HAPANA- Mkemwema Choir (official video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- #mkemwema #gospelsongs #official #hapana
Karibu usikie na kutazama wimbo HAPANA wenye kumsifu MUNGU na kukujenga kiroho kutoka kwao MKEMWEMA CHOIR.
KARIBU SANA TUMSIFU MUNGU
Usisahau ku LIKE, COMMENT na SUBSCRIBE
Phone No.:0624405955
Email:vijanachoirmkemwemakasulu@gmail.com
Wimbo wa injili kutoka Kwaya ya Vijana, F.P.C.T Kasulu Mjini - Kigoma. Tunaamini ukiusikiliza kwa makini wimbo huu, Utabarikiwa zaidi. Asante na MUNGU wa mbinguni akubariki. Amen!
_________
Song: Hapana
Artists:AMkemwema kwaya, F.P.C.T Kasulu Mjini - Mkemwema Choir
Video Album: UMEINGIAJE?
_________
►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya UMEINGIAJE?👇🏽👇🏽
🔘Umeingiaje? ~ • UMEINGIAJE- Mkemwema c...
🔘Tutafute Kitambulisho ~ • Utafute kitambulisho -...
🔘Ingolane ~ • INGOLANE- Mkemwema cho...
🔘Sauti ya Watu ~ • sauti ya watu- Mkemwem...
🔘Maisha bila lengo ~ • Maisha bila lengo- Mke...
🔘Tukae tutafakari ~ • Tukae tutafakari- Mkem...
🔘Mwanamume ~ • Mwanaume - Mkemwema ch...
🔘Ni faida gani ~ • Ni faida gani- Mkemwem...
🔘Wewe ni Mungu wetu ~ • Wewe ni Mungu wetu Mke...
_________
►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
🔘Instagram ~ / amkemwemakwaya
🔘Facebook ~ / amkemwemakwayatz
🔘Twitter ~ / amkemwemakwaya
_________
►Mawasiliano Zaidi
📞 Simu: +255 755717519
📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
_________
Haki zote zimehifadhiwa©2018.
Wimbo Mzuri sana huu, Tena wa viwango vya Juu sana. Mungu na Awabariki sana
Moja ya albam nzuri kuwahi kutokea, kila mala huwa sichoki kuzisikiliza nyimbo hizi natamani miaka ijirudi nyuma turudi enzi izo
Mbalikiwe nyimbo zenu tunazikubali.ujumbewenu ni tosha
Very heart touching and blessing songs, be blessed and keep it up always.
Bwana ni mkuu kupita majina yeyote mbarikiwe sana turabakunda cane
Muhezagirwe chane yani kabisa Imana izobahe igichibo ubujumbe bwiza chane murakoze
Amen uhezagirwe nawewe
Mtaishi sana mioyoni mwetu kiukweli. Mlikaa sana ROHO hamkukurupuka msikose mnachohitaji kwa jina la Yesu. AMENI AMENI AMENI
Kweli kabisa
Imana ishimwe chane!mlakoze imana ibhahezagile ndabhashima chane
ULakoze chane umwana wiMana.
Albamu hii ya mke mwema ni ya upako mwingi mno .mbarikiwe sana
Wimbo wa WANAFUNZI WALIJIFICHA ,tunauombeni
Bonge la Song
MUNGU awabariki
Aise mom nakumbuka mama angu alivyokuwa mwanakway ivyo ivyo rip mom😢😢
Pole ndugu
Eee Mungu uwabariki watumishi wako popote walipo Ameni!. Hii albam yenu haijawahi kuchuja we like your songs🙏
Nyimbo zenu nazipenda mno zinanibariki sana na kila nikisikiliza najikuta machozi yananitoka nyie watumishi mliimba mkiwa kwenye uwepo wa Mungu na hata kabla ya kutoa albam zenu inaonekana huwa mnafanya maombi sana
Amen Amen 🙏
HakikaMNGUapewediuyimbo,zuzakutukuzamkuuwake
Wimbo tamu kweli. Tena ulioratibiwa vizuri sana. Hunibariki kila ninaposikia. Barikiweni sana.
Bwana Mungu awazidishie neema ya kutunga nyimbo zaidi na zaidi...
Nimezipenda nyimbo zenu, Barikiweni sana.
Simply Divine, lovely people and sublime music.
Jamani huu wimbo nimeutafuta kwa miaka na mikaka.
Hata mimi yaan siamini kama nmeupata. Kwenye ile album ya mke mwema ndo ulikuwa wimbo wangu bora tofaut na wengi waliopenda mke mwema uliobeba album
Mi ndo nikaandika kwanza eti hapana nikaukosa kbx sijui nikaandika choir ya wanafunzi ndo nikaona choir mke mwema baba ndo alikua ana kaseti basi ndo tukawa tunaskiliza enzi hizo Mungu awajazie balaka n'a rehema wakamuone Mungu amen
Hakika Mungu ndiye mkuu. Mbarikiwe watumishi wa Mungu
Dumuni saana katika kuomba , miongoni mwaa wenye akili hakuna kama mungu
Good song, Mungu awabariki waimbaji wote
Yes... Wananifariji Sana kasulu sijui wanatokea nchi gan
Nicolaus Mosesi kigoma wilaya kasulu
Please, please I want mkemwema choir songs especially bwana twakutukaza now the songs are blocked at u tube if anyone can send me these songs I will highly Appreciat please please. I m Kelvin in Zambia send via whatsapp 0964282577
Daaa.aiseee nyimbo nxur kila mda ni laxima niskirixeee.mubarikiwe San
Festo Rafael wimbo was Mungu ni mkuu mubarikiwe endeleeni kukunza kipaji kwaya kasulu vijana
SAFI SANA .Mkowapi?
Hakika bado nyimbo zinaendelea kutubariki sana.
hoñgelé
mutuongezee izi nyimbo za kasulu zinatubariki sana ninazisikia sana nikiwa kuwait zinanifariji sana
Nawpenda sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amen God bless you 🙏🙌
Nawpenda sana
Mbarikiwe sana 🙏
Ongeleni xana. Kundi la Mungu. Nyimbo zenu baado Zina utamu wake .
Hakika ni nyimbo zinazonibarik sana,Mungu azid kuwabariki mno
Nawezaje kupata album zenu zote?
Mungu awabariki sana. Mlifanya kazi kubwa sana.Kazi yenu hii itadumu milele na milele
Amen ! Mungu awabariki sana ! Amen Amen ! Allelluiaaa 👐🏾💙🕊🕊🕊
mubalikiwe saña
Napenda uyu wimbo
Nawapenda sana
Napenda kuskiliza nyimbo zetu
Patrick Shukuran wimbo wa Mungu ni mkuu mubarikiwe na Bwana yesu
Hakika Roho wa Mungu yupo nanyi.
Mtunzi wa nyimbo hizi ziwa alilolinyonya libarikiwe,walakini waimbaji wote wabarikiwe. D.Nzovu manyovu.
Amen
Please hii album nitaipataje
Amen amen mungu awabaliki sana amenth-cam.com/video/eeNy8SVjwU8/w-d-xo.html
Nawakubali sana