Hallelujah Hallelujah pastor,asante kwa maombi haya,yamenibariki saana,Mungu asante kwa ajili ya mtumishi wako,Pastor Innocent,asante kwa madhabahu hii ya siri za Biblia.Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia neno hili.
Shalom mtu wa Mungu,nimejisikia kubarikiwa sana na maombi haya,Mungu wa mbinguni akubariki na madhabahu ya SIRI ZA BIBILIA.. KUMBUKA FLASH MTU WA MUNGU.. maombi haya ya mfungo huu yametujenga sana Kiroho.
Baba katika jina la Yesu naomba ninulie watu sahihi kwenye biashara,kazini,na watu watakao nishika mkono kiuchumi na naomba uniinulie mume sahihi 2024🙏
Mungu nichoomba sai uniinulie mtu sahihi mwaka huu 2024,katika maisha yangu, mwanaume sahihi, marafiki sahihi, mwana biashara sahihi, katika jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏❤
Amen🙏🙏Haya na maombi ya haja ya Moyo wangu Mungu nikumbuke na mimi mwaka 2024,niinulie mtu sahihi katika kazi yangu na maisha yangu,mtu sahihi katika famila yangu,wazaziz wang,kaka na dada zangu,na wadogo zangu shuleni,mtu sahihi katika mahusiano yangu mimi na Evance,kazi ya evance ,na familia yake uinue mtu sa hihi.Amen🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu naomba uniinulie nami watu sahihi wa kutembea nao katika aspects za uchumi,kazin, pita na kwenye mahusiano yangu, kwenye tumbo langu, katika familia yangu ,,Amen
Amina baba naomba MUNGU akaniinulie watu sahihi wakuambatana nao katika maisha yangu, amuinulie mume wangu watu sahihi wakuambatana nao , na uzao wangu YESU ukawainulie watu sahihi wakuambatana siku zote za maisha yetu watu wasiokuwa sahihi wakapukutike katika maisha yetu kwa jina la YESU Kristo wanazareth
Ameen ameen baba naomba watu sahihi katika maisja yangu😢 nisaidie kupta mtu sahihi katika mahusiano yangu Mungu nipe mtu sahihi kwa kila.jambo nitakalofanya acha Mungu unitangulie
Mungu aliyetuumba tuinulie watu wema kwenye maisha ya familia yangu tuwezwe kuwa makini katika maisha yetu ambao ambao wataweka maongezeko mema katika maisha yetu na milango ya mafanikio waingie kwenye familia hii roho ya Jonathan kwa daudi iingie kwenye familia yetu
Amen amen,asante sana Mtumishi wa Mungu kwa kuwa munatuombea kwa kila siku nakututajia mema,Mwenyezi Mungu aniinulie mtu sahihi wakunifikisha mbali kwa kimwili na kiroho.Amen amen amen
Exactly 💯🙌 mtumishi wa MUNGU wa madhabahu hii ya siri za Biblia ni sahihi kabisa kwa unacho kifundisha leo kwenye madhabahu hii asubuhi hii ya leo ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mungu wangu niletee watu sahihi kwenye maisha yangu kwenye kukujuwa wewe Mungu Mimi na mke wangu ktk uchumi na biashara yangu na mke wangu tuletee ambaye atabatana na Sisi waruhusu waondoke ambao sio kusundi lako tunahitaji mwenye kusundi lako aliyebeba makusundi sahihi pukutisha kwenye maisha yetu2024 pia waletee na wadogo zangu uzao wa tumbo la mama angu Juliana waletee watu sasa kwenye wokovu wao na kwenye masomo yao ambao watawafanya wawe vichwa pamoja na mama Martin mletee mtu sahihi atakayefanya nikutane na mtoto Wangu Martine na mawasiliano yatokaye kwako pukutisha wanaofanya nikae mbali Mimi na Martin Mungu wangu nikumbuke kama aulivyomlete Daudi ulipomleta Yonathani namimi nwitaji Yonathani wang
Mungu nipe maarifa yako ya kuwatambua watu sahihi maana wewe unawajua pia mpe na mke wangu watu sahihi walifanya nap biashara Kwa sababu MUNGU ndo partner ship wake Mungu kawalete kutoka kwako na uachilie maarifa yako Mungu
Bwana naomba mwaka huu uniinulie mtu sahihi kwa maisha yangu pamoja na familia yake pia utuondolee marafiki walio kwa maisha yetu ili kuturudisha nyuma
Mungu akuinulir pia na wewe mtumshi mtu wa kukushika mkono katika maisha yako mwaka huu 2024🙌🙌🙌🙌
Amen 🙏
Hallelujah Hallelujah pastor,asante kwa maombi haya,yamenibariki saana,Mungu asante kwa ajili ya mtumishi wako,Pastor Innocent,asante kwa madhabahu hii ya siri za Biblia.Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia neno hili.
Asante Mungu hulie hai Nipatie watu Saihihi Kutoka Kwako Nakamsupendavyo Wewe bwana
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah
Shalom mtu wa Mungu,nimejisikia kubarikiwa sana na maombi haya,Mungu wa mbinguni akubariki na madhabahu ya SIRI ZA BIBILIA..
KUMBUKA FLASH MTU WA MUNGU.. maombi haya ya mfungo huu yametujenga sana Kiroho.
Baba katika jina la Yesu naomba ninulie watu sahihi kwenye biashara,kazini,na watu watakao nishika mkono kiuchumi na naomba uniinulie mume sahihi 2024🙏
Mungu nichoomba sai uniinulie mtu sahihi mwaka huu 2024,katika maisha yangu, mwanaume sahihi, marafiki sahihi, mwana biashara sahihi, katika jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏❤
Pia nawe Mungu akuinulie watu sahihi wa kusimama nawe kwenye hio huduma aliokuitia kwa jina la Yesu
Ameen Jehova nakusihi Bwana wangu walio sahihi wabaki na wawe chachu ya mimi kukutukuza na kukuinua na wasio sahihi waondoke Jemedari
Ooohhh hallelujah BABA nilete niunganishe na mtu sahihi MUNGU nisaidie nipe hekima,maarifa na kuelewa 😭😭😭😭🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️🙇♂️
Amen🙏🙏Haya na maombi ya haja ya Moyo wangu Mungu nikumbuke na mimi mwaka 2024,niinulie mtu sahihi katika kazi yangu na maisha yangu,mtu sahihi katika famila yangu,wazaziz wang,kaka na dada zangu,na wadogo zangu shuleni,mtu sahihi katika mahusiano yangu mimi na Evance,kazi ya evance ,na familia yake uinue mtu sa hihi.Amen🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌🙌
Niinulie watu sahihi , kwenye maisha yangu 🙌🏽🙌🏽🙌🏽 wabaya wote watoke naasha mulango wazi .
Mungu naomba uniinulie nami watu sahihi wa kutembea nao katika aspects za uchumi,kazin, pita na kwenye mahusiano yangu, kwenye tumbo langu, katika familia yangu ,,Amen
Amina watu wa Mungu, Mungu abariki siri za Madhabawo na Pastor innocent Mashauri uwezo wa Mungu uwe pamoja nawe ❤❤
We thank God for his grace today ❤
AMEN 🙏 Mungu naomba ukainue na kuniletea watu sahihi katika maisha yangu na kila asiyekua sahihi ukamuondoe kwa jina la Yesu Kristo
Amina baba naomba MUNGU akaniinulie watu sahihi wakuambatana nao katika maisha yangu, amuinulie mume wangu watu sahihi wakuambatana nao , na uzao wangu YESU ukawainulie watu sahihi wakuambatana siku zote za maisha yetu watu wasiokuwa sahihi wakapukutike katika maisha yetu kwa jina la YESU Kristo wanazareth
Ameen ameen baba naomba watu sahihi katika maisja yangu😢 nisaidie kupta mtu sahihi katika mahusiano yangu Mungu nipe mtu sahihi kwa kila.jambo nitakalofanya acha Mungu unitangulie
Amen Niko Kenya mungu aninulie MTU Sahihi wakuninuwa kiwango cha juu katika biashara ya ngu amen mungu barikiwa
Mungu wangu naomba uniinulie watu sahihi ktk maisha yangu 🙏🙏🙏
Amen amen mtumishi wangu napokea neno
Amina ubalikiwe sana mtumishi wa mungu mwezi wa tano ukawe ni mwezi wa kushaini nyota yangu na kisiwepo kitu chochote kitakachobuguzi maisha yangu
Ee Bwana wangu na Mungu wangu nikumbuke Jehova Nissi
Mungu akamuondoe mtu ambae si sahihi katika maisha yangu akamlete mtu sahihi katika maisha yangu katika mwaka 2024 kuanzia. Leo hiii
Asante Roho mtakatifu kwa haya maombi na masomo umeniongelea sana nimeingizwa shimoni sababu ya watu najipandikia 😓😓😓😓 Mungu niekee wazuri
Ameni napokea Kwa jina la yesu oooooh yes Lord 🙏🙏🙏 nahitji watu sahihi yesu katika mwaka huu
Mungu wangu nakuomba uniinulie watu sahihi ktk maisha yangu Baba nisibaki kama nilivyo niweze kufanyia kazi kipaji ulichoniumbia Jehova
Mungu aliyetuumba tuinulie watu wema kwenye maisha ya familia yangu tuwezwe kuwa makini katika maisha yetu ambao ambao wataweka maongezeko mema katika maisha yetu na milango ya mafanikio waingie kwenye familia hii roho ya Jonathan kwa daudi iingie kwenye familia yetu
Amen mtumishi nawe pia Mungu akuinulie mtu sahihi wa kukushika mkono barikiwa
Amen amen,asante sana Mtumishi wa Mungu kwa kuwa munatuombea kwa kila siku nakututajia mema,Mwenyezi Mungu aniinulie mtu sahihi wakunifikisha mbali kwa kimwili na kiroho.Amen amen amen
Bwana YESU naomba uniinulie watu sahihi katika maisha yangu
Napokeya mtusahii katika kilaeneho yamahishayangu kwa jina la Yesu
Mungu aniinulie mtu sahihi wa kunishika mkono kwa habari ya mtaji 5,000,000 Sina shaka na wewe Bwana na Mungu wa madhabahu hii umetenda napokea
Mungu wangu akaniinulie watu sahihi kweli maisha yangu na wale wasio sahihi wakaondoke kwa jina la Yesu kristo
Naomba Yehova uniletee watu. Sahihi katika maisha yangu na uzao wangu
Mungu naomba uniinulie watu sahihi kwenye maisha yangu 🙌🙌
Exactly 💯🙌 mtumishi wa MUNGU wa madhabahu hii ya siri za Biblia ni sahihi kabisa kwa unacho kifundisha leo kwenye madhabahu hii asubuhi hii ya leo ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ee Mungu maombi haya usinipite katika jina la Yesu 2024 uwe mwaka wangu
Mungu naomba uniinulie mtu sahii kwenye maisha yangu Amen Amen🙏🏼🙏🏼
Eeewe mungu naomba unikumbuke na mimi uniinulie watu sahihi katika maishani mwangu .
Ameen
Mungu naomba uniinulie watu sahihi sahihi katika maisha yangu yote ya duniani
Ameeen, Mungu nipe uwezo na macho ya kumtambua Mtu sahihi
Asante yesu... niletee rafiki sahihi kwa jina la yesu.
Amen amen aninuulie mutu sahihi katika maisha yangu
Amen Mungu niondolee marafiki wasio na faida kwangu unipe mtu WA kuniinua🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa Mungu Ee Mungu Naomba uniinulie watu sahihi ktk maisha yangu yote.
Mungu niinulie watu sahihi katika maisha yangu,mwaka huu Wa baraka nikawashangaze waliotamani nishuke Amen
Amen
Baba Mungu wangu, naomba mapenzi yako yatimizwe katika maisha yangu.
Amen amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💌💌💌💌💌💌💌💌💌
Nmepokea mtu sahihi Kwa Imani na Mungu akubariki sana Kwa maombi
Ee Mungu Baba nisaidiee katka maisha yangu,na familia yangu
Mungu wangu niletee watu sahihi kwenye maisha yangu kwenye kukujuwa wewe Mungu Mimi na mke wangu ktk uchumi na biashara yangu na mke wangu tuletee ambaye atabatana na Sisi waruhusu waondoke ambao sio kusundi lako tunahitaji mwenye kusundi lako aliyebeba makusundi sahihi pukutisha kwenye maisha yetu2024 pia waletee na wadogo zangu uzao wa tumbo la mama angu Juliana waletee watu sasa kwenye wokovu wao na kwenye masomo yao ambao watawafanya wawe vichwa pamoja na mama Martin mletee mtu sahihi atakayefanya nikutane na mtoto Wangu Martine na mawasiliano yatokaye kwako pukutisha wanaofanya nikae mbali Mimi na Martin Mungu wangu nikumbuke kama aulivyomlete Daudi ulipomleta Yonathani namimi nwitaji Yonathani wang
Naomba Mungu wangu niinulie watu sahihi kwenye biashara yangu 🙏🙏
Ee Bwana naomba umwinulie bibi yangu mtu sahihi wa kukaa nae na kumsaidia kazi tenda Baba kwa neema yako kuu
Amen Amen i receive perfect people in my life in the name of Jesus
Mungu aniinulie mtu sahihi katika maisha yangu ambaye atanishika mkono nakuniinua
Bwana wew ndyo nguvu zangu na uhai wangu nakukimbilia ww n kkutukuza pokea sifa n utukufu bwan kwa kuwa wew ndiyo utoshae🙏😊♥️
Eee MUNGU naomba unipe watu sahihi wakunisaidia katika maisha yangu biashra yangu na mume sahihi
Mungu naomba uinulie watoto wangu msaidizi wakumsaidia yesu😭😭😭
Napokea Kwa Jina la Jesu Kristo Amen
Mungu Naomba uwainuwe uwatae watoto wangu mtu saaahi
Amina Amina.Nimepokea hii neema.Mungu aniletee mtu wa sawa kwa maisha Yangu mwaka huu
I receive I receive I receive I receive I receive I
Ameeen niletee watu sahihi ambao sio Sahihi eeeh yesu naomba uwaondoe wote
Amen Amen 🙏 Balikiwa sana Pastor pamoja na family yako
Napokeya Kwa jina la YESU kristo amen
Mungu azid kukupa maarifa ya kibiblia mtumish
Asante mungu kwakuwa umeondoa Kila alie kuwa c sahihi kwangu na kumleta Ambae ni sahihi kwangu...
Mwenyezi Mungu. Niinulie watu sahihi, kwa Damu ya Yesu
Amen tunaishi na MUNGU wa mbinguni akubariki sana mtumishi
Mungu wangu naomba uniinulie mtu sahihi kwenye maisha yangu 🙏🙏🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Mungu nisaidie niko katika ali gumu tenderea familia yangu na wazizi wangu bwana nipe watu sahihi ndio bwana
Amen pastor, nimefarijika na ibada hii. Mungu atusaidie
I receive I receive I receive I receive I receive
Eeh Mungu umesema utatoa watu wa ajili yangu na kabila za watu kwa ajili ya maisha yangu, , nakuomba utoe sasa hao watu waje kunisaidia😭😭🙏🙏
Ee Mungu naomba uniinulie mtu sahihi wa kuingia nae kwenye ndoa takatifu wasiosahihi wasiinuke
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥 amen🙌🙌🙌
Ameen mungu usiniachea na mm leo Uniinurie watu sahihi kwenye masomo yangu❤❤❤
Bwana yesu asifiwe mtumishi
Shalom mwana wa Munguuuuu........i believe your a truly man of God ...God bless youuuu so much indeed .....
Mungu Naomba uniinulie mtu sahii kwenye maisha yangu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Mungu nipe maarifa yako ya kuwatambua watu sahihi maana wewe unawajua pia mpe na mke wangu watu sahihi walifanya nap biashara Kwa sababu MUNGU ndo partner ship wake Mungu kawalete kutoka kwako na uachilie maarifa yako Mungu
Amina mtumishi unasema kweli kabisa mungu akubaliki sana
Mungu naomba niinulie mtu sahihi kwenye maisha yangu
Niinulie watu sahihi katika maisha yangu eewe Mungu na uwapukutishe watu ambao sisahihi kwasababu walikua kwangu na hawakua wa kwangu
Amen Amen 🙏🙏.
Timizaa baba kusud lako katika maisha yangu..
Nawaendee tu... kwa Jina la Yesuuu🙏
Mungu aniinulie idadi ya watu sahihi katika maisha yangu
Mungu akubarik sana mtumishi wa mungu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Huuu mwaka ni mwaka wa nyota yangu kushain 🙏🙏🙏🙏
Eee mungu nikumbuke nami mwoyo wangu unafunje damu
Bwana mungu nipe mtu wangu ndani ya mwaka
Mungu naomba maharifa yakujuwa watusahii unaho nihinuliya kwenye mahisha yangu
Ameen.mutumishi.wamungu.ubarikiwe
Watu ambao wqnanikwamisha wasipate kibali ebwana na mwakozi wqngu yesu wangu😢😢😢
Bwana naomba mwaka huu uniinulie mtu sahihi kwa maisha yangu pamoja na familia yake pia utuondolee marafiki walio kwa maisha yetu ili kuturudisha nyuma
Amen and amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
Amen nimepokea, pia nawe pokea watu sahihi