Yesu Kristo akubariki mtumishi wa Mungu hakika injili yako Kwa hapa Tanzania 🇹🇿 ni kama upanga ulao haupepesi macho Mungu akubariki sana hili swala la watu kutegemea mafuta na chumvi kwa kweli wakristo tumezidi.
Acha unafiki unakemeaje umalaya washirika wako wengi wamevaa kama malaya..? Angalia vi mini Kanisani mapaja yote yako nje, wamevaa nguo zimebana makalio, acha kumdhihaki Mungu.
Ebu acha roho Mbaya na uwe na upendo ,kwasababu ww unayaona mabaya tu na kuyasemea inakupasa uyapongeze hata mema machache utayaoyaona na hivyo ndio walivyo kuwa hata mitume wa kale walisifia palipotakiwa kusifuwa lakin walikosoa palipotakiwa kukosolowa ,Mm nakujua ww na yule baba yako mmaroho Mbaya sana nyie huwa hamuyaonagi yaliyo mazuri ila macho yaonaga mabaya tu Mungu awasaidie
@@HelbethMlelwamdogo wangu acha kiburi cha uzima cha kujifanya wa kiroho sana kuliko wenzio.. Ungetaka Masannja ajue unachokisema ungeenda kwa DM. huku kwenye coment ni kwa ajili ya wengi. Acheni kiburi cha kujiona nyie ndo wenye wokovu kuliko wengine.
Yesu Kristo akubariki mtumishi wa Mungu hakika injili yako Kwa hapa Tanzania 🇹🇿 ni kama upanga ulao haupepesi macho Mungu akubariki sana hili swala la watu kutegemea mafuta na chumvi kwa kweli wakristo tumezidi.
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, ongeza sauti
Mtumishi endelea havihivi na injili za namna hii hakika mbinguni unaingia usilegeze nati mtumishi.ubarikiwe sana.
Kaz ipo ila Mungu ni mvumilivu sana
Glory to JESUS Amen
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU
waooooh MUNGU akutunze baba
Anza na. Mkeo
Umenibariki saaaana baba ongezaaaa sauti
Ukweli utajulikana Yesu akirudi.
Ibada njema huanzia nyumbani
Acha unafiki unakemeaje umalaya washirika wako wengi wamevaa kama malaya..? Angalia vi mini Kanisani mapaja yote yako nje, wamevaa nguo zimebana makalio, acha kumdhihaki Mungu.
Acha mizaha kwenye injili brother. Unakemeaje umalaya wakati washirika wenyewe wamevaa kimalaya?
Ulitaka asemeje ?
Ebu acha roho Mbaya na uwe na upendo ,kwasababu ww unayaona mabaya tu na kuyasemea inakupasa uyapongeze hata mema machache utayaoyaona na hivyo ndio walivyo kuwa hata mitume wa kale walisifia palipotakiwa kusifuwa lakin walikosoa palipotakiwa kukosolowa ,Mm nakujua ww na yule baba yako mmaroho Mbaya sana nyie huwa hamuyaonagi yaliyo mazuri ila macho yaonaga mabaya tu Mungu awasaidie
@@prince_godfrey Mimi siwezi kuongea sawa na dunia au wewe unavyotaka. Masanja mwenyewe anajua ninachoongea ni nin.
@@HelbethMlelwamdogo wangu acha kiburi cha uzima cha kujifanya wa kiroho sana kuliko wenzio.. Ungetaka Masannja ajue unachokisema ungeenda kwa DM. huku kwenye coment ni kwa ajili ya wengi. Acheni kiburi cha kujiona nyie ndo wenye wokovu kuliko wengine.
Kubadilika si tendo la siku moja ndugu
😅😅😅😅sio kwa ubaya naijua hiyo
Ipyana kafanyaje kwani
Asa wanacheka nn badala wainamishe vichwa watubu?
Na usipobadilika na kuanza kuhubiri utakatifu wa nje na ndani ya Mtu, wewe na Washirika wako mtaishia Jehanamu
Ukishajuwa namna ya kuwachekesha waumini wako,rayari inapata kibali cha kuwa askofu!!?
Ama kweli wakiristo na ukiristo wao!!!
Kachekeshee na wewe kama rahic
Why ipyana na bella 😢😢😢 sio jambo zuri ndugu yetu.
Waudakuu sasa😂😂
Mbona umemuweka ipyana kwanini wewe mtangazaji mnafiki
Hata na mm namshangaa