambo

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 หลายเดือนก่อน +2

    Kwamba kama mbwa mwenye fangus 😂😂😂

  • @namukwayamweshihange8866
    @namukwayamweshihange8866 หลายเดือนก่อน

    Nikweli kabisa

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 หลายเดือนก่อน +1

    🤙🙉

  • @abashamad9929
    @abashamad9929 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya unanifunza sana nakusikiliza nipo omani

  • @tupomwanjala6535
    @tupomwanjala6535 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂nimecheka leo hii ila baba wille wee kiboko et anafinywa mpaka wipi

  • @TuliyaKalunga9
    @TuliyaKalunga9 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya nakukubali

  • @mwanamkeshujaabongoflavama7180
    @mwanamkeshujaabongoflavama7180 หลายเดือนก่อน +2

    Wana tafuta content anatakiwa aanze kuchukuwa malipo

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b หลายเดือนก่อน

    Heee psa ya karatasi imebandikwa Kwa super glue!?😢

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 หลายเดือนก่อน

    DUDU ni jeshi hanaga ujinga

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy หลายเดือนก่อน

    Diamond akamuoe Sara kwa kweli

  • @hamzaismail14
    @hamzaismail14 หลายเดือนก่อน

    Story Kama ya kwangu

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim4128 หลายเดือนก่อน

    Sasa unakata wese la nini konk

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 หลายเดือนก่อน +1

    Ninataka number ya Dudubaya

  • @fatumaabdul2278
    @fatumaabdul2278 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂🙌🙌

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 หลายเดือนก่อน

    Bora uvue mtandio usitiri mwili wako dada.

  • @sifakenga7870
    @sifakenga7870 หลายเดือนก่อน

    Konki nkubali

  • @awazioga1823
    @awazioga1823 หลายเดือนก่อน +1

    Oil chafu

  • @ABDIKASIM-qe4lc
    @ABDIKASIM-qe4lc หลายเดือนก่อน

    Konki umepigaje hapo

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 หลายเดือนก่อน

    Dudu baya konki master mwamba putin

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 หลายเดือนก่อน

    Konki×3

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @officialK-looh
      @officialK-looh หลายเดือนก่อน

      Wee ndo maria mwenyewe mtoto wa dudu😂

  • @Lewinglovbi6699
    @Lewinglovbi6699 หลายเดือนก่อน +1

    Acha uwogo ww ndo mkorofi bhana ao wanawake wote akuna ata mmoja mwenye tabia nzuri?

  • @shaloboy3861
    @shaloboy3861 หลายเดือนก่อน +1

    Wana habar bure kabisa amuna maswali ni daimond kila mara dudu apendi maswali ya kimapenzi muulize kuusu harakati

  • @eriqemarson2362
    @eriqemarson2362 หลายเดือนก่อน

    Sauti imeshaenda mrama! 😂😂😂 Pale leaders sijui kama tutajaa!