Wameujaribu MOTO wa Kapteni IBRAHIM TRAORE: Jaribio la kumpindua limefeli, waliopanga wanaswa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Mwenyezi mungu azidi kumlinda dhidi ya wanafiki wanaotaka kumuangusha
Africa inapaswa kumuombea huyu mwamba God bless Ibrahim Traore 🙏🙏🙏
Amiin
Mungu/MUNGU sio mungu
amin
God bless Abraham Traore.
Mungu ailinde serikali ya Ibrahim tiraole
God bless Africa
Mungu ampe nguvu
Wapigwe lisas wote waliojalibu kumpindua
Acheni fitina warabu gani alowaleta mama hata ikiwa humumpendi yeye rais
Viva Putin viva African ❤❤
🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪🇰🇪🇰🇪
Kenya na Putin,, wapinawapi,,,, Kenya na zelensky
IBRAHIMU NI KAMA JPM
HANA UJINGA NA WAZUNGU HAWA WEZI WA RASILIMALI ZETU
TUNAHITAJI TRAORE TANZANIA ANATUFAA SANA
Adui wa African ni muafrica mwenyewe wazungu wana mtumia muafrica kuibomoa African
Sisi waafrika hatuna akili yaani kiongozi anatumia nguvu kubwa kuleta maendeleo lakini tena sisi wenyewe tunataka kumpindua
Mungu azidi kumlinda ninamuomvea kwa jina la Yesu azidi kuwa mshindi
Viva Traore
Viva Afrika
sema kwa jina langu la mungu sa kwajina la yesu, yesu atamlindaje akati n nabii tu Tena yupo mbinguni duniani ayupo muda huu, Allah atamlinda mwamba Aamina.
Africa sisi ni manyani. Yani kijana anafanya kazi kubwa kubadilisha nchi. Wengine wanahangaika kumvuruga.
Hao wakamatwe. Na raia wa burknafaso kuweni pamoja. Mimi mwenyewe nipo nyuma yenu.
Huyu rais tutamwombea kama alivyokuwa joshua mwana wa nuni.
Atashida vita.
Kuna mijitu ni mibinafsi inapenda kula rasilimali za nchi.
Mungu akulinde rais wetu captain
Ibrahim Teore Mungu atamsaidia kupambana na magaidi katika kuipeleka mbele Burkina Faso iliipige hatuwa za maendeleo
Hao ni mamluki wa Ufaransa na nchi za ulaya wamejipenyeza kwenye jeshi ili waweke utawala utakaowapa mwanya wa kuendelea Kunyonya!. Nchi zote za Afrika zinapaswa kupiga kelele sasa juu ya Marekani na nchi za Magharibi,na kuungana na China na Urusi kuzikomboa nchi zao bila ajizi.
Waafrica ban tumelaaniwa kwakweli mungu atunusulu amin from 🇧🇮👊❤️
@@Muda27yupo sahihi punguza hasira
Na ndio mahana wazungu wanatuita sisi nyani kwasababu akilizetu tunazijua wenyewe lana yenyewe ainadawa.
Sema waAfrika wachache sio wote maana hiyo lana nawewe unayo.
@@khaliphaabubakar9466 hapo ulipo ww mwenyew laana unayo cz uzalendo hata kwa nduguzo huna
Maana ya laana ungeijua usingesema ayo maneno ya wayahud wenye chuki zidi ya waafrika
Moyo umeniripuka na kusisimka kusikia kuwa wananchi walimiminika mji mkuu kumtetea raisi wao....mimi mwenyewe ningekuepo...ila kwa tz cfanyi uo ujinga maana cjaona raisi wa kumtetea pindi anapotaka kupinduliwa
Viva
Duuuuh sisi waafrica n mbwa kabsaa,, hao wanajeshi waliotaka kumpindua n vbaraka wanaotumiwa na nchi za magharib
Wahusika wanyongwe hadharani mbele ya umma wa wabukinafaso ili ikawe fundisho kwa wengine.Huu ni muda wa kuijenga Afrika yetu mpya,vibaraka hawana nafasi tena.Mungu ibariki Afrika,Mungu ibariki Bukinafaso.
Hasaa❤
Waliotaka kufanya mapinduzi wanyongwe hadi kufa
Mwanapendaga xana voice yako na ndo mana huwa nasikiliza simliz zako
Hao maafisa waliotaka kumpindua traole ni vibaraka wa nchi za ulaya magharibi walaaniwe na mungu
Wapigwe lisas wote waliojalibu
Ni vigumu sana Mzungu kumsaliti mzungu mwenzake kwaajili ya Mwaafrika lakini ni rahisi Mwafrika kumsaliti Mwafrika kwa maslai ya Mzungu
@@maniamba.tz_ hakika waafrika ni maadui hatari kwa waafrika wenzao kwa tamaa ya kipumbaVu,, hahahaha,,😂 wanapewa nyumba ulaya na marekani wanajiona wamepaata,, wasaliti wakubwa,, na haya makundi yoote ya kigaidi yameundwa makusudi na wazungu na kupewa silaha za kila aina na wazungu kwa tamaa zao
Yeye mwenyewe alimpindua mwanajeshi mwenzake juzi tu inamaana nae alitumwa na magharibi. Waafrika tuna shida
Mungu/MUNGU sio mungu
Kwanini UNAINGILIA KAZI ZA DJ Sma?
Mwachie Dj Sma achambue hizi habari. Wewe Bundala HAUFAI kabisa kuongea hizi habarii. Unazengua. Wewe baki kwenye Udaku na Team Diamond ulizochagua. Uchambuzi mwachie DJ SMA
Huyu jamaa Ni Raisi mzuri .
Hii ndio Africa wote walio jaribu wapew adhabu kali iwe mfano kwa vibarak wengin
Biidhinlaah atakuwa imara wakat wote
GOD bless traore and guide him
Ukuu wa mwafrika wazarendo ote mungu awalinde sana na huwo Moto hawa uwezi
Viva Traore, Mungu aendelee kukulinda Kiongozi kwa kweli niki kutazama naona picha ya hayati Thomas Sankara
African leaders l beg you in the name of Jesus be deliverd from this powers of those stupid westerns
Yani hii Africa ni ovyo kbc mtu akija kwajil ya kunusuru Ali Zao kuna baazi ya watu wanakuja na kupinga lkn yote kwa sabb wanaona ile njia. Ya kuzulumu watu kula mali za uma kwao aitakuwepo tena wanaona akuna tena njia ya kujilimbikizia mali hii ndio africa yetu
Mimi nikisikia tu ibrahim traore nasikia furaha Kijana hataki ujinga kaka safi traore mungu yupo nawewe.
Sisi watu weusi ni wapumbavu kabisa ndio maana tunaitwa nyani na wazungu .
mtazamo apo kaka ni kuuwa tu kila anaebainika ni msaliti ili nchi iende mbele akuna mwananchi atakae laumu kwa kuuwawa msaliti wa maendeleo yao
Mungu amlinde ibrahim Traole.❤ u ibra
Uyu Frank Larchman apewe mauwa yake aisee.. namsikia kila siku ukimtaja.. Jamaa anajua
Viva Captain
Safi sana huyu mwamba namkubali sana Mungu azidi kumuongoza...
Wewe mtangazaji unauwezo mkubwa ktk habari Kama Osman mitaji wa Dw
Yaaani waafrica tumekosa uzalendo kabisa tumeamua kuwa vibaraka wa wazungu ilihali wao hawatupendi hata kidogo 😢
Tuna laana sie mie nadhani
Hili bara lipigwe mabomu ya nyuklia tuanze upya maana, duuuh!
Africa tuna watu wa ajabu leo ulaya wao wanaongea kuwa huyu jamaa ni mtu mwenye mnoo mkubwa kutaka nchi yake hata wazungu wanaona ni sawa Kwa ufaransa imewanyonya mnoo hawa jamaa ni maskini tujue hawa Kula wali ni mlo wa nguvu wao hata Kula ni shida nchi nzima kila familia umetoka nchi zingine kutafuta maisha Yani shida .
Huyu mwamba anahitaji maombi makubwa sana ni magu ajae huyu
Africa ndio kwetu ila cha kushangaza tunaongozwa na wazungu tena km watakavyo wao
Zidumu fikra za Ibrahim Traure na lazima wote wa nyongwe sababu ni matahira, wazembe na wapenda mkoloni kwa ni watu wenye akili finyu kabisa na ni lazima wa insole we ndani ya jamii
Waliotaka kumpindua wachomwe moto mashetani wakubwa,tunataka viongozi wazalendo kila nchi ya kiafrika iwe na hukumu Kali kwa viongozi wezi wanaotesa wananchi ikibidi wachomwe moto.
Sns merci san napend video zen ten san🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿❤❤🙏
Good 🇧🇮🇧🇮🙏🙏rumonge
Mshikaji anasoma habari mpaka unakaa unatulia
Kisicho ridhiki hakili, Toure kaza buti.
Mbona wa Burkina Faso wanata kuharibu inchi yao mabipari wanawadanganya toka Sankara ahuwawe walifaidika nn kamasio mateso? Africa tufunguke tumuhache kujana traore afanyekazi hadi sikuya uchaguzi please wa Burkina Faso
Yeye ni shujaa
Na Mungu ambariki
eee mwenyezi mungu mlinde traole
Yani ninapenda Uongozi wa captain Ibrahim Traore,Kesha fanya mabadiliko Kwa Muda mfupi tu,
ALLAAH akuhifadhi
mabeberu hao washatuma vibaraka wao(waafrika)
Wananchi qa bukinabe wamejifunza usaliti aliofanyiwa Thomas Sankara na badae nchi kuporwa kila kitu,so saivi wananchi wameamuwa Kufa au kupona lkn Captain ambae tyr ameshaonyesha njia abakie madarakani
🇲🇿🇲🇿🇲🇿 viva Troare
I believe that happened with the support of French Government.
Wazungu ao tena ni wa faranc wana leta vurugu
The Magufuli of Burkina Faso
Mungu mlinde mtu huyu🙏
Mungu si mwanadamu mwenye uongo ,,,,akikupa ahadi huitimiza mungu wa milele
NA HIII TANZANIA BORA IPINDULIW TU ITAKUA RAHA SANA HUU UONGOZI ULIO KUEPO WANA KULA WAO TU NA FAMILY ZAO SSI MASIKINI HAWANA TAIM NA SSI
Ni kweli kabisa suala ni mabepari ambao wameng,ang,ania mkate usio wao na wamejenga mizizi Bado kazi ipo huo ni mwanzo tu hajamini hata wananchi wanajua haki Yao na raslimali ni zao
Nadhani ni shida kuwa mkubwa wa wakubwa wako/zako - sijui itaishiaje-feel sorry for him.
That's the problem,ajipe Major General
Am from Tanzania I appreciate traore
Uyu jamaa angekuwa karibu no ngekuwa ni askali wake na ningeingia mstuni namukubar sana
Hawa wahukumiwe maisha
Nani aiwaroga wa Afrika Jameni, Afrika hawpendi Mambo mazuuri wanaenda machafuko tuu
😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲 Tena 📺📍🇰🇪
Unyama mwingi
Waliojaribu kumpindua lazima watakua vibaraka wa wazungu wanataka waafrika waendelee kuwa masikini wakati Bara letu lina kila aina ya utajiri dawa yao watandikwe risasi hazarani ili kama kuna wengine wenye akili mbovu kama izo wafyate mikia
Kikubwa ni kumiomba Mungu tu kwaajili ya Africa yetu ila hao wafaransa wakiamua hakuna hata wa kuwazuia tena wataichakaza nchi kweli kweli,,Mungu ibariki Afrika
Wauwawe😆 wakiingia wanamaendeleo madalakani kuna mapepo meusi menzetu ya nataka GA walalushwa 2
Yaaani, duuuu! Huwezi kuamini
From Tanzania I appreciate this guy,big up President❤❤
Mungu yupo
Wanyongwe hadharani hao mbwa ss wenyewe tunataka ukomboz Kama huo wao wanazingia
Pambana kijana wangu mzalendo utashinda wananchi wako nyuma tuunga sote
Mungu ilinde Africa yetu
Waafrika hatujuagi kipi chema na kipi kibaya mpaka tuchelewe na kuanza kujuta
wameanza dram tena hiyo style inafanywa kutfta public sympathy
Ok sawa 🇰🇪
Yan Mimi adui yang simuachi salama nikimkamata namchinja kama kuku hawa wazungu bila hivi hatutaheshimiana
Hakika watashinda
Kwanini Africa hatuko kama NATO!!!,ingekuwa akivamiwa mmoja ni sawa na kuvamia Africa nzima,kwanini sisi ni WAJINGA tu kila kukicha jamaniiiii!!!!????
Wakubwa wanalindana bila kujali mwenzao anawakosea nini watu wake,vinginevyo wanatakiwa wawe wanaonyana iĺi kuzuia mapinduzi.
Ondoa hayo mapinduzi ya Gabon ni propaganda sio kweli
Hao vibalaka wa nchi za magharibi mwa ulaya wonyongwe
Afric yang sijuw inop elekea😡😡🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏❤❤🇹🇿🇹🇿🇧🇮
Habari za muda huu mwana sns huwa nikiskia hivyo nakuwa makini sana 😅
Hata Tanzania mapinduzi yafanyike tu uongozi mbovu kabisa asilimali za taifa zinauzwa hovyo huyu mama aondolewe tu kazi kutujazia warabu wenzie kwanini asiuze bandari ya zanzibar anatujazia wanzanzibar kwenye bunge letu wakati wa bara wetu hawapewi nafasi kwao
Subiri ifike ijumaa mama akipumzika apitie hii comment yako ndio utajua kwanini iddi Amini dada anaitwa dada wakati ni mwanaume
Huna akili fikiria kwanza kabla hujacoment
Acha ubaguzi huo Hauna tija kwa taifa letu ,wote ni watanzania haijalishi wanatoka pande zipi?
Ni kweli aondolewe tu
Ni kweli aondolewe
Lete habari
Chuma hiki hawakiwezi wajinga mabeberu wa France
Mwamba atailinda nchi na atapambana na wao mabeberu
Shukran sana Bro sky kwa taarifa hii ❤🙏
Jamaa anaacha nchi 2024 dah uyu jamaa ni mzalendo sana
Mungu amuweke asiuliwe km sankala
Mungu amtetee
Mungu bariki Africa Mungu bariki bukina faso
Gaidi hawezi kufanyiwa ugaidi kiulahisi
Mungu Anitiye nguvu
Kila la kheri kwa Mh Traore
Ibraaa namkubari xanaa Yan mungu amrindeee
Wanyongwe awa ambao sio waminifu